Friday , 19 April 2024

Afya

Afya

Afya

Asilimia 86 wenye umri zaidi ya miaka 18 wapata dozi kamili ya Uviko-19

  KWA kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi Julai hadi Desemba 2022 Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya...

Afya

Waziri anusa ufisadi matumizi fedha za UVIKO-19

  NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, ameagiza uchunguzi ufanyike dhidi ya matumizi ya fedha za kukabiliana na athari za Ugonjwa wa...

Afya

Serikali yaikana TANNA sakata la watumishi wa afya Tabora

  WIZARA ya Afya imesema maoni yaliyotolewa na Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA), kuhusu sakata la watumishi wa afya katika Zahanati ya Ishihimulwa...

Afya

Chanzo mzozo wa muuguzi, mtaalamu wa maabara Uyui chabainika

  CHAMA cha Wauguzi Tanzania (TANNA) kimetoa taarifa ya uchunguzi wa tukio la watumishi wa kada ya Afya wa Zahanati ya Ishihimulwa wilaya...

Afya

Mwongozo wa kudhibiti UKIMWI, magonjwa yasiyoambukizwa kuhuishwa

  SERIKALI ya Tanzania, imewataka wadau wa afya kutoa maoni yao juu ya maboresho ya Mwongozo wa Kudhibiti Virusi vya Ukwimwi (VVU), Ugonjwa...

Afya

Watumishi wawili Uyui waliobishania vifaa vilivyoisha muda, wasimamishwa

  WATUMISHI wawili wa kada ya afya katika Halmashauri ya wilaya ya Uyui kutoka Zahanati ya Ishihimulwa waliokuwa wakijibizana kuhusu vifaa vilivyoisha muda...

Afya

Maambukizi ya UVIKO-19 yaongezeka

  SERIKALI ya Tanzania imesema maambukizi ya ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), katika kipindi cha tarehe 29 Oktoba hadi 2 Desemba 2022,...

Afya

DC Mpogolo ahamasisha chanjo ya polio

  MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Edward Mpogolo amewataka wazazi wenye watoto wenye umri chini ya miaka mitano wawapeleke kupata chanjo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Samia ataka mikakati kutokomeza unyanyapaa kwa WAVIU

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS), wizara ya afya pamoja na wadau wengine kuweka mikakati ya kutokomeza...

Afya

JKCI yasaini mkataba na Poland kutibu moyo

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imesaini mkataba wa ushirikiano na chuo Kikuu cha Jagiellonian nchini Poland, wenye lengo la kubadilishana ujuzi...

Afya

Sheria ya bima ya ajali ipitiwe upya – Spika Tulia

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Dk. Tulia Ackson Mwansasu, ameitaka serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA), kuangalia upya utaratibu wa mashirika...

Afya

Muswada Bima ya Afya kwa wote wakwama bungeni

  MUSWADA wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, umeshindwa kusomwa kwa mara ya pili bungeni jijini Dodoma, kutokana na mhimili huo...

Afya

Watumishi 139 kada ya afya kusomeshwa ubingwa, ubobezi

  JUMLA ya watumishi wa afya 139 wamechaguliwa kwaajili ya kupewa ufadhili wa masomo ya ubingwa na ubingwa bobezi katika fani zao. Anaripoti...

AfyaHabari

Hospitali KAM Musika yapima bure saratani tezi dume

KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali ya awamu ya sita katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Hospitali ya KAM Musika ya Kimara...

Afya

Wakufunzi wa mikoa wapatiwa mafunzo ya kujikinga na Ebola

  WAKUFUNZI wa mikoa nchini ambao ni wataalamu wa afya kutoka katika hospitali ya Taifa, hospitali za kanda, hospitali maalumu na hospitali za...

Afya

Tanzania kuwa kituo cha matibabu ya kibingwa Afrika Mashariki

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inataka kuifanya Tanzania kuwa kituo cha matibabu ya afya ya kibingwa kwa nchi inazopakana nazo. Anaripoti...

Afya

Waandishi wa habari wapewa wito kuondosha dhana potofu chanjo Uviko-19

  WAANDISHI wa Habari nchini Tanzania wamepewa wito wa kuishawishi jamii na kuondosha dhana potofu juu ya chanjo ya Ugonjwa wa uviko -19....

Afya

Msigwa: Bima ya afya kwa wote ni kwa nia nzuri

MSEMAJI Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema,uamuzi wa Serikali kuja na sheria ya  Bima ya Afya kwa wote una lengo la kuhakikisha kila...

Afya

Daktari Mtanzania afariki kwa Ebola Uganda

DAKTARI Muhammed Ali ambaye ni Mtanzania amefariki kwa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda ambapo alikuwa akisomea shahada ya uzamili ya udaktari katika upasuaji....

Afya

Lishe kwa watoto, wajawazito na vijana kupewa kipaumbele 

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema sekta zote zitaongeza nguvu, rasilimali fedha na rasilimali watu ili kuboresha kiwango cha lishe kwa Watoto wenye...

Afya

Samia apiga ‘stop’ ujenzi vituo vipya vya afya

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hivi sasa wataachana kwanza na ujenzi wa vituo vipya vya afya na nguvu kubwa itaelekezwa katika...

AfyaTangulizi

Rais Samia ataja lishe duni sababu matumizi ‘vumbi la kongo’

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema lishe duni ndiyo chanzo kikubwa cha uwepo wa watu wenye matatizo ya afya ya uzazi na...

AfyaTangulizi

Wakuu wa mikoa wapewa maagizo tahadhari ya Ebola

WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ametoa tahadhari ya ugonjwa wa Ebola na kuagiza wakuu wote wa mikoa kujiandaa endapo itatokea kisa chochote au...

Afya

Bima ya afya kwa wote kuanza Julai 2023

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema bima ya afya kwa wote itaanza kazi kuanzia tarehe 1 Julai 2023, endapo Bunge la Tanzania,...

Afya

HKMU, WKU kushirikiana kwenye tafiti za kitaaluma

  CHUO Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), kimeingia makubaliano na Chuo Kikuu cha Western Kentucky cha Marekani (WKU) kwa ajili ya...

Afya

Watoto milioni 14.6 wapatiwa chanjo ya polio

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema jumla ya watoto 14,690,597 wametiwa huduma ya chanjo ya polio ya matone sawa na asilimia 118.6...

Afya

Dk. Mpango ataka udhibiti dawa za kuhifadhi samaki

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amezitaka mamlaka za udhibiti kukomesha matumizi ya dawa zisizofaa katika...

Afya

Waziri Ummy aagiza wakuu wa mikoa, wilaya kusimamia chanjo polio

  WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nchini kusimamia kikamilifu utekelezaji wa kampeni ya chanjo ya...

Afya

Magonjwa yasiyoambukiza yanavyoigharimu NHIF

  WAGONJWA wanaougua magonjwa yasiyoambukiza wametajwa kuwa ndiyo kundi ambalo linatumia fedha nyingi kutoka katika Mfuko wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF). Anaripoti...

Afya

Sh 10.7 Bil. zaboresha huduma za afya Njombe

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amekiri kuwepo kwa changamoto za utoaji wa huduma za afya katika mkoa wa Njombe ikiwemo suala la...

Afya

Waziri Ummy aipiga ‘stop’ NHIF

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesitisha mara moja utaratibu mpya wa mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unaoweka ukomo...

AfyaTangulizi

MOI wakana kufyeka kiholela miguu majeruhi bodaboda

MKURUGENZI wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface amesema si kweli kwamba majeruhi wa ajali za bodaboda hukatwa miguu...

Afya

Waziri Ummy atoa tahadhari ya Uviko-19: Kumekuwa na ongezeko la mafua

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amewataka wananchi wachukue tahadhari za kujikinga dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), kwani bado upo...

Afya

Dk. Mpango aonya madaktari, watoa huduma afya kuzingatia maadili

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewataka madaktari na watoa huduma wote nchini kuendelea kuwa wenye upendo, kujituma, kujitoa na kuzingatia weledi...

Afya

Maabara Kibong’oto kufikia ngazi ya nne

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amemuahidi Makamu wa Rais, Dk. Phillip Mpango kuwa maabara ya afya ya jamii ya Kibong’oto baada ya...

Afya

Dk. Mpango aitaka wizara ya afya kuimarisha mfumo ufuatiliaji magonjwa

  MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Isdory Mpango ameitaka Wizara ya Afya kuendelea kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji wa mwenendo wa magonjwa ya kuambukiza...

AfyaTangulizi

Ugonjwa wa ajabu waua watatu Lindi, wawili wapona

  WIZARA ya afya kupitia Mganga Mkuu wa serikali, Dk. Alfello Sichalwe imesema jumla ya watu watatu wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa...

Afya

Ubakaji watajwa chanzo fistula wasichana wa umri mdogo

  TATIZO la ubakaji limetajwa kuwa sababu ya kuongezeka kwa matatizo ya fistula kwa wasichana wenye umri mdogo. Anaripoti Jonas Mushi, Dar es...

Afya

Rais Samia ataka wanaume waone wake zao wanavyojifungua

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na uwepo wa vyumba vya faragha vya wajawazito kujifungulia wakiwa na wenza wao katika jengo...

AfyaTangulizi

Jengo la mama na mtoto CCBRT kuhudumia wajawazito 12,000 kwa mwaka

  RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya CCBRT ambalo lina uwezo wa kuhudumia wajawazito 12,000 kwa...

Afya

Mkakati CCBRT wapunguza vifo vitokanavyo na uzazi kwa asilimia 47

  MPANGO wa kuboresha huduma ya afya ya uzazi mkoa wa Dar es Salaam, inayoratibiwa na Hospitali ya CCBRT, imesaidia kupunguza vifo vya...

Afya

Tozo za miamala ya simu zajenga vituo vya afya 13 Dar

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema fedha kiasi cha Sh. 4.5 bilioni, zilizotokana na tozo za miamala ya...

Afya

Serikali kujenga vyumba vya faragha vya kujifungulia

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema Serikali ina mpango wa kuanza kujenga vyumba vya faragha vya kujifungulia, katika vituo vya afya vya...

Afya

Wataalam wa afya watakiwa kutumia weledi

  WATAALAMU wa Afya Nchini Tanzania, wameshauriliwa kufanya kazi kwa kuzingatia weledi, uadilifu na maadili ya taaluma yao kwa kutunza miundominu ya majengo...

AfyaHabari za Siasa

Wabunge waibana Serikali gharama matibabu figo, Spika atoa maagizo

  WABUNGE wa viti maalum, wamehoji mkakati wa Serikali kupunguza gharama za matibabu ya ugonjwa wa figo ili kunusuru wagonjwa wasiokuwa na uwezo...

AfyaHabari

Kiwanda cha Dawa Kairuki chapongezwa, SADC yatajwa

KAMATI Afya ya Bunge la Zambia imepongeza uwekezaji wa wazawa wa Kiwanda cha Kutengeneza Dawa cha Kairuki nchini Tanzania wakisema ni njia ya...

AfyaHabari

Katibu mkuu afya ashauri Mganga mkuu wilaya Kigoma atumbuliwe

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ameshauri kuondolewa kwa Mganga Mkuu wa  Wilaya Kigoma kutokana na kushindwa kutekeleza maagizo ya kuboresha...

AfyaHabari

Milioni 250 tozo za simu zajenga kituo cha Afya – Misha

TOZO za miamala ya simu iliyoanza kutozwa mwaka jana, imeendelea kuwafaidisha Watanzania ikiwamo wananchi 7000 wa Kata ya Misha mkoani Tabora baada ya...

Afya

TAMISEMI kutumia mfumo kidigitali kudhibiti ubadhirifu mikopo ya halmashauri

  WIZARA Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imezindua mfumo wa kidigitali wa usimamizi asilimia 10 ya fedha za mapato ya halmashauri zinazotolewa kwa wananchi kwa...

AfyaHabari

Milioni 250 za tozo zajenga kituo cha Afya Vumilia

ZAIDI ya Sh milioni 250 zinazotokana na tozo za miamala ya simu nchini zimetumika katika ujenzi wa Kituo cha Afya Vumilia kilichopo katika...

error: Content is protected !!