Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Pambalu ajitosa uenyekiti BAVICHA
Habari za Siasa

Pambalu ajitosa uenyekiti BAVICHA

Bendera ya Chadema
Spread the love

JOHN Pambalu, Diwani Kata ya Butimba jijini Mwanza, ametangaza nia ya kugombea uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha). Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Pambalu ambaye ni Makamu Mwenyekiti Bavicha, ametangaza nia hiyo leo tarehe 30 Novemba 2019, baada ya kurejesha fomu ya kugombea uenyekiti wa baraza hilo, kwenye Ofisi za Chadema, zilizoko jijini Dar es Salaam.

“Nimeamua kuutangazia umma wa Watanzania na dunia kwa ujumla kwamba, nimetia nia ya kugombea uenyekiti wa Bavicha.  Uamuzi umekuja baada ya kujitafakari kwa ajili ya ukumbozi wetu,” amesema Pambalu.

Pambalu amesema amechukua hatua hiyo, ili kuwakomboa vijana na Watanzania kwa ujumla, kupitia Bavicha.

“Nimejipima nikaona katika siasa hizi za awamu ya tano, zinahitaji kijana jasiri dhidi ya siasa hizi za mabavu. Nina dhamira ya Kutatua changamoto za watanzania kupitia Bavicha, kwa kushirikiana na Chadema,” ameeleza Pambalu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari za Siasa

Alichokisema Rais Samia baada ya kupokea ripoti ya CAG, TAKUKURU

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake itafanyia kazi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

Habari za SiasaTangulizi

Deni la Serikali laongezeka kwa trilioni 11

Spread the loveDENI la Serikali imeongezeka kwa takribani Sh. 11 trilioni sawa...

error: Content is protected !!