Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Maisha Afya Kipindupindu chabisha hodi Dar, wagonjwa 10 waripotiwa
Afya

Kipindupindu chabisha hodi Dar, wagonjwa 10 waripotiwa

Spread the love

 

Ugonjwa wa Kipindupindu umeibuka jijini Dar es salaam ambapo zaidi ya watu 10 wamethibitika kuugua ugonjwa huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana tarehe 24 Aprili 2023 na Wizara ya Afya, ugonjwa huo ulibanika katika Kata ya Kivule Wilayani Ilala, ambapo wagonjwa saba walipimwa na kukutwa na vimelea vya ugonjwa huo.

Wagonjwa wengine watatu wamepatikana katika Kata za Tabata, Ilala na Buguruni.

Hata hivyo, taarifa hiyo imefafanua kuwa tangu kubainika kwa ugonjwa huo April 20, mwaka huu, mpaka sasa hakuna taarifa za kifo zilizotokana na ugonjwa huo.

Aidha, katika taarifa hiyo imebainisha kuwa katika wagonjwa waliobainika Kivule kati yao wanafunzi wa shule ya msingi ni wawili, wanaume wawili na wanawake wawili wote kutoka familia moja.

1 Comment

  • VIONGOZI WANAOONGOZA KUKOSOA MAAMUZI YA VIONGOZI WENZAO TANZANIA….. KWA MBINU ZOTE TULIZANI HUWA MANAKUBALIANA
    Mwanasiasa maarufu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche ametema cheche kuhusu sakata linaloendelea la Kampuni ya Twiga Cement kutaka kuinunua Kampuni ya Tanga Cement.

    Her Excel. Samia Suluhu

    Mr. Daniel Chongolo

    Mr. Professor Ibrahim Haruna

    Mr. Hamad Masoud Hamad

    Mr. Freeman Aikael Mbowe

    Mr. John John Mnyika

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

AfyaHabari Mchanganyiko

Marekani kuipa Tanzania bilioni 980 kudhibiti VVU, UKIMWI

Spread the loveSERIKALI ya Tanzania inatarajiwa kupewa msaada wa fedha kiasi cha...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wanavijiji wajenga zahanati kukwepa umbali mrefu kupata huduma

Spread the loveWANAVIJIJI wa Kata ya  Musanja Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani...

error: Content is protected !!