Tuesday , 3 October 2023
Home Kitengo Maisha Afya Waziri Gwajima aanza safari kuukabili ukatili
Afya

Waziri Gwajima aanza safari kuukabili ukatili

Dk. Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya wa Tanzania
Spread the love

 

WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imetaka wananchi wanaokabiliwa na vitendo vya kikatili kwenye familia/nyumba zao, kuwasiliana na maofisa wa wizara hiyo moja kwa moja kwa kupiga simu ili kupata msaada zaidi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Kwenye tamko lake dhidi ya vitendo vya kikatili kwa wanawake na watoto leo tarehe 29 Januari 2021, Dk. Dorothy Gwajima ambaye ni waziri wa wizara hiyo amesema, namba zitazotumika kupokea malalamiko ama taarifa hizo ni yakwake mwenyewe-0734124119, Naibu Waziri, Dk. Godwin Mollel-0764594078, Katibu Mkuu, Profesa Mabula Mchembe-0739900100 na Kamishna wa Ustawi wa Jamii-0754497122.

Kwenye tamko hilo, Dk. Gwajima amesema, kumekuwa na ongezeko la vitendo vya ukatili ikiwa ni pamoja na mauaji na hata wengine kutaka kujiuzulu.

Ameagiza Maofisa wa Ustawi wa Jamii ngazi zote za halamshauri pamoja na mambo mengine, kutenga siku moja katika wiki ili kusikiliza changamoto za kijamii ikiwemo migogoro ya familia.

Soma zaidi tamko lake…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

Chanjo mpya ya malaria Sh 5,000-10,000

Spread the loveShirika la afya la Duniani (WHO) limeridhia chanjo ya pili...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wagonjwa kiharusi waongezeka, Hospitali Mkapa yaja matibabu mapya

Spread the loveHOSPITALI ya Benjamini Mkapa kwa kushirikiana na madaktari Bingwa kutoka...

AfyaHabari Mchanganyiko

Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure, wanawake wapewa neno

Spread the loveMAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha...

Afya

Serikali yaanza kutekeleza maombi ya Prof. Muhongo

Spread the loveSERIKALI imeanza kutekeleza maombi ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof....

error: Content is protected !!