Friday , 29 March 2024
Home gabi
1209 Articles138 Comments
Michezo

GGML yaongeza udhamini kwa Geita Gold FC msimu wa 2022/2023

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeongeza mkataba wa udhamini kwa Klabu ya Geita Gold Football Club (GGFC) wenye thamani ya  Sh...

Habari Mchanganyiko

LG yatangaza mkakati 2023, yaahidi kugusa waemavu

KAMPUNI ya LG imetangaza mkakati wake wa 2023 ulioko katika mpango wake wa maendeleo endelevu kufikia 2030, ambao unajumuisha uvumbuzi unaolenga mahitaji ya...

Habari Mchanganyiko

Washindi NMB MastaBata Kote-Kote wafikia 608

IDADI ya washindi wa kila wiki wa kampeni ya NMB MastaBata Kote-Kote sasa imefikia 608 baada jana Ijumaa, tarehe 13 Januari 2023 kupatikana...

Habari Mchanganyiko

TAWA wajitetea madai ya mbunge “udhibiti wanyamapori waharibifu si wetu pekee”

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema jukumu la udhibiti wa wanyamapori wakali na waharibifu katika Wilaya ya Mvomero siyo jukumu la...

Habari Mchanganyiko

Mbolea ya ruzuku yafikia asilimia 20 ya wakulima waliosajiliwa

HADI kufikia tarehe 09 Januari, 2023 wakulima 560,451 wamenufaika na mbolea ya ruzuku sawa na asilimia 20 ya wakulima 3,264,440 waliosajiliwa kupata mbolea...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 716,664 kidato cha kwanza hawajaripoti shuleni hadi sasa

IKIWA ni wiki moja tangu kufunguliwa shule nchini Tanzania jumla ya wanafunzi 716,664 wanaopasa kuingia kidato cha kwanza mwaka 2023 bado hawajaripoti na...

Habari Mchanganyiko

Trilioni 1.15 kutumika mradi wa kuboresha elimu ya msingi, awali

SERIKALI nchini Tanzania imesema mwaka huu imeanza rasmi utekelezaji wa mradi wa kuboresha elimu ya msingi na awali (BOOST) utakaogharimu Sh. 1.15 trilioni...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuanza kuunguruma Mwanza, Mara

MWENYEKITI wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe anatarajiwa kuongozi jopo la viongozi wa chama hicho katika uzinduzi rasmi wa mikutano ya hadhara itakayofanyika jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamvaa Nape, “asiturudishe zama za giza”

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Habari, Nape Nnauye aviache vyombo vya habari vitimize wajibu...

Habari za Siasa

Zitto: Waliobeza maridhiano wanajimilikisha matokeo

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, kupitia ukurasa wake wa twitter ametoa ya moyoni kuwa wale waliobeza na kutukana juhudi za maridhiano...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 2 kujenga minara ya mawasiliano Kilombero

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew amesema Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kutumia...

Habari Mchanganyiko

Sangoma afariki akirusha roho na mke wa Mchungaji gesti

MGANGA mmoja wa kienyeji amepoteza fahamu na kufariki wakati akidaiwa kurushana roho na mke wa mchungaji katika hoteli moja huko Ikere, jimbo la...

Michezo

Vincent Aboubakar ampisha Ronaldo Al-Nassr, anukia Man United

KLABU ya Al-Nassr inayoshiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia imesitisha mkataba wa mshambuliaji wa Cameroon, Vincent Aboubakar ili kumpisha straika mpya raia wa...

Kimataifa

Kisa video iliyomuumbua Rais akijisaidia haja ndogo hadharani, waandishi habari 6 mbaroni

WAANDISHI habari kadhaa wamekamatwa nchini Sudan Kusini baada ya kusambaa video inayomuonesha Rais wa nchi hiyo Salva Kiir yumkini akishindwa kujizuia haja ndogo...

Habari Mchanganyiko

Samia ateua Gavana BoT, apangua wizara ya fedha

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Emanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT). Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

Dk. Samia ateua viongozi 6, Kafulila arejeshwa kundini

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi ameteua viongozi mbalimbali akiwamo David Kafulila kuwa Kamishna wa Ubia kati ya sekta ya umma na...

Habari za Siasa

Chadema yasema Taifa linapumua, yampa ahadi Rais Samia

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema Taifa linapumua baada ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuondoa zuio la mikutano ya hadhara, akisema hatua...

Habari Mchanganyiko

Mke wa Afande adaiwa kutumia nafasi ya mumewe kukomoa wenzake

JESHI la Polisi wilayani Same, linapitia wakati mgumu baada ya kilichoelezwa kuwa ni mke wa askari ambaye ni raia kutumia vibaya madaraka ya...

Habari Mchanganyiko

Wateja NMB washinda milioni 55 Mastabata Kote-Kote

KAMPENI ya kuchagiza malipo ya kidijitali na matumizi ya kadi za NMB Mastercard na NMB Mastercard QR ya MastaBata Kote-Kote inaelekea kuhitimika baada...

Habari za Siasa

Wasira asema mikutano ya hadhara haitoiathiri CCM

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Stephen Wasira amesema mikutano ya hadhara ikianza kufanyika itakiamsha Chama kilichoko madarakani cha CCM, ili kitimize mambo iliyoahidi kwa...

ElimuHabari

Wanafunzi 14 kidato cha pili wafutiwa matokeo kwa kuandika matusi

BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limefuta matokeo yote ya wanafunzi 14 walioandika matusi katika mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa kidato cha pili...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwinyi ashuhudia utiaji saini makubaliano ujenzi Uwanja wa ndege Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi leo Jumatano tarehe 4, Januari,  2023, ameshuhudia utiaji saini wa makubaliano...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya dizeli yazidi kupaa, ruzuku yawekwa kando

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini huku mafuta...

Kimataifa

Burkina Faso wamtimua Balozi Ufaransa

WIZARA ya mambo ya nje nchini Ufaransa, imethibitisha kupokea barua kutoka serikali ya Burkina Faso, inayomtaka balozi wake nchini humo Luc Hallade kuondoka....

Kimataifa

Mama, bintiye wahukumiwa kwa kuuza viongo vya miili ya marehemu

MMILIKI wa zamani wa Chumba cha kuhifadhu maiti na mama yake wamehukumiwa kifungo cha jela huko Colorado baada ya kupasua mamia ya miili...

Habari Mchanganyiko

JUKATA yataka ratiba mchakato marekebisho ya sheria, katiba mpya

JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA), limeiomba Serikali kutoa ratiba ya utekelezaji wa marekebisho ya Sheria na namna ya kukwamua mchakato wa upatikanaji katiba...

ElimuHabariTangulizi

Tazama matokeo ya kidato cha pili hapa

BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) leo tarehe 4 Januari, 2023 limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne mwaka 2022. https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htm

Habari Mchanganyiko

Wananchi Tegetero Morogoro kunufaika na mradi wa maji

IMEBAINISHWA kuwa wananchi wa Kata ya Tegetero wilayani Morogoro wanakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji unaodaiwa kusababishwa na wataalam pamoja na wahandisi...

Habari Mchanganyiko

NMB yakabidhi msaada vifaa tiba hospitali Pemba, Rais Mwinyi…

BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni tisa kwa Hospitali ya Wilaya ya Micheweni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Salamu za Rais Samia kuuaga mwaka 2022 na kuukaribisha mwaka mpya 2023

Ndugu Wananchi na Watanzania wenzangu; NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA! Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu, Mwingi wa Rehema...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateta na Mbowe, Kinana Ikulu Dar

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa ya Maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu Jijini Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Dk. Samia amlilia Papa Benedikto XVI

RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na kifo cha Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mazishi ya Papa Benedict XVI kufanyika Alhamisi

MAZISHI ya Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31 Desemba 2022 akiwa na umri wa miaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyekuwa Papa – Benedict XVI afariki dunia

PAPA wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu muongo mmoja baada ya kujiuzulu...

MichezoTangulizi

Barack Obama alilia Pele

RAIS wa mstaafu wa Marekani, Barack Obama  ameeleza namna alivyoguswa na kifo cha Mfalme wa Soka duniani, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama...

MichezoTangulizi

Mfalme wa Soka duniani – Pele afariki dunia

GWIJI wa soka raia wa Brazil – Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele amefariki dunia leo tarehe 29 Disemba, 2022 akiwa na...

Makala & Uchambuzi

Mwaka 2022: Dk. Samia ameongoza kasi ukuaji mahusiano ya kidiplomasia na uchumi kati ya Tanzania, China

TUNAPOELEKEA kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi. Katika Mwaka...

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi atwaa bodaboda ya NMB MastaBata

ASKARI wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, WP Husna Juma Baraka, ameibuka mshindi wa pikipiki katika droo ya saba ya Kampeni ya...

Habari Mchanganyiko

TEF kunoa waandishi wa habari kupinga ndoa za utotoni

JUKWAA la Wahariri nchini(TEF) limetangaza kampeni ya kutoa elimu kwa waandishi wa habari ya namna ya kuhamasisha jamii kutoa maoni yao kupinga ndoa...

Habari Mchanganyiko

Washindi 435 wa NMB MastaBata KoteKote wajishindia milioni 117

MSIMU huu wa sikukuu, Blue Santa kutoka Benki ya NMB ameachia zawadi mbalimbali ambapo mpaka sasa ameshatoa zaidi ya Sh117 milioni  kwa washindi...

Habari Mchanganyiko

ACT wataka sheria ya habari iharakishwe

WAKATI serikli ikiwa mbioni kuwasilisha muswada wa  mabadiliko ya sheria ya huduma za vyombo vya habari nchini, Chama cha ACT-Wazalendo kimetoa wito kwa...

Michezo

NMB kudhamini Mapinduzi Cup 2023, Simba na Yanga…

BENKI ya NMB itakuwa mdhamini mashindano ya kombe la Mapindizi 2023 yanayotarajiwa kuanza Januari 1, 2023 katika Uwanja wa Amaan Unguja, Pemba kwa...

Habari za Siasa

Mbunge Ditopile akabidhi pikipiki kata zote Kondoa mjini

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile (CCM) amekabidhi pikipiki nane kwenye Kata zote nane za Halmashauri ya Mji Kondoa Mkoani...

Habari Mchanganyiko

Rais Dk. Samia kushuhudia ujazaji maji Bwawa la Julius Nyerere

WAZIRI wa Nishati, January Makamba amewaeleza watanzania kuwa zoezi la kuanza kujaza maji katika Bwawa la kufua Umeme la Julius Nyerere (JHPP) litaanza...

Habari Mchanganyiko

NMB yatumia Mil. 37 kuchangia elimu Kibaha

BENKI ya NMB imekabidhi vifaa vya kusaidia maendeleo ya elimu wilayani Kibaha vyenye thamani ya zaidi ya Sh37 milioni kama sehemu ya kuchangia...

Habari Mchanganyiko

Costech yatoa milioni 50 kwa wabunifu wanawake

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknlojia (Costech) imetoa Sh milioni 50 kwa wabunifu wa wanawake watano walioshinda shindano la Buni Divaz. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi ajira zaidi sekta ya usafirishaji

Serikali imewahakikishia wahitimu wa kozi mbalimbali za usafirishaji kuwa itaendelea kuwekeza kwenye miundombinu ya usafiri na usafirishaji pamoja na kuzingatia ongezeko la wataalam...

Habari za Siasa

Wenyeviti CHADEMA waungana na Mbowe kuanza mikutano Januari

WAKATI kukiwa na hofu kuwa kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba ataendelea na mazungumzo ya maridhiano...

Habari Mchanganyiko

Mwakibete: Watanzania someni vitabu kukuza maarifa

NAIBU Waziri wa Wizara ya Miundo Mbinu na  Uchukuzi, Atupele Mwakibete ametoa wito kwa jamii  kuongeza juhudi katika kusoma vitabu ili kukuza maarifa....

Habari MchanganyikoTangulizi

DIASPORA wamtwisha Kibatala zigo la uraia pacha, watinga mahakamani

WATANZANIA sita waishio nje ya nchi (DIASPORA), wamefungua kesi ya kikatiba Na. 18/2022 katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, ya Dar es Salaam, kupinga...

error: Content is protected !!