KAMPUNI ya ubashiri Meridianbet Tanzania kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Usalama wa Barabarani limeanzisha kampeni ya Mtaa kwa Mtaa na Meridianbet yenye lengo la kuwasaidia bodaboda wote wa maeneo ya Dar es Salaam kwa kuwapatia elimu ya usalama barabarani na kutoa vifaa kazi kama Reflectors. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet, Matina Nkurlu amesema mbali na Meridianbet kuweza kubashiri mubashara odds kubwa zaidi, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo ya sloti na kasino ya mtandaoni.
Nkurlu ambaye aliyeambatana na timu ya masoko kutoka Meridianbet alisema wameamua kushirikiana na Jeshi la Polisi la Usalama Barabarani kutoa elimu ya Usalama barabarani pamoja na kugawa reflectors kwa madereva bodaboda.
Amesema sababu ya kufanya hayo kupunguza ajali nyingi sana hususani nyakati za usiku na ndiyo maana wameamua kutoa reflectors kwa madereva wa bodaboda wote waliopo jijini Dar es Salam, maeneo yaliyofikiwa mpaka sasa ni Kawe, Kinondoni, Sinza, Mwenge na Tangibovu huku lengo ni kuwafikia madereva bodaboda wote wa jiji lote la Dar es Salaam.
“Meridianbet tuna msemo wetu wa CHAGUA TUKUPE, huu ni maalum kwa wateja wetu wote kuwa tunawapatia kile wanachotaka, baada ya kusikia kilio cha madereva hawa wa Bodaboda tumeamua kuwapatia Reflectors hizi maalum ili kujikinga na majanga ya barabarani kama ajali lakini pia ni kuimarisha usafi na utanashati wao binafsi,” alisema Nkurlu.
Jisajili na Meridianbet upate mizunguko 50 ya bure kucheza kasino ya mtandaoni, kusanya mizunguko yako na odds kubwa za soka hapa.
Leave a comment