RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini muswada wenye utata dhidi ya mashoga na wasagaji, ambao umezungumzia adhabu ya kifo katika baadhi ya kesi na kutaka kuwa ni vyema ufanyiwe marekebisho. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).
Kwa mujibu wa shirika la habari la AP, uamuzi wa Museveni ulitangazwa jana Alhamisi jioni baada ya kikao cha wabunge wa chama chake tawala, ambao karibu wote waliunga mkono kuidhinishwa na wabunge mwezi uliopita.
Taarifa zimeongeza kwamba wabunge hao wamekubaliana kuurejesha bungeni ili ufanyiwe marekebisho.
Kwa mujibu wa video iliyorushwa na televisheni ya taifa ya UBC, Museveni anaonekana akipinga ushoga akiwa mji mkuu Kampala, akisema kwamba, “Ulaya imepotea. Wanataka sisi tupotee pia.”
Museveni pia aliwasifu wabunge kwa kupitisha muswada huo, ambao umezua ukosoaji mkubwa wa kimataifa.
VIONGOZI WANAOONGOZA KUKOSOA MAAMUZI YA VIONGOZI WENZAO TANZANIA….. KWA MBINU ZOTE TULIZANI HUWA MANAKUBALIANA
Mwanasiasa maarufu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche ametema cheche kuhusu sakata linaloendelea la Kampuni ya Twiga Cement kutaka kuinunua Kampuni ya Tanga Cement.
Her Excel. Samia Suluhu
Mr. Daniel Chongolo
Mr. Professor Ibrahim Haruna
Mr. Hamad Masoud Hamad
Mr. Freeman Aikael Mbowe
Mr. John John Mnyika