DONALD Trump, ametoa hotuba yake ya mwisho akiwa Rais wa Marekani akisema, “Tumefanya kile ambacho tulikuja kukifanya na tumefanya mambo mengine mengi.” Inaripoti...
By Masalu ErastoJanuary 20, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameziagiza Halmashauri zinazolima mkonge nchini pamoja na wakulima wakubwa wa mkonge, watenge ekari kumi kwa akili ya...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2021ASKARI wa Kituo cha Polisi Kibaha mkoani Pwani, Yusuph Mohamed Said (52), amekutwa amejinyonga nyumbani kwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea). Taarifa...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2021BAADA ya kukubali kipigo cha mabao 2 – 0, dhidi ya Zambia kwenye michuano ya kombe la Mataifa Afrika, Timu ya Taifa ya...
By Kelvin MwaipunguJanuary 19, 2021WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Dk. Dorothy Gwajima, amewasimamisha watumishi watano wa Hospitali ya Wilaya ya Nansio Ukerewe jijini Mwanza, kupisha uchunguzi wa...
By Danson KaijageJanuary 19, 2021JESHI la Kujenga Taifa (JKT) nchini Tanzania, limesitisha mafunzo ya JKT kundi la kujitolea kwa mwaka 2020-2021. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageJanuary 19, 2021DIRISHA dogo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara na ligi daraja la kwanza, limefungwa tarehe 15 Januari 2021, huku baadhi...
By Kelvin MwaipunguJanuary 19, 2021KAMPUNI ya LZ Nickel Limited ya nchini Uingereza, imefuata nyayo za Kampuni ya Madini ya Barrick Gold Corparation, kwa kuingia ubia na Serikali...
By Regina MkondeJanuary 19, 2021PAMOJA na mmiliki wa sasa wa mgodi wa dhahabu wa Buzwagi, kampuni ya Acacia Mining, kutangaza kutaka kufunga mgodi wake, serikali ya Tanzania...
By Masalu ErastoJanuary 19, 2021HATIMAYE Naghenjwa Kaboyoka, aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), amerejeshwa tena kuongoza nafasi hiyo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageJanuary 19, 2021TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo kwa mara ya kwanza itashuka dimbani dhidi ya Zambia, katika michuano ya kombe la mataifa...
By Kelvin MwaipunguJanuary 19, 2021JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, ameagiza mahakimu na majaji kuanza kutoa muhtasari wa hukumu kwa lugha ya Kiswahili, kuanzia Februari 2021....
By Hamisi MgutaJanuary 18, 2021ALIYEKUWA katibu mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), nchini Tanzania, Grace Tendega, amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati...
By Danson KaijageJanuary 18, 2021KIONGOZI wa Chama cha upinzani nchini Uganda cha National Unity Party (NUP), Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amesema, atakwenda mahakamani kupinga matokeo yaliyompa...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2021ALIYEKUWA kiungo wa klabu ya Arsenal na timu ya Taifa ya Ujeruman, Mesut Ozil amejiunga na klabu ya Fenerbahce ambayo anakipiga mtanzania Mbwana...
By Kelvin MwaipunguJanuary 18, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeahidi kujenga vyuo vya ufundi stadi vitakavyokuwa chini ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), katika kila...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2021MSHAMBULIAJI na Nahodha wa timu ya FC Barcelona, Lionel Messi ameoneshwa kadi nyekundu kwa mara ya kwanza tangu alipoanza kuitumikia klabu hiyo kwenye...
By Kelvin MwaipunguJanuary 18, 2021RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ameutaka uongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuhakikisha inamaliza tatizo la wanafunzi wa Shule ya Msingi,...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2021RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi, Dk. Steven Nindi. Anaripoti...
By Hamisi MgutaJanuary 17, 2021MTOTO wa kwanza wa mwasisi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Sheikh Abeid Aman Karume amesema, baba yake, alikuwapo Zanzibar, usiku wa kuamkia...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021CHAMA cha NCCR- Magezi, nchini Tanzania, kimefanya mabadiliko makubwa katika uongozi wake wa kitaifa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Katika mabadiliko hayo, Martha Chiomba, ambaye alikuwa...
By Hamisi MgutaJanuary 17, 2021MRISHO Gambo, Mbunge wa Arusha Mjini anapiga yowe kwamba, anahujumiwa na baadhi ya viongozi wa Serikali ya Chama Chama Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021HOSPITALI ya Uhuru, Dodoma inayojengwa kwa gharama ya Sh. 3.9 Bilioni, imeanza kutoa huduma kwa wagonjwa wa nje. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kauli hiyo imetolewa...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021RAIS John Magufuli amewataka Watanzania, kulima mazao hasa ya chakula, ili kuzisaidia nchi ambazo zinashindwa kulima kutokana na kufungiwa ndani, kujikinga na maambukizi...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021KAZI ya kumwaga sumu ya ubaguzi miongoni mwa Wazanzibari, inayofanywa na Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na makamu wake wa kwanza...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021MSANII wa Bongo Fleva, Ilunga Khalifa ‘C-Pwaa’ amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 17 Januari 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). C-Pwaa...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021JOSEPH Mafuru, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, amewataka wananchi wanaokwenda kununua ardhi jijini humo kutuliza akili, vinginevyo watanunua sehemu zilizotengwa kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki inayomiliki Chuo...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2021KAMATI ya uchaguzi ya klabu ya Simba imewapitisha Juma Nkamia na Murtaza Mangungu kuwania nafasi ya Mwenyekiti katika uchaguzi mdogo wa klabu hiyo...
By Kelvin MwaipunguJanuary 16, 2021CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, NCCR-Mageuzi “Katiba Mpya ni takwa la lazima kwa Watanzania, penda usipende.” Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaJanuary 16, 2021SERIKALI ya Tanzania, imekusudia kuwafungulia mashtaka ya uhujumu uchumu askari watatu wa Wanyama Pori kwenye Pori tengefu la Kilombero, Mkoa wa Morogoro. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2021KUELEKEA kufungwa kwa dirisha dogo la usajili, klabu ya Yanga imefanikiwa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa kutoka Burundi, Fiston Abdul Razak ili kuongeza nguvu...
By Kelvin MwaipunguJanuary 15, 2021KLABU ya FC Platinum inayoshiriku Ligi Kuu nchini Zimbabwe imethibitisha kuwa imefikia makuabaliano na Simba kuhusu uhamisho wa kiungo wao mshambuliani Perfect Chikwende....
By Kelvin MwaipunguJanuary 15, 2021MAOFISA kadhaa wa ngazi ya juu, kutoka vikosi vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021JENISTA Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Sera, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu amemwagiza Msajili wa Vyama vya Wafanyakazi na...
By Danson KaijageJanuary 15, 2021BARAZA Mitihani la Tanzania (Necta), limetangaza matokeo ya mthani wa kidato cha nne, uliofanyika mwaka 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Masalu ErastoJanuary 15, 2021ROBERT Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, amepinga matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Uganda mpaka sasa akidai hila zimefanyika. Inaripoti mitandao ya kimataifa...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021BARAZA Mitihani la Tanzania (Necta), limefuta matokeo yote ya watahiniwa 215, waliofanya udanganyifu katika mitihani yao ya Taifa mwaka 2020. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJanuary 15, 2021NAIBU Waziri Ofisi ya Rais- Tamisemi, David Silinde amemsimamisha kazi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Korona Jiji la Arusha, Kashinde Mandari kwa...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021TUME ya Taifa ya Ushindani (FCC) imetoa taarifa kwa umma juu ya kuendelea kufanya uchunguzi kuhusiana na mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anaongoza katika matokeo ya awali ya kura zilizohesabiwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Mpaka kufika saa...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la nne uliofanyika 2020. MATOKEO YA DARASA LA NNE HAYA HAPA
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Serikali inaendelea na mapamba dhidi ya wala rushwa na haitawaacha salama viongozi wala rushwa na mafisadi...
By Danson KaijageJanuary 15, 2021BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya kidato cha nne uliofanyika Novemba 2020. MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya kidato cha pili uliofanyika tarehe 23 Novemba hadi 11 Desemba 2020. MATOKEO YA KIDATO...
By Mwandishi WetuJanuary 15, 2021BENKI ya Dunia (WB), inatarajia kutoa kiasi cha Sh.3 bilioni kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa machinjio tatu za kisasa jijini Dodoma. Anaripoti...
By Danson KaijageJanuary 14, 2021JOSEPH Haule, maarufu Profesa Jay amesema, yeye ni mbunge nje ya Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema hayo leo...
By Masalu ErastoJanuary 14, 2021VITUKO vya Uchaguzi Mkuu nchini Uganda vinaanza kudhihiri, tayari sanduku moja la kura linaripotiwa kuibwa na kutokomea kusikojulikana. Inaripoti mitandao ya kimataifa …...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Iringa kimetengeneza utaratibu mpya wa kuwapima madiwani na wabunge wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Iringa … (endelea). Sasa...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2021MAOFISA watatu wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha na wafanyabiashara watano, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya mkoani humo kwa makosa sita ikiwemo...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2021