Saturday , 20 April 2024
Home gabi
1241 Articles145 Comments
Habari za Siasa

Kinana: Dira ya maendeleo itaboresha pato la mtu mmoja mmoja

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulurhaman Kinana amesema mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia...

ElimuHabari Mchanganyiko

Tume ya TEHAMA yaanika mikakati kuendana na mabadiliko ya kidijitali

KATIKA kujenga uwezo kwa kampuni ndogondogo zinazojishughulisha masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Tume ya Tehama (ICTC) inatarajia kujenga vituo katika...

Habari Mchanganyiko

Kaya 10,000 kuhama kwa hiari awamu ya pili Ngorongoro

IMEELEZWA kuwa ujenzi wa nyumba 5,000 utawezesha kaya 10,000 kuhama kwa hiari kutoka Ngorongoro kuelekea katika kata za Msomera, Saunyi (Tanga) na Kitwai...

Biashara

TPA yajivunia Zimbabwe kuwa soko jipya mizigo ya magari bandari Dar

KAMPENI ya kuitangaza bandari ya Dar es Salaam kimataifa imetajwa kuanza kuzaa matunda baada ya wafanyabiashara na wakazi wa Zimbabwe kuichagua bandari hiyo...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yamwaga mikopo ya Sh1.8 trilioni kwa zaidi ya wanawake 168,000

BENKI ya NMB imetoa zaidi ya Sh1.8 trilioni kwa wanawake 168,600 wa biashara ndogo na za kati (SMEs) katika kipindi cha miezi 10...

Biashara

NMB yawanoa wahariri kuhusu bima ya afya, mazishi

BENKI ya NMB imewanoa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini kuhusu matumizi ya huduma mpya za bima ya afya pamoja na bima...

Biashara

Majaliwa aipongeza STAMICO kuendelea kunadi matumizi nishati mbadala

Waziri  Mkuu Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa  amelipongeza Shirika la Madini la Taifa STAMICO  kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati  Mbadala ...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa aagiza wizara, taasisi kulipa madeni ya vyombo vya habari

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ifanye uratibu wa madai ya vyombo vya habari, sambamba na...

Habari za Siasa

Dk. Biteko aagiza watumishi kufanya kazi zenye matokeo chanya

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewasisitiza Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kufanya kazi kwa ushirikiano ili kazi...

Habari Mchanganyiko

Tume ya Madini yaainisha mikakati kuendana na Dira ya 2030

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema katika utekelezaji wa Dira ya 2030 yenye kueleza kuwa, “Madini ni Maisha na...

Habari Mchanganyiko

RC Tanga azindua mradi wa bil. 54 unaohifadhi maeneo ya bahari Tanga, Pemba

MKUU wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba amezindua mradi wa ReSea unaolenga uhifadhi wa maeneo makubwa ya Bahari kwa ajili ya maendeleo endelevu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Matumizj ya risiti, stempu feki yaitikisa TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujiepusha na matumizi ya risiti na stempu feki ambazo zinaikosesha serikali mapato. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atembelea banda la GGML kwenye maonesho ya madini, aipa tano utekelezaji CSR

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwenye maonesho ya madini kando ya Mkutano...

Makala & Uchambuzi

Local content inavyonufaisha wawekezaji wazawa katika sekta ya madini

MNYONGE mnyongeni lakini haki yake mpeni! Ni usemi unaoshabihiana na mabadiliko makubwa yaliyoanzishwa na Rais wa awamu ya tano Dk. John Magufuli katika...

Habari MchanganyikoMichezo

Usiku wa Madini waupamba mkutano TMIF, Miss Tanzania 2023 awa kivutio

Waziri wa Madini nchini Malawi, Monica Chang’anamuno amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi na mikakati ...

Biashara

STAMICO yanadi fursa za uwekezaji madini katika kongamano la TMIF

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa, (STAMICO) Dk. Venance Mwasse ametoa wito kwa wawekezaji kutoka ndani ya nje ya nchi kuja...

Biashara

Biteko: Mazingira uwekezaji sekta ya madini njia nyeupe

NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza zaidi Tanzania katika shughuli za utafutaji, uchimbaji, uchenjuaji, uongezaji thamani na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Migodi 350 yaunganishwa na umeme wa gridi ya Taifa

Naibu Wazirj Mkuu, Dk. Doto Biteko amesema migodi zaidi ya 350 ya wachimbaji wadogo imeunganishwa na umeme wa gridi ya Taifa na hivyo...

Habari za Siasa

UN kuadhimisha miaka 78 ya kuanzishwa kwake

Umoja wa Mataifa (UN) nchini Tanzania unatarajia kuadhimisha miaka 78 tangu ilipoanzishwa mwaka 1945.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea) Akizungumza na waandishi wa Habari...

BiasharaTangulizi

 Rostam awekeza bilioni 250 kuzalisha umeme Zambia

Mfanyabishara maarufu nchini, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake ya Taifa Group, ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza kwenye sekta ya uzalishaji umeme kwa...

Habari Mchanganyiko

TARURA yatangaza kiama wakandarasi, watumishi watakaozoroteza ujenzi barabara

Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijijini  na Mijini (TARURA) mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emmauel Ndyamkama amesema ataendelea kusimamia ubora wa kazi zinazofanyika...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Tanzania, Zambia zakubaliana kutatua changamoto za kibiashara

Tanzania na Zambia zimekubaliana kutatua changamoto nane kati ya 24 za kibiashara na 16 zilizobaki zimewekewa utaratibu wa kuzitatua ifikapo tarehe 31 Disemba...

Biashara

NMB kuanza kutoa mikopo kidigitali kwa watumishi wa umma 

BENKI ya NMB  imebainisha mipango yake ya kuanzisha mfumo wa uthibitishwaji wa maombi ya mikopo kwa njia ya kidigitali kwa wafanyakazi wa umma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

GGML yaibuka mshindi wa jumla maonesho ya madini Geita

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited imenyakua tuzo nne ikiwamo mshindi wa jumla katika maonesho ya teknolojia ya madini yaliyofanyika kwa muda wa...

Elimu

Green Acres kuwakatia bima wanafunzi wote

Shule ya Green Acres imejipanga kufanya mambo makubwa kwa mwaka 2023 / 2024 ikiwemo kuwakatia bima wanafunzi wa shule hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Biashara

BRELA watoa elimu urasimishaji biashara maonesho madini

KATIKA kuongeza wigo kwa wawekezaji na wafanyabiashara kurasimisha biashara zao, Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni  nchini (BRELA) umetoa wito kwa wafanyabiashara...

AfyaHabari Mchanganyiko

Magonjwa yasiyoambukiza tishio, vyombo vya habari vyatakiwa kuelimisha umma

VYOMBO vya habari vimetakiwa kuongeza jitihada katika elimu ya kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza (NCD’s) ili kukabiliana na janga hilo ambalo sasa likadiriwa...

ElimuHabari

Wanafunzi wa vipimo na viwango CBE waula

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kisasa kwenye idara yake ya vipimo na viwango hususan kwenye upimaji...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Hii ndio sura halisi ya Rais Samia

KILA zama na kitabu chake. Hizi ni zama za Rais Samia Suluhu Hassan na kitabu anachotumia ni tofauti na kilichotumiwa na mtangulizi wake...

Biashara

Serikali yakanusha madai GGML ku-blacklist vijana nchini

SERIKALI imekanusha uvumi kwamba Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewa-blacklist vijana ambao wamesitishiwa ajira zao na mgodi huo kwa sababu mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Watu 3,000, nchi 70 kushiriki AGRF

ZAIDI ya watu 3,000 kutoka nchi 70 duniani wanatarajiwa kushiriki katika mkutano wa siku nne wa Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF), unaotarajiwa kuanza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee amuangukia Majaliwa kutekwa kwa mwanaye, “bora nife”

KATIKA hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu mkazi wa Kata ya Iyela – Mbeya Mjini mkoani Mbeya, amesema bora arudi nyumbani na...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kuhusu mitaji kwa wakulima, ushirika

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iweke katika lugha rahisi andiko juu ya upatikanaji wa mitaji na pembejeo kwa wakulima na...

Biashara

NMB yatenga bilioni 20 BBT, yamwaga mikopo kwa wakulima

KATIKA kuuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT), Benki ya NMB imetenga jumla...

Habari MchanganyikoTangulizi

Papa Fransisco amteua Askofu Mkuu Rugambwa kuwa Kardinali

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francisco amemteua Askofu Mkuu Mwandamizi Jimbo Kuu la Tabora, Protase Rugambwa kuwa kardinali nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Drone kutumika ulinzi wa bomba la TAZAMA

NDEGE ndogo zisizo na rubani (drone) zinatarajiwa kutumika katika ulinzi wa bomba la mafuta linalotumika kusafirisha mafuta kutoka Bandari ya Dar es Salaam...

BiasharaTangulizi

Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere Februari-2024

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imebainisha kuwa mpaka kufikia mwezi Juni 2024, Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) litaanza kutoa huduma...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaanza mchakato wa kuiuzia Zambia gesi asilia, “mawaziri 6 kujifungia”

WAZIRI wa Nishati, January Makamba amesema Serikali za Tanzania na Zambia zipo katika mazungumzo jinsi ya kujenga bomba jipya la mafuta pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi azindua huduma ya bima ya Takaful, aipongeza ZIC

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi amezindua huduma ya Bima inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu (Takaful)...

Kimataifa

Marekani, Urusi kubadilisha wafungwa

NCHI mahasimu Marekani na Urusi zinajadili uwezekano wa kubadilishana wafungwa ambao unaweza kumhusisha mwandishi wa gazeti la Wall Street Journal, Evan Gersh-kovich, ambaye...

Habari Mchanganyiko

Makamu Rais Zanzibar awataka wahariri kuweka misingi kukuza kiswahili, “mbwembwe zinatia dosari”

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah ametoa rai kwa wahariri wa vyombo vya habari kuweka misingi imara ya kukuza...

Michezo

NMB, Yanga SC. waingia makubaliano kuimarisha huduma za kidijitali, kusajili wanachama

KWA kutambua umuhimu wa sekta ya michezo nchini, Benki ya NMB imeingia makubaliano na timu ya Yanga SC. na kuwa benki ya kwanza...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam amlipua Dk. Slaa… “ni kizabizabina”

MFANYABISHARA wa Kimataifa ambaye pia ni mwanasiasa, Rostam Aziz amejibu Balozi Dk. Wilbrod Slaa ambaye alimtuhumu kwa mambo mbalimbali na kusisitiza kwamba Katibu...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam Aziz: Sihusiki na uwekezaji wa DP World

MFANYABIASHARA wa kimataifa nchini, Rostam Aziz amesema hahusiki lakini pia kampuni zake hazihusiki wala hazina uhusiano wowote na Kampuni ya DP World kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Hanje, Makamba watikisa Bunge likipitisha bajeti kuu

WABUNGE wa viti maalumu Nusrat Hanje, Salome Makamba ambao ni sehemu ya wabunge 19 waliotimuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Habari Mchanganyiko

ATE yapata mwenyekiti, wajumbe wapya

WANACHAMA wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) wamemchagua Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Morgage Refinance Company Limited – TMRC, Oscar Mgaya kuwa mwenyekiti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yaonya waajiri kutopendelea ‘cheap labour’

NAIBU Waziri ,Ofisi ya Waziri Mkuu(Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi amewatahadharisha waajiri kutopendelea kuwalipa masilahi duni wafanyakazi wao kwani hali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jaji Mwangesi: Wanao-park STK baa tupeni taarifa tuwashughulikie

KAMISHNA wa Maadili Jaji Sivangilwa Mwangesi ametoa wito kwa Watanzania kutoa taarifa pindi wanapobaini kiongozi wa umma anatumia vibaya mali za umma kwa...

Elimu

Tanzania inatarajia kutundika satelite kulinda nchi

KATIKA kuimarisha mifumo ya ulinzi nchini, Tanzania inatarajia kutundika satellite yake ya kwanza angani itakayotumika pia katika kuboresha huduma za mawasiliano. Anaripoti Mwandishi...

BiasharaTangulizi

Bandari za Tanga na Mtwara hazihusiki uwekezaji DP World

Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba uwekezaji wa kampuni ya DP World kutoka Dubai hautahusisha bandari zote nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...

error: Content is protected !!