Friday , 17 May 2024

Month: October 2022

Habari za SiasaTangulizi

Kikosi Kazi chapendekeza hatua sita kupata Katiba Mpya

KIKOSI kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania,  kimependekeza hatua sita zitakazosaidia mchakato wa kupata Katiba mpya...

Habari za Siasa

Watanzania wamegawanyika kuhusu Katiba: Kikosi Kazi

TOFAUTI na masuala mengine yaliyofanyiwa kazi na Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi, suala la Katiba limetajwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kikosi Kazi: Mikutano ya hadhara iruhusiwe, matokeo ya urais yahojiwe mahakamani

HATIMAYE Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania kilichoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kimeitimisha kazi...

KimataifaTangulizi

Zimbabwe yawa nchi ya kwanza Afrika kukubali chanjo ya VVU

ZIMBABWE imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika na ya tatu duniani kuidhinisha dawa ya kuzuia VVU iliyopendekezwa hivi karibuni na Shirika la Afya...

Habari za SiasaTangulizi

Ripoti kikosi kazi kutinga kwa Rais Samia kesho

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema kesho Ijumaa, tarehe 21 Oktoba 2022, atapokea ripoti ya kikosi kazi alichokiunda kuratibu maoni ya wadau wa...

Habari Mchanganyiko

Kasi ya ukuaji NMB yawakosha wateja, waongezeka kwa asilimia 500

MBALI na huduma za viwango vya kifalme, wateja wa Benki ya NMB wamekiri kuvutiwa na mafanikio yake kiutendaji hasa kasi ya ukuaji wake...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ateua Mkurugenzi Mkuu NIMR

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Prof Said Shehe Aboud kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Anaripoti...

KimataifaTangulizi

Waziri Mkuu Uingereza ajiuzulu, avunja rekodi ya mwaka 1827

  Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss leo tarehe 20 Oktoba, 2022 amejiuzulu uongozi wa chama cha Conservative na uwaziri mkuu baada ya...

Habari Mchanganyiko

IGP Wambura apangua makamanda polisi

  MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camilius Wambura amewahamisha baadhi ya makamanda wa Polisi kutoka katika nafasi zao na kuwapangia sehemu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Marekebisho Sheria za habari: Wadau wampa tano Samia, wamkumbusha vifungu kandamizi

  WADAU wa tasnia ya habari Tanzania, wameshauri mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia vyombo vya habari, ukamilike ili kukidhi dhamira ya Rais...

Habari Mchanganyiko

Wana JOWUTA watakiwa kugombea uongozi, kulipa ada

  WANACHAMA wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya habari Tanzania (JOWUTA) wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi za uongozi katika chama hicho...

Habari Mchanganyiko

Mfumo wa kuwanasa wezi wa machapisho waja

  TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknilojia ya Nelson Mandela,imefanikiwa kufanya utafiti na kuweza kugundua mfumo wa kubaini machapisho ya wizi ambao...

Kimataifa

China yadaiwa kuajiri wanajeshi wa zamani wa UK kuwafunza PLA

  CHINA imetajwa kuajiri  makumi ya marubani wa zamani wa Jeshi la Anga la Kifalme  la Uingereza kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Jeshi...

Habari Mchanganyiko

Wadau: Vyombo vya habari ni mlezi wa demokrasia

  VYOMBO vya habari nchini Tanzania, vimetajwa kuwa mlezi wa demokrasia na utawala Bora, endapo vitatekeleza majukumu yake kikamilifu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Kimataifa

Miguna Miguna arejea nchini Kenya

Wakili Miguna Miguna, ambaye alifurushwa kutoka nchini Kenya tangu mwaka 2018, amewasili jijini Nairobi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dk. Miguna amewasili katika...

Habari Mchanganyiko

Exim yakabidhi msaada wa madawati 100 Tanga

IKIWA inaelekea ukiongoni, kampeni ya ugawaji wa madawati 1000 inayoendeshwa na benki ya Exim Tanzania katika mikoa mbalimbali nchini imeonesha mafanikio makubwa huku...

Habari Mchanganyiko

Walimu kortini kwa kuvujisha mitihani la saba

  WALIMU saba na wafanyabiashara watatu wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwemo la kuvujisha mtihani wa Taifa wa...

Kimataifa

Mwanaye Museveni agomea magizo ya baba yake

  SIKU moja baada ya Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kuweka wazi kwamba atamlazimisha mwanaye Muhoozi Kainerugaba ambaye pia ni jenerali mkuu wa...

Habari Mchanganyiko

LSF, wadau wajadili utekelezaji mpango upatikanaji haki

SHIRIKA lisilo la kiserikali linashughulika na masuala ya msaada wa kisheria nchini, Legal Service Facility (LSF)kwa kushirikiana na wadau wa sekta hiyo zaidi...

Michezo

Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers

  RAIS Samia Suluhu Hassan amepongeza wasanii wawili wa sarakasi kutoka Tanzania, Ibrahim na Fadhili Ramdhan wanaounda kundi la The Ramadhan Brothers baada...

Habari Mchanganyiko

Askofu apandishwa kizimbani kwa kumbaka binti (10)

  ASKOFU maarufu anayeongoza kanisa moja lililo ndani ya mtaa wa Kibera nchini Kenya amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Kibera kwa mashtaka ya...

Kimataifa

Wanne mbaroni kwa kukutwa na simu ya ofisa wa tume uchaguzi aliyeuawa

WATU wanne wamekamatwa jana tarehe 18 Oktoba, 2022 baada ya kupatikana na simu ya mkononi ya Daniel Musyoka – Ofisa wa Tume Huru...

Habari za Siasa

Majaliwa: Serikali haitawatupa wakulima wa tumbaku

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita haitawatupa wakulima wa tumbaku na amewataka waongeze uzalishaji kwani soko la uhakika lipo....

Habari Mchanganyiko

Malkia Maxima wa Uholanzi awasili Dar kwa ziara ya kikazi

MALKIA wa Uholanzi, Malkia Maxima amewasili Jijini Dar es Salaam akitokea mkoani Kilimanjaro ambapo alianzia ziara yake jana tarehe 17 Oktoba 2022 baada...

Habari za Siasa

Shaka: Rais Samia hana ‘mbambamba’ kwenye maendeleo

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amesema Mwenyekiti wa CCM na Rais Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko ya tabia nchi yaua mifugo, wanyamapori 38,720 Longido

  MABADILIKO ya tabia nchi, yameua mifugo na wanyamapori zaidi ya 38,720 kwa kukosa maji na malisho, wilaya ya Longido mkoa wa Arusha....

HabariMichezoTangulizi

Yanga wapewa wababe wa Kipanga kombe la Shirikisho.

  MARA baada ya kuangukia kwenye michuano ya kombe la Shirikisho, klabu ya soka ya Yanga imepangwa kumenyana dhidi ya Club Africain ya...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tunataka  Kigoma iwe kitovu cha biashara

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inataka kuurejesha Mkoa wa Kigoma katika hadhi ya kitovu cha biashara kwa kufungua...

Afya

Tanzania kuwa kituo cha matibabu ya kibingwa Afrika Mashariki

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inataka kuifanya Tanzania kuwa kituo cha matibabu ya afya ya kibingwa kwa nchi inazopakana nazo. Anaripoti...

Afya

Waandishi wa habari wapewa wito kuondosha dhana potofu chanjo Uviko-19

  WAANDISHI wa Habari nchini Tanzania wamepewa wito wa kuishawishi jamii na kuondosha dhana potofu juu ya chanjo ya Ugonjwa wa uviko -19....

Afya

Msigwa: Bima ya afya kwa wote ni kwa nia nzuri

MSEMAJI Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema,uamuzi wa Serikali kuja na sheria ya  Bima ya Afya kwa wote una lengo la kuhakikisha kila...

Michezo

Serikali yaja na mfuko wa kukopesha wasanii bila riba

  Serikali inatarajia kuanzisha mfuko maalum kwa ajili ya kuwezesha wasanii wote nchini kupata fursa ya kukopa bila riba na kujikwamua kiuchumi pamoja...

MichezoTangulizi

Benzema amaliza tambo za Ronaldo, Messi, abeba Ballon d’Or

  MSHAMBULIAJI hatari raia wa Ufaransa, Karim Benzema anayekipiga katika Klabu ya Real Madrid ya nchini Uhispania, ametwaa tuzo ya mchezaji soka bora...

Habari Mchanganyiko

Wanachama 15 NMB Business Club wapaa Uturuki

WAFANYABIASHARA 15 ambao ni Wanachama wa Klabu za Biashara za Benki ya NMB (NMB Business Club), wameagwa jijini Dar es Salaam leo asubuhi...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Shughuli za kuleta maendeleo ni hatua

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema shughuli za kuleta maendeleo katika nchi ni hatua na kuwahakikishia wale ambao bado hawajafikiwa na huduma mbalimbali kuwa...

Habari Mchanganyiko

Kanisa la CAG laiangukia Serikali kulinusuru na wavamizi

MCHUNGAJI wa Kanisa la Calvary Assemblies of God ameiangukia Serikali na kuiomba iwasaidie kudhibiti watu wenye nia ovu ya kutaka kuondolewa kwa kanisa...

Kimataifa

Mwanaye Museveni awapiga mkwara wapinzani, ‘nitawashinda baba akistaafu’

  MTOTO wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba amezua mjadala mpya nchini Uganda kwa kudai kuwa ndiye rais anayefuata wa nchi...

Habari za SiasaTangulizi

Nape aihofia Chadema, ataka CCM ijipime kwa mikutano ya hadhara

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kitendo cha chama cha upinzani Chadema, kuanzisha mfumo wa usajili wanachama...

Kimataifa

Ufaransa kuwapiga msasa wanajeshi 2000 wa Ukraine

  WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikiendelea kupamba moto, Taifa la Ufaransa limetangaza kuanza kuwapa mafunzo maalumu wanajeshi 2,000 wa Ukraine...

Habari Mchanganyiko

Meneja TARURA Kilombero atumbuliwa

  MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff amemuondoa kwenye majukumu yake aliyekuwa Meneja wa...

ElimuHabari

St Mary’s Mbezi Beach yapongezwa kwa maendeleo ya taaluma

WAZAZI wameshauriwa kufuatilia kwa karibu maendeleo ya watoto wao kitaaluma na tabia ili waweze kufanya vizuri kwenye mitihani huku shule ya St Mary’s...

Habari Mchanganyiko

Vigogo NMB ana kwa ana na mkimbiza mwenge 2022

MKAGUZI Mkuu wa Ndani wa Benki ya NMB, Benedicto Baragomwa alikuwa miongoni mwa viongozi walioshiriki kilele cha mbio za mwenge kitaifa 2022, katika...

Habari Mchanganyiko

Bendera ya NMB yasimikwa Mlima Kilimanjaro

WAFANYAKAZI wa Benki ya NMB nchini Tanzania wamefanikiwa kupanda na kusimika bendera ya taasisi hiyo kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya...

Habari Mchanganyiko

Serengeti yashinda tuzo hifadhi bora Afrika mara ya nne mfululizo

HIFADHI ya Taifa ya Serengeti imeshinda tuzo ya Hifadhi bora zaidi barani Afrika 2022 ikiwa ni mara ya nne  mfululizo baada ya kushinda...

Habari Mchanganyiko

Shaka: Samia pumzi mpya ya maendeleo

KATIBU wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Shaka Hamdu Shaka amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni ‘pumzi mpya’  ya maendeleo nchini. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Waziri Mkuu Uingereza amfuta kazi waziri wa fedha

  WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Liz Truss amemfuta kazi waziri wake wa fedha, Kwasi Kwarteng, muda mfupi kabla ya kiongozi huyo kupanga kuachana...

Habari Mchanganyiko

Mamia ya kaa chanje wafariki Zanzibar

SERIKALI Visiwani Zanzibar, imeanza uchunguzi wa chanzo cha vifo vya kaa chanje, walioonekana katika fukwe mbalimbali zilizopo katika kisiwa cha Unguja. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenge warejesha Bil. 2.2/- za mfuko wa maendeleo ya vijana

MWENGE wa Uhuru wa mwaka 2022 imefanikiwa kurejesha Sh 2.2 bilioni za mfuko wa maendeleo ya vijana ambazo zilikuwa zimekusanywa na Halmashauri na...

Habari za Siasa

Halmashauri 43 zenye miradi yenye kasoro zaanikwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako, ameziweka hadharani Halmashauri 43 ambazo zimekutwa...

Habari Mchanganyiko

Gesi asilia yaokoa trilioni 40 uzalishaji umeme

SHIRIKA la Petroli Tanzania (TPDC) limesema kuanza kutumika kwa gesi asilia kuzalisha umeme badala ya mafuta mazito, kumeokoa zaidi ya Sh trilioni 40...

error: Content is protected !!