Sunday , 2 April 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mtoto wa Mwl. Nyerere afariki dunia

Marehemu Rosemary Nyerere enzi za uhai wake
Spread the love

ROSEMARY Julius Nyerere, mtoto wa saba wa Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa Kwanza Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Taarifa kutoka kwa wanafamilia hiyo imeeleza, Rosemary alifariki dunia jana jioni tarehe 1 Januari 2021, jijini Dar es Salaam.

“Taarifa za msiba huo ni kweli lakini kuna mwanafamilia mmoja atakuja na taarifa rasmi ya familia, mimi nathibitisha tu kwamba Rosemary amefariki jana,” amesema mmoja wa wanafamilia hao.

1 Comment

  • Msalimie mwal nyerere,nkwame nkurumah,malcomx,muamar gadafi,robert gabriel mugabe,dr martin luther king jr,che guevara

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Ditopile aungana na Wana-Kongwa kwa Iftar, wamuombea dua Rais Samia

Spread the loveKATIKA muendelezo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mbunge wa Viti...

Habari Mchanganyiko

PSSSF yawekeza kwenye viwanda 4, kuzalisha ajira 3,000

Spread the loveKATIKA kuisaidia Serikali kupunguza tatizo la uhaba wa ajira nchini,...

Habari Mchanganyiko

Luhemeja ahimiza utunzaji rasilimali maji kwa faida ya vizazi vijavyo

Spread the love  NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Cyprian Luhemeja...

Habari Mchanganyiko

NSSF yawapa darasa wahariri uwekezaji wa nyumba, yapewa cheti

Spread the loveMFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa wito...

error: Content is protected !!