Thursday , 18 April 2024
Home Kitengo Michezo FC Platinum yabariki usajili wa Chikwende Simba
Michezo

FC Platinum yabariki usajili wa Chikwende Simba

Perfect Chikwende akisaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Simba
Spread the love

KLABU ya FC Platinum inayoshiriku Ligi Kuu nchini Zimbabwe imethibitisha kuwa imefikia makuabaliano na Simba kuhusu uhamisho wa kiungo wao mshambuliani Perfect Chikwende. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam …  (endelea).

Chikwende alionekana mwiba mara baada ya kuwafunga Simba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa nchini Zimbabwe kwenye mzunguko wa kwanza na kufanya timu hiyo kuibuka na ushindi wa bao 1-0 na baadae kufungwa bao 4-0 kwenye mchezo wa marudiano uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.

Taarifa kutoka ndani ya klabu ya FC Platinum imeeleza kuwa timu zote mbili zimefikia makubaliano juu ya uhamisho wa mchezaji huyo na hivyo wanamtakia kila la kheri kwenye majukumu yake mapya.

Mchezaji huyo ambaye ameshatua nchini huenda akatambukishwa leo tarehe 15 Januari, 2021 kama mchezaji mpya wa klabu ya Simba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!