Tuesday , 21 May 2024

Month: January 2021

MichezoTangulizi

Nizar Khalfan kwenye rada za Yanga

  WAKATI kikosi cha Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Tanzania Bara kikiingia kambini hii leo kujiandaa na michezo ya mzunguko wa pili...

Habari za Siasa

Dada wa Spika Ndugai afariki, azikwa

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameshiriki mazishi ya Mary Ndugai, dada wa Spika wa Bunge, Job Ndugai. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mpwapwa...

Michezo

Lampard kuwashiwa taa ya kijani Chelsea

  TAARIFA kutoka vyanzo mbalimbali nchini Uingereza vinasema huwenda muda wowote klabu ya Chelsea ikamtimua kocha wake wa sasa Frank Lampard kufuatia matokeo...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mtanzania awa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo ya Brady

  JOYCE Singano, mwanasayansi na mtafiti, amekuwa Mwafrika wa kwanza kutwaa tuzo maarufu inayotolewa kwa wataalamu wa maiamba duniani ‘Brady Meda.’ Inaripoti mitandao...

Habari Mchanganyiko

Choroko, ufuta, mbaazi yafuata mfumo wa korosho

  MAUZO ya mazao aina ya choroko, Soya, Ufuta, Mbaazi sasa yatauzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani kama ilivyo zao la korosho. Anaripoti...

Michezo

Wachezaji watatu, timu ya Taifa Congo wakutwa na Corona

  KUELEKEA mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi wa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wandani (CHAN), wachezaji watatu wa...

Michezo

Yanga kuanza mazoezi leo

  BAADA ya mapumziko ya siku 10, hatimaye kikosi cha Yanga kitaanza mazoezi leo kujiandaa na michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Ethiopia apimwa joto, ‘apakwa’ vitakasa mikono Chato

  KATIKA kuchukua tahadhari dhidi ya kusambaa kwa maambukizo ya virusi vya corona (COVID-19), Sahle – Work Zewde, Rais wa Ethiopia amepimwa joto...

Habari Mchanganyiko

RC aeleza machungu ya polisi kwa raia

  ANTHONY Mtaka, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu (RC), amelalamikia hatua ya haki za raia kuanza kutoweka katika mikono ya Jeshi la Polisi....

Habari Mchanganyiko

Mama mzazi wa DC Jerry Muro afariki dunia

ANKUNDA Muro, mama mzazi wa Mkuu wa Wilaya (DC) ya Arumeru jijini Arusha, Jerry Muro amefariki dunia jana Jumapili tarehe 24 Januari 2021,...

Afya

Serikali yalaani askari aliyemtwanga makofi raia hospitali

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza kuumizwa na hatua ya askari wa ulinzi (SUMA – JKT)...

Habari za Siasa

Mama Samia: Amani inatokana na haki

  MAMA Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania amesema, amani inatokana na haki. Anaripoti Brightness Boaz … (endelea). Akizungumza wakati wa...

Habari Mchanganyiko

Jerry Murro: Alisema atajiua

  JERRY Murro, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha amesema, kijana Furahini Mbise, aliyekutwa amekufa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya...

Michezo

Kocha mpya Simba: Namjua Kagere

  KOCHA mpya wa timu ya Simba, Didier Gomes amesema kuwa ameifuatilia kwa karibu Ligi Kuu ya Tanzania Bara na kuwafahamu baadhi ya...

MichezoTangulizi

Simba yamtambulisha Mfaransa kuwa kocha mpya

  UONGOZI wa klabu Simba umemtambulisha, Didier Gomes raia wa Ufaransa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili. Anaripoti...

Habari za Siasa

Hawa waripotiwe – Waziri Majaliwa 

  KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania ametaka watu wanaosumbua wawekezaji kwa kuwaongezea gharama, waripotiwe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Iringa…(endelea). Na kwamba, wawekezaji hao...

Michezo

Liverpool kuikabili Manchester leo, Salah, Firmino kurejea

MARA baada ya kupoteza kwa bao 1-0, mbele ya Burnley, kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp ataongoza kikosi chake kwenye Uwanja Old Trafford kuwakabili...

KimataifaTangulizi

Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi afungwa jela

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Daniel Ngoyi Mulunda, sasa yuko gerezani anakotumikia kifungo chake. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Mkude atozwa faini milioni 2, aitwa kambini

  KAMATI Nidhamu ya Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, imemkuta na hatia kiungo wa klabu hiyo, Jonas Mkude ya utovu wa...

Habari za Siasa

Silinde atembelea shule ya King’ongo-Ubungo, atoa maagizo

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), David Silinde ameagiza halmashauri zote nchini Tanzania, kuhakikisha hakuna mwanafunzi...

Habari za Siasa

Aliyekuwa mgombea udiwani NCCR-Mageuzi atimkia Chadema

ALIYEKUWA mgombea Udiwani wa Saranga Jimbo la Kibamba, Dar es Salaam kupitia NCCR-Mageuzi, Frank Rugwana ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyempiga vibao mjamzito akutwa na hatia, aadhibiwa

BARAZA la Uuguzi na Ukunga Tanzania, limemwondoa kwenye orodha ya wauguzi na wakunga Tanzania, Valentine Kinyanga wa kituo cha afya Mazwi, Sumbawanga Mkoa...

Kimataifa

Waziri wa tatu afariki kwa corona Zimbambwe

  WAZIRI wa Usafirishaji wa Zimbabwe, Joel Biggie Matiza, amefariki dunia jana Ijumaa tarehe 22 Januari 2021, katika Hospitali ya St. Anne Harare...

Michezo

Stars kushuka dimbani, kuwakosa Nyoni, Bocco

  TIMU ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inashuka dimbani kucheza na Namibia kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu amjaza mimba ‘denti’ afungwa miaka 30

MJENGI Samson, Mwalimu wa Shule ya Msingi Isomya, Manispaa ya Singida, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumbaka na kumjaza mimba mwanafunzi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Raia wa Tanzania, DRC wapigwa marufuku kuingia Uingereza

UINGEREZA imepiga marufuku abiria kutoka Tanzania na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuingia nchini humo, ili kuzuia maambukizo ya aina mpya ya...

MichezoTangulizi

Sakata upasuaji wa Morrison, CEO wa Simba afunguka

  MTENDAJI Mkuu wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez amemaliza sintofahamu juu ya winga wa timu hiyo, Bernard Morrison kuhusu taarifa zilikuwa zinaeleza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukaguzi wa magari: TBS yaingia kigugumizi

  SHIRIKA la Viwangoa Tanzania (TBS), limeshindwa kueleza iwapo gari litashindwa kukaguliwa ndani ya siku saba, tozo ya kuhifadhi gari hilo bandarini zitatolewa...

Michezo

Jonas Mkude kikaangoni Simba

HATMA ya kiungo wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Jonas Mkude juu ya tuhuma za kinidhamu zinazomkabili, itajulikana kesho...

MichezoTangulizi

Simba yatangaza michuano yake, kocha mpya…

  TIMU ya Simba ya Dar es Salaam, imetangaza michuano ya Kimataifa ‘Simba Super CUP’ ikihusisha timu tatu Simba, TP Mazembe ya Congo...

Habari za Siasa

Majaliwa amkabidhi binti mwenye ulemavu nyumba, milioni 18

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameendesha harambee ya papo kwa papo na kuchangisha Sh.18.9 milioni, kati ya hizo, Sh.10 milioni zimetolewa na...

Michezo

Klopp: Tumepoteza mchezo ambao hatukustahili kupoteza

KICHAPO cha bao 1-0, dhidi ya Burnley, kocha kikosi cha Liverpool, Jurgen Klopp amesema kuwa timu yake imefungwa kwenye mchezo ambao hawakustahili kufungwa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo ‘wakimbilia’ kwa Biden

CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimemsihi Joe Biden, Rais wa Marekani kupingana pia kuchukua hatua dhidi ya mataifa ya Kiafrika yanayokandamiza demokrasia. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Ma MC, wapambaji, wamiliki wa kumbi kutozwa ada

WATU wanaofanyakazi ya kupamba kumbi za starehe, kusherehesha (Ma-MC), wapishi wa sherehe na wapiga picha, watatakiwa kulipa ada na ushuru. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Majaliwa awatangazia neema wakulima wa mkonge

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali itahakikisha changamoto zote zilizokuwa zinawakabili wakulima wa zao la mkonge nchini humo, ikiwemo ya kuibiwa...

Habari Mchanganyiko

RC mstaafu Kigoma afariki dunia

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Kigoma (RC), Brigedia Jenerali, Emmanuel Maganga, amefariki dunia jana Alhamisi saa 3 usiku tarehe 21 Januari 2021, katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hofu ya corona: Kanisa ‘tusimjaribu Mungu’

ISAAC Aman, Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha amewataka Watanzania kutomjaribu Mungu katika kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Maendeleo makubwa yanahitaji muda

MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesihi Wazanzibari kuendelea kustahamili shida kabla ya kutarajia matokeo ya haraka ya...

KimataifaTangulizi

SAKATA LA CORONA: Mipaka kufungwa Ulaya

KUIBUKA upya kwa ugonjwa wa Corona ulimwenguni, kunaweza kusababisha mataifa kadhaa ya Ulaya, kufunga mipaka yake, ili kuzuia kusambaa kwa ugonjwa huo. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Mkude ‘achutama’ aomba kusamehewa

KIUNGO wa timu ya Simba na Taifa ya Tanzania, Jonas Mkude ameomba radhi kwa viongozi, wanachama pamoja na mashabiki wa klabu hiyo mara...

Habari za SiasaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Nachunguzwa

MHANDISI Deusdedit Kakoko, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA) amesema, yeye ni miongoni mwa watu wanaochunguzwa katika sakata la kuisababishia hasara serikali....

Habari za Siasa

NEC ‘yajitutumua’ kwa Marekani

TUME ya taifa ya uchaguzi nchini (NEC), imeitaka serikali ya Marekani kueleza, ni  namna gani uchaguzi mkuu uliyopita nchini  Tanzania ulivyoingiliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Michezo

TFF kuwapiga msasa viongozi klabu za Ligi Kuu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linatarajia kuendesha Semina kwa viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara ili kuwajengea uwezo katika...

Habari Mchanganyiko

JPM amlilia mbunge wake

RAIS John Magufuli ameeleza kusikitishwa na kifo cha Martha Umbulla, mbunge wa viti maalumu kupitia ChamaCha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Katika salamu...

Habari za Siasa

Pigo CCM, mbunge wake afariki

MARTHA Jachi Umbulla, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 21 Januari 2020....

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaivimbia Marekani 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeitaka Marekani kueleza namna Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ulivyoingiliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Michezo

Ligi Kuu Bara kurejea 13 Februari

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajia kurejea tena tarehe 13 Februari, 2021 mara baada ya kusimama kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi pamoja na...

KimataifaTangulizi

Biden aanza kuzika sera za Trump 

HATA kabla ya saa 24 kupita tangu kuapishwa kwake kuwa Rais wa 46 wa Marekani, Joe Biden tayari amebatilisha baadhi ya sera za...

Michezo

Mwambusi aachana na Yanga

KOCHA msaidizi wa timu wa Yanga, Juma Mwambusi ameamua kuachana na klabu hiyo mara baada ya kusumbuliwa na matatizo ya kiafya na kuhitaji...

MichezoTangulizi

‘Top four’ England, kumweka bingwa njia panda

WAKATI Ligi Kuu England ikiendelea tena leo ikiendelea leo kwa michezo miwili kupigwa, haki imeonekana si shwari kwa timu kugombania nafasi nne za...

error: Content is protected !!