KILA mtu ana siku yake ya kutoboa kwenye Maisha, kama haijafika basi ipo karibu kufika ongeza bidi na juhudi piga sala na...
By Mwandishi WetuApril 11, 2023UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA). CAG ameimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyika kwa maombi ya wafadhili;...
By Mwandishi WetuApril 9, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 9 Aprili 2023 ameivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kutengua nafasi ya...
By Mwandishi WetuApril 9, 2023MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amewaasa wazazi na walezi kulea watoto wao kwa kuzingatia maadili mema ya kitanzania pamoja na...
By Mwandishi WetuApril 9, 2023APRILI ni mwezi uliobarikiwa sana ndio maana Meridianbet wanasema ni mwezi wa kutoboa, wakati ukisherehekea Sikukuu ya Pasaka nakukumbusha kwamba unahitaji uwe...
By Mwandishi WetuApril 9, 2023MWANASIASA nguli nchini ambaye pia Waziri Mkuu mstaafu,John Samwel Mallecela ameitaka serikali kuweka sheria ngumu au kifungo cha muda mrefu kwa mtu yeyote...
By Danson KaijageApril 9, 2023MJADALA wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) unaoendelea baada ya kuwasilishwa kwake bungeni Dodoma wiki hii,...
By Mwandishi WetuApril 9, 2023MHALIFU wa makosa ya mauaji na ubakaji kutoka Afrika Kusini, Thabo Bester amekamatwa jijini Arusha nchini baada ya kusakwa kwa muda mrefu toka...
By Mwandishi WetuApril 8, 2023RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeonyesha mikopo yenye thamani ya Sh milioni 167 haijarejeshwa na...
By Mwandishi WetuApril 8, 2023WATU 10 wanadaiwa kupoteza maisha baada ya lori lililokuwa likisafirisha changarawe kupoteza mwelekeo na kuparamia kijiwe cha bodaboda katika eneo lao mjini Migori...
By Mwandishi WetuApril 8, 2023MAHAKAMA nchini Uganda imemfungulia rasmi mashtaka ya ufisadi na rushwa Waziri Marie Goretti Kitutu kutokana na tuhuma za kuuza mabati 14,500 ya...
By Mwandishi WetuApril 8, 2023KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amewasilisha mapendekezo juu ya namna ya kuboresha mfumo wa haki jinai,...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023WANANCHI wa Rwanda leo Ijumaa, tarehe 7 Aprili 2023, wanaadhimisha miaka 29 ya mauaji ya Kimbari, ambapo Wahutu wenye msimamo mkali waliwaua...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameongoza maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 51 ya kifo cha aliyekuwa Rais wa kwanza visiwani humo,...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameipongeza Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kutoa fedha kiasi cha Sh. 4.75 bilioni,...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023PICHA za hati za siri kutoka Pentagon na NATO juu ya utayarishaji wa shambulio la Ukraine dhidi ya Urusi zimevuja katika mitandao...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023JESHI la Israel limesema kuwa limeshambulia maeneo yenye uhusiano na kundi la wapiganaji wa Palestina Hamas ndani ya Lebanon na katika Ukanda...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023RIPOTI za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG) zimeibua mjadala mkubwa na mpana nchini tangu zitolewe hadharani siku chache zilizopita. Anaripoti...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekiri kuvutiwa na jitihada za Benki ya NMB visiwani humo, ikiwemo kutoa ushirikiano wa dhati na mchango...
By Mwandishi WetuApril 7, 2023KAMPUNI ya Meridianbet Tanzania wanaendelea walipoishia kwa kuhakikisha wateja wake wanapata huduma popote na ndio sababu ya kuendelea kusambaza maduka, Na leo...
By Mwandishi WetuApril 6, 2023BODI ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB), imesaini mkataba wa Sh. 200 milioni na Kampuni ya KPMG kwa ajili ya kuandaa mpango mkakati...
By Mwandishi WetuApril 6, 2023UJENZI wa mradi wa Zahanati ya Mwanalugali A Kibaha Mjini unaofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii-TASAF itakayowahudhumia wakati 3367 umefikia asilimia...
By Mwandishi WetuApril 6, 2023SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameagiza Serikali kuweka kanzi data maalum (data base), yenye taarifa za watumishi wanaojitolea ili wapewe kipaumbele...
By Mwandishi WetuApril 6, 2023RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa mwaka wa fedha wa 2021/22, imewasilishwa bungeni jijini Dodoma, kwa...
By Masalu ErastoApril 6, 2023MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumatano amerudi jijini Dar es Salaam kutokea nchini Ubelgiji ambako alidai kwenda...
By Mwandishi WetuApril 5, 2023FURAHIA sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Meridianbet Veni Vidi Vici! Miongoni mwa...
By Mwandishi WetuApril 5, 2023ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ambaye alikuwa akikabiliana na mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na...
By Mwandishi WetuApril 5, 2023SERIKALI imetenga kiasi cha fedha Sh. 15 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi wa maboma ya...
By Regina MkondeApril 5, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ametoa msaada wa dharura ikiwemo vyakula, kwa wananchi walioathirika na mafuriko ya mvua jimboni humo....
By Mwandishi WetuApril 5, 2023RAIS wa zamani Marekani, Donald Trump jana Jumanne amefikishwa mahakamani kwa mashtaka ya kumlipa mwanamke mmoja nyota wa filamu za ngono kabla...
By Mwandishi WetuApril 5, 2023UJENZI wa miradi ya maji katika Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, umetajwa kuendelea kushika kasi, ambapo maji kutoka Ziwa Victoria...
By Mwandishi WetuApril 5, 2023USIFANYE makosa katika kuutafuta utajiri haswa kwenye harakati zako za kila siku, hata iweje ishi na Imani ya kuwa siku moja utatoboa...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali katika sekta ya afya na elimu kwa halmashauri tatu za Mlimba, Malinyi na Manispaa ya...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023MHARIRI wa Gazeti la Raia Mwema, Martin Malera, amepata pigo baada ya kufiwa na mkewe, Patricia Malera, ikiwa ni miezi michache tangu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023MAMLAKA ya Mapato Tanzania(TRA), imekusanya Sh. 5.9 trilioni katika robo ya tatu (Januari-Machi) ya mwaka wa fedha 2022/23 ikiwa ni sawa na...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023SERIKALI ya Tanzania, imesema imefanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa virusi vya Murburg, huku ikiahidi kuutokomeza kwa kufuata miongozo ya Shirika la...
By Regina MkondeApril 4, 2023MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesema haijatangaza nafasi za kazi baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wananchi kupigiwa simu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023BUNGE la Tanzania, limeombwa kutenga muda wa kutosha kwa ajili ya kuwashughulikia baadhi ya watumishi wa umma waliotuhuma kwa makosa ya ubadhirifu...
By Masalu ErastoApril 4, 2023KENYA inajiandaa kurusha satelaiti yake ya kwanza kabisa ya uchunguzi wa dunia katika kile kinachoelezwa kuwa mafanikio ya kihistoria katika juhudi za...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, (Chadema), Aida Khenani, amewataka baadhi ya wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), “waache unafiki” ili wamsaidie Rais Samia...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023BAADHI ya wabunge wameihoji Serikali ina mpango gani wa kuboresha vituo vya afya chakavu, ili viweze kutoa huduma bora za afya kwa...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023WAKATI wanasayansi wakihaha kutafuta dawa ya kutibu Virusi Vya Ukimwi (VVU), nchini Kenya imebainika kuwa kuna ugonjwa mpya unaohusiana na magonjwa ya zinaa....
By Mwandishi WetuApril 4, 2023KATIKA mendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amegawa futari kwa wazee, wajane na watu...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023WAKATI Tanzania ikiadhimisha Siku ya Upandaji Miti Kitaifa tarehe 1 Aprili 2023, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kudumisha dhamira yake...
By Mwandishi WetuApril 4, 2023NI stori ambayo inafanya vizuri sana kwa vijana wengi wenye ndoto za kumiliki magari, nyumba na kusimamia biashara zao, habari za Mwarabu mshindi...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023Finland itakuwa mwanachama wa 31 wa Muungano wa Kijeshi wa NATO kuanzia kesho Jumanne tarehe 4 Aprili 2023. Yameripoti Mashirika ya Kimataifa...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023KATIKA kupunguza gharama na kurahisisha utoaji wa huduma zinazotolewa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeanza kutoa huduma kwa njia ya...
By Gabriel MushiApril 3, 2023KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameshauri mchakato wa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, uwe wa wazi pamoja...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, ametaka mambo sita yazingatiwe katika uandaaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeApril 3, 2023WAJUMBE wa Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) wamemchagua, Ramadhani Omary kuwa Katibu wa Baraza la Wafanyakazi...
By Mwandishi WetuApril 3, 2023