Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Maisha Afya 573 wafariki kwa kipindupindu
Afya

573 wafariki kwa kipindupindu

Spread the love

Takriban watu 573 kati ya 11,640 walioambukizwa kipindupindu nchini Nigeria wamepoteza maisha tangu mlipuko wa ugonjwa huo uanze Desemba 2022. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Hata hivyo, maofisa wa masuala ya afya wanakadiria kuwa  idadi hiyo kwa sasa inapungua kwa sababu ya juhudi za matibabu katika majimbo ambayo hayawezi kugundua maambukizo mengi.

Serikali kadhaa za Afrika magharibi zinajaribu kudhibiti mlipuko huo wa kipindupindu, ikiwa ni pamoja na Nigeria ambapo afisa wa ngazi ya juu wa afya jana Alhamisi amesema kwamba mamilioni ya watu wanapewa chanjo ili kufidia kinga dhidi ya ugonjwa huo.

Nchini Niger, watu 37 wamefariki dunia katika kesi 865 kufikia Oktoba mwaka huu, wakati Guinea imeripoti vifo 58 kati ya maambukizi 497 tangu kuzuka kwake mwezi Juni mwaka huu.

Maambukizi hayo ya bakteria yanayosambaa kwa kasi yameripotiwa katika majimbo 20 kati ya 36 ya Nigeria mpaka hivi sasa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

Songwe katika mikakati ya elimu ya lishe kudhibiti udumavu

Spread the love  SERIKALI mkoani Songwe imejipanga kuendelea kutoa elimu ya lishe...

Afya

Mloganzila yajipanga kupandikizaji wa ini

Spread the love  HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imesema kutokana na uwekezaji uliofanywa...

AfyaHabari za Siasa

Serikali yasaka watumishi afya ngazi ya jamii 8,900

Spread the loveSERIKALI imeanza utekelezaji wa mpango jumuishi wa wahudumu wa afya...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Bima ya afya kwa wote kuanza Aprili, wajane kicheko

Spread the loveSHERIA ya Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuanza kutumika...

error: Content is protected !!