Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mpango wa Ukraine, Marekani na NATO kushambulia Urusi wavuja kwenye mitandao ya kijamii
Kimataifa

Mpango wa Ukraine, Marekani na NATO kushambulia Urusi wavuja kwenye mitandao ya kijamii

Spread the love

 

PICHA za hati za siri kutoka Pentagon na NATO juu ya utayarishaji wa shambulio la Ukraine dhidi ya Urusi zimevuja katika mitandao ya Twitter na Telegraph. Yameripoti Mashirika ya Kimataifa…(endelea).

Licha ya kuonekana kubadilishwa kiasi hati hizo zinaonekana kuwa za kweli kulingana na gazeti la New York Times, likinukuu vyanzo visivyojulikana katika utawala wa Biden.

Tarehe za hati hizo ilikuwa Machi Mosi , hivyobasi inakisiwa kwamba huenda mipango inaweza kuwa ilibadilika tangu wakati huo.

Hata hivyo hazitaji eneo au mahala pa mashambulizi hayo.

Lakini zina habari kuhusu brigedi ngapi Ukraine inapanga kujiandaa kwa shambulio hilo na ni vifaa gani watapata na kutumia wakati huo. Pia wana taarifa kama vile matumizi ya kila siku ya risasi kwa HIMARS.

Ukweli kwamba nyaraka zingeweza kubadilishwa unathibitishwa na ukweli kwamba kwenye moja ya hati hizo, hasara iliopata wanajeshi wa Urusi inakadiriwa kufikia kati ya 16-17,000, huku Ukraine ikiwa 71.5 elfu, kwa mujibu wa gazeti hilo.

1 Comment

  • Warusi kati ya 16-17, 000 na waukraine 71,500? Duh!
    Zile ndege za F-16 zinaogopa makombora ya supersonic? Duh!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!