Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Michezo Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3
Michezo

Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3

Hassan Bumbuli, Afisa Habari wa Yanga
Spread the love

 

AFISA Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amefungiwa miaka mitatu kujihusisha na masuala ya mpira wa miguu baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh. 5,000,000. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Tarehe 28 Septemba 2021, Hassan Bumbuli alitakiwa kulipa kiasi hiko cha fedha baada ya kukutwa na hatia kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kutotakiwa kufanya kosa la kimaadili katika kipindi cha miaka miwili lakini mambo yote hayakutekelezwa.

Taarifa ya kufungiwa Bumbuli imetolewa hii leo tarehe 27 Januari 2021 huku ikieleza kuwa adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia kifungu cha 73 (8)(a) cha maadili ya TFF toleo la 2013.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!