Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia amtumbua Mkurugenzi Mwanza
Habari za Siasa

Rais Samia amtumbua Mkurugenzi Mwanza

Sekiete Yahaya Selemani
Spread the love

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili 2023.

1 Comment

  • Mawaziri walioguswa na CAG je?
    Tusipofanya ya kweli kama Singapore tutaendeleza umaskini.
    Utajiri tunaoambiwa tunao, ni mafuta ya mgongo wa chupa. Hakuna nchi ya Ulaya isiyofuta mikataba kwa sheria mpya ya bunge…waafrika tunaambiwa na kupewa vipengele hivyo ingawaje nchi ni yetu.
    Itungwe Katiba mpya iseme hakuna sheria isiyobadilishwa kwa manufaa ya taifa!
    Tunaambiwa tukishasaini mkataba hatuwezi kutunga sheria kuufuta…ni kichwa cha mwendawazimu!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

error: Content is protected !!