Friday , 19 April 2024
Habari za Siasa

JPM: Hakuna vya bure

Spread the love

RAIS John Magufuli amesema, hakuna vya bure, na kwamba ili upate fedha, lazima ufanye kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kiongozi huyo wa nchini, ametoa kauli hiyo leo tarehe 27 Novemba 2019 akiwa ziarani katika Wilaya ya Igunga, Tabora.

“Hakuna vya bure” amesema Rais Mgufuli na kuongeza “vya bure vimekwisha.” Ametoa kauli hiyo huku akisema, wapo watu wanaolima pamba na mpunga na kupata fedha hivyo “kwa nini nawe usilime viazi ukapata pesa?” amehoji

Akizungumza na wananchi wa wilaya hiyo, amesisitiza kwamba serikali inafanya kazi ya kukusanya fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi ikwemo kujenga madaraka, vituo vya afya na sio kulisha wananchi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

Habari za Siasa

CCM yakemea ufisadi, yaipa kibarua TAKUKURU

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea vitendo vya ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

error: Content is protected !!