Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Michezo Kocha TP Mazembe avutiwa na kiungo wa Simba
Michezo

Kocha TP Mazembe avutiwa na kiungo wa Simba

Felix Mwamba, Kocha wa TP Mazembe
Spread the love

 

KOCHA wa kikosi cha TP Mazembe, Felix Mwamba ameonekana kuvutiwa na kiwango cha kiungo wa klabu ya Simba Laary Bwalya mara baada ya kuonesha kutamani kumtumia kwenye kikosi chake. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Mazembe ambao wapo nchini Tanzania na siku ya kesho watashuka dimbani kumenyana na Simba kwenye michuano ya Simba Super Cup katika mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, majira ya saa 11 jioni.

Akijibu swali la mwandishi wa habari juu ya mchezaji gani kutoka upande wa klabu ya Simba anayemvutia kocha huyo akusita kusema kuwa “Ningekuwa naweza kumchukua mchezaji mmoja kutoka Simba ningechukua Bwalya”

Bwalya ambaye amejiunga na Simba msimu huu akitokea klabu ameonesha kiwango kikubwa hasa kwenye michuano ya kimataifa hasa kwenye michezo miwili ya nyumbani na ugenini dhidi ya FC Platinum.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!