Mtoto wa Hayati mzee Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi mbele ya waombolezaji wakati akitoa shukrani katika uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar inapofanyika shughuli ya kuaga Mwili wa baba yao mpendwa aliyefariki dunia tarehe 29 Februari 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).
Pamoja na mambo mengine Abdullah baba yao alikuwa mwalimu wa kwa wanafunzi wake, baba, mume na kiongozo wa kweli na katika nafasi zote alizimamia ipasavyo.
“Sikuja kulia… wakati nasimama hapanilikuwa namuomba Mwenyezi Mungu anijalie nisitie aibu. Kazi yangu kubwa kwa niaba ya familia ni kutoa shukrani,” amesema.
Pamoja na mambo mengine amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, serikali yake na serikali ya mapinduzi Zanzibar kwa kuwasaidia katika kipindi chote cha kumuuguza baba yao.
Leave a comment