Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Michezo Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3
Michezo

Afisa Habari Yanga atupwa jela miaka 3

Hassan Bumbuli, Afisa Habari wa Yanga
Spread the love

 

AFISA Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli amefungiwa miaka mitatu kujihusisha na masuala ya mpira wa miguu baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh. 5,000,000. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Tarehe 28 Septemba 2021, Hassan Bumbuli alitakiwa kulipa kiasi hiko cha fedha baada ya kukutwa na hatia kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kutotakiwa kufanya kosa la kimaadili katika kipindi cha miaka miwili lakini mambo yote hayakutekelezwa.

Taarifa ya kufungiwa Bumbuli imetolewa hii leo tarehe 27 Januari 2021 huku ikieleza kuwa adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia kifungu cha 73 (8)(a) cha maadili ya TFF toleo la 2013.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

error: Content is protected !!