Tuesday , 21 May 2024

Month: January 2021

Habari

Rais Mwinyi: Asiyekuwemo, hatoingizwa

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema, katika hatua anazochukua kuondoa ‘uchafu’ katika Serikali yake, ‘asiyekuwemo hatoingizwa.’ Anaandika Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea). Akizungumza wakati wa...

Habari

Petroli yashuka, dizeli yapanda, risiti…

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) nchini Tanzania, imetangaza kupungua bei ya Petroli za rejareja kwa Sh.31, Dizeli ikipanda...

Afrika

Uchaguzi Uganda: Museveni ateua mwanajeshi kusimamia usalama

YOWERI Kaguta Museveni, Rais wa Uganda, ameamua kumteua Brigedia Kayanja Muhanga, kusimamia masuala ya usalama wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu nchini humo unaotarajiwa...

Habari Mchanganyiko

Safari za meli kutoka Tanzania-Msumbiji, Malawi yazinduliwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezindua rasmi safari ya meli mpya ya MV Mbeya II itakayotoa huduma katika Ziwa Nyasa nchini na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Msiogope

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewataka Watanzania waliosimama na upinzani katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, wasiogope. Anaripoti Mwamdishi...

Michezo

Beki Stars atundika daluga, kuagwa Januari 10

BEKI mwandamizi wa Azam FC, Aggrey Morris ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ akiwa na umri wa miaka...

Habari Mchanganyiko

Dawasa yatangaza upungufu wa maji saa 24 Dar

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (Dawasa), imetangaza upungufu wa huduma ya maji kwa baadhi ya wananchi wa Jiji...

Michezo

Ndumbaro mgeni rasmi Simba dhidi ya Platinum

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damasi Ndumbaro, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa klabu bingwa barani Afrika, kati wenyeji Simba Sport...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Membe ametupa funzo  

HATUA ya Bernard Membe, aliyekuwa mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, kukitelekeza chama hicho, imekera viongozi wake. Anaripoti Brigthness Boaz, Dar es Salaam...

Michezo

CAF waridhia ombi la Simba, mechi kuchezwa saa 11            

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeridhia ombi la klabu ya Simba kuchezwa kwa mchezo wao dhidi ya FC Platinum kuchezwa majira...

Kimataifa

Rais Trump alipanga njama za wizi wa kura 

RAIS anayeondoka mamlakani nchini Marekani, baada ya kushindwa uchaguzi mwezi uliyopita, Donald Trump, amedukuliwa kuwa alipanga njama za wizi wa kura. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

COVID-19: Baada ya miezi 9, Kenya yafungua shule

BAADA ya miezi tisa ya kufungwa kwa shule nchini Kenya, leo Jumatatu tarehe 4 Januari 2021, shule hizo zimefunguliwa na kuanza masomo. Inaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mtoto wa Mwalimu Nyerere kuzikwa Pugu

MWILI wa Rosemary, mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere utazikwa Jumatano hii ya tarehe 6 Januari 2021, makaburi ya Kituo cha...

Michezo

Carlinhos kuongoza jeshi la Yanga Mapinduzi Cup

NYOTA Carlos Carlinhos moja kati ya wachezaji waliopo kwenye kikosi cha wachezaji 20 watakaokwenda kuiwakilisha klabu ya Yanga katika michuano ya Kombe la...

Habari Mchanganyiko

Kisima cha mwaka 1989 chafufuliwa Dodoma, mkandarasi apewa siku 60

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maji nchini Tanzania, Mhandisi Nadhifa Kemikimba, ametoa siku 60 kwa mkandarasi SUMA JKT anayejenga tanki la maji eneo...

Habari Mchanganyiko

Corona inavyoendelea kuitesa Afrika, dunia 

MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 85.5, waliopona milioni 60.4 na waliopoteza maisha milioni 1.8. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaelezwa chanzo ajali ya treni iliyoua, kujeruhi

WATU watatu, wamefariki dunia na wengine 66, kujeruhiwa katika ajali ya treni iliotokea jana Jumamosi jioni tarehe 02 Januari 2021, maeneo ya Kigwe...

Habari za Siasa

Maalim Seif aanza kuwakamua sumu Wazanzibari

MAALIM Self Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ameeleza athari  zinazotokana na siasa za mivutano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar …...

Habari Mchanganyiko

Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia

ROSEMARY Julius Nyerere, mtoto wa saba wa Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa Kwanza Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Taarifa...

Habari Mchanganyiko

Video ya Darul Uloom Haqqania  iliyotibua Serikali ya Kabul

VIDEO iliyowekwa na Chuo cha Darul Uloom Haqqania, Pakistan kwenye mitandao ya kijamii ikiwasifu  wanamgambo wa Taleban, imeitia hasira Serikali ya Pakistan. Anaandika...

Habari za Siasa

Mbatia aanza mwaka kwa maneno mazito

JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amesema, uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 2020, umelivua nguo Taifa. Anaandika Yusuph Katimba, Dar es Salaam…(endelea). Katika...

Habari za Siasa

Lissu: Tusishiriki tena uchaguzi hadi…

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu, amevishauri vyama vya siasa vya upinzani nchini humo, kutoshiriki...

Habari za SiasaTangulizi

Membe aimwaga ACT-Wazalendo

ALIYEKUWA mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe ametangaza rasmi kujiuzulu uanachama na na nafasi ya mshauri mkuu wa chama hicho....

Habari za SiasaTangulizi

TRA yaweka historia, yakusanya Trilioni 2 Desemba

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka historia ya makusanyo ya mapato kwa Desemba 2020, kwa kukusanya Sh.2.088 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

error: Content is protected !!