Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Pigo CCM, mbunge wake afariki
Habari za Siasa

Pigo CCM, mbunge wake afariki

Marehemu Martha Jachi Umbulla
Spread the love

MARTHA Jachi Umbulla, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 21 Januari 2020. Anaripoti Brightness Boaz, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa ya kifo hicho imetolewa na Job Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri kwamba, mbunge huyo alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya HCG, Mumbai nchini India.

“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mhe. Martha Umbulla. Natoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na jamaa na wananchi wa Mkoa wa Manyara.

“Mungu awape moyo wa utulivu na subra katika kipindi hiki kigumu,” amesema Spika Ndugai na kwamba, ofisi ya bunge inaratibu mipango ya mazishi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!