Friday , 29 March 2024
Habari za Siasa

Zitto apigwa kalenda

Spread the love

HAKIMU Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam, Huruma Shaidi ameahirisha kesi ya uchochezi namba 327/2018, inayomkabili Zitto Kabwe kutokana na shahidi wa Jamhuri kutohudhuria. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Leo tarehe 22 Novemba 2019, Wakili wa Serikali Mwanandamizi, Nassoro Katuga na Wakili wa Mkuu Serikali, Tumaini Kweka wameieleza mahakama hiyo, kuwa shahidi wao anumwa.

Zitto ambaye ni Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, anatuhumiwa kufanya uchochezi alipozungumza na waandishi wa habari tarehe 18 Desemba 2018, makao makuu ya chama hicho Kijitonyama, jijini Dar es Salaam kuhusu mauaji yaliyotokea Uvinza, mkoani Kigoma

Hakimu Shaidi ameahirisha shauri hilo mpaka tarehe 3 Desemba 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

error: Content is protected !!