Tuesday , 7 May 2024
Home gabi
1254 Articles146 Comments
Kitaifa

Waziri mkuu aongoza waombolezaji mazishi ya Askofu Mpango

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo tarehe 22 Januari 2022 ameongoza waombolezaji katika mazishi ya kaka wa Makamu wa Rais na Askofu Mstaafu wa...

Elimu

ANGUKO SOMO LA HISABATI; Serikali, wazazi wanasikitika, nani achukue hatua?

Kwa zaidi ya miaka kumi sasa somo la hisabati limekua changamoto kwa Taifa hususani kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari kwani...

Siasa

ADC wampitisha Maimuna kumvaa Dk. Tulia nafasi ya Uspika

CHAMA Cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimempitisha Maimuna Said Kassim kuwa mgombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

Habari Mchanganyiko

Wachimba mchanga wasio na vibali waonywa

Serikali ya Mkoa wa Dar es salaam kupitia kikosi kazi cha kuratibu usafishaji wa mito mkoani humo kimeonya kuwa hakitosita kuwachukulia hatua za...

Makala & Uchambuzi

Uchaguzi Spika, tunajitekenya na kucheka

Ni rahisi kutumia sababu za kisheria kusema Tanzania kuna uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge. Lakini sio rahisi kueleweka katika utamaduni wa...

Makala & Uchambuzi

MASUJIRO HASHIMOTO: Baba wa NISSAN aliyelelewa na Japan

Breviare ni kitabu maalum cha Kikristo kwa ajili ya sala za asubuhi, mchana na jioni pamoja na nyongeza ya vipindi vingine kwa nyakati...

Habari za Siasa

Askofu Mwambapa: Spika ajaye aweke kipaumbele cha Katiba Mpya kwa Rais

HUKU mchakato wa kumpata spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea, imeshauriwa kupatikana spika mwenye ujasiri wa kumshauri Rais Samia...

Kimataifa

Wabunge Uingereza wamweka njiapanda waziri mkuu

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anakabiliwa na kitisho katika utawala wake baada ya wabunge kadhaa wa chama chake kupanga kuwasilisha barua za...

Habari za Siasa

CCM yafunga pazia fomu kuwania uspika, 69 warejesha

DIRISHA la kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa katika nafasi ya uspika kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 15 Januari limefungwa rasmi saa...

Biashara

GGML kuanza kutumia rasmi umeme wa TANESCO mwishoni mwa 2022

MKUU wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyamule amesema mpango wa kuunganisha umeme wa gridi ya taifa kuelekea katika mgodi wa Geita Gold Mine...

Biashara

NBC yahitimisha kampeni ya ‘Vuna Zaidi Na NBC Shambani’ kwa mafanikio

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendesha droo yake ya mwisho ya kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’ huku ikijivunia kuhitimisha kampeni...

Makala & Uchambuzi

Aliyemlazimisha Spika Ndugai kujiuzulu ni huyu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniam, Job Ndugai ameandika barua rasmi kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi kujiuzulu nafasi...

Biashara

Benki ya Exim yaendelea kutangaza washindi wa droo ya ‘Weka Mkwanja Tukutoe!’

Benki ya Exim imetangaza washindi wa droo ya pili  ya  kampeni  ya ‘Weka Mkwanja Tukutoe! ’inayoendeshwa na benki hiyo ikilenga kuhamasisha watanzania kujiwekea...

MichezoTangulizi

Geita Gold FC yanasa mkataba mnono wa Sh milioni 500

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML imeidhamini Klabu ya soka ya Geita Gold Football Club kwa mkataba mnono wa thamani ya Sh...

Habari za SiasaTangulizi

WAMEUMIA 2021; Wengi vigogo CCM, mfumo awamu ya sita umewatema

  KIBAO kimegeuka juu chini! Ndivyo unavyoweza kuelezea mapito waliyokumbana nayo wanasiasa machachari nchini katika kipindi cha mwaka huu baada ya kuenguliwa katika...

Michezo

100 wapata ajira uwanja unaojengwa na GGML Geita

ZAIDI ya Watanzani 100 wamepata ajira katika mradi wa ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo unaojengwa katika mtaa wa Magogo halmashauri ya...

Biashara

NEEC yaitunuku GGML tuzo ya mwekezaji bora kwa Watanzania

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limeitunuku Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) tuzo maalumu ya mwekezaji bora anayeshirikisha kikamilifu...

Biashara

Constant cyber security upgrades keep customers secure

Over the past two years, Huawei has been regularly upgrading our cyber security methods. Cyberspace will be constantly under threat, and our enhancements...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaendelea kutoa zawadi kwa washindi ‘Vuna zaidi na NBC shambani’,

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi zawadi mbalimbali ikiwemo baiskeli, pikipiki, guta na trekta kwa washindi wa droo ya sita ya   kampeni...

Biashara

Wali na samaki vyapewa hadhi ya urithi wa dunia

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), limekiongeza chakula cha taifa cha Senegal katika orodha ya hadhi ya urithi...

Biashara

NBC yamwaga vitanda 60 sekondari mkoani Kagera

Benki ya NBC imetoa msaada wa vitanda 60 kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Tunamkumbuka iliyopo wilayani  Bukoba mkoani Kagera...

Biashara

NBC yaja na mikopo ya matrekta, zana za kilimo kwa wakulima

KATIKA kuiwezesha sekta ya kilimo kupiga hatua nchini Benki ya Taifa ya Biashara imesaini mkataba na Kampuni ya usambazaji wa zana za kilimo...

Kitaifa

Majaliwa awapa ujumbe wakandarasi TPSF

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wakandarasi na taasisi nyingine za sekta binafsi kuzingatia weledi, maadili na uaminifu katika majukumu...

Habari za Siasa

Chadema yatoa msimamo ushiriki kikao cha msajili

CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema kimesema, hakitashiriki kikao kilichoitishgwa na ofisi ya msajili wa vyama vingi vya siasa na wadau mbalimbali...

Michezo

Mtibwa Sugar yahitimisha dakika 630 za ukame

BAADA ya kucheza dakika 630 bila kuibuka washindi katika Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2021/22, hatimaye timu ya Mtibwa Sugar, imeonja radhi ya...

Kitaifa

Rais Samia afichua alivyokamatwa na polisi mara 3, aling’atwa mbu

Rais Samia Suluhu Hassan amefichua namna alivyokamatwa na askari wa usalama barabarani mara tatu kwa makosa madogo ambayo yangetatulika bila kupoteza muda na...

Kitaifa

Rais Samia aonya polisi kukamata watu kwa vitisho, kutia hofu

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka polisi kutowakamata wananchi kwa vitisho, wala kuwatia hofu kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume na misingi na kiapo...

KitaifaMichezo

Yanga wamvaa Mwenyekiti Simba

Uongozi wa Klabu ya Yanga umeeleza kusikitishwa na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu kutokana na tuhuma alizoishusha Yanga...

kitaifa

TIPER wataja dawa kudhibiti kupaa kwa bei za mafuta nchini

KAMPUNI ya Kuhifadhi Mafuta Tanzania (TIPER), imesema upo wezekano wa kudhibiti kupanda kwa bei za mafuta ya petroli na dizeli kila mara iwapo...

KitaifaTangulizi

Makada CCM wamvaa Polepole

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoani Shinyanga, Hamis Mgeja wakiwemo makada wengine, wazee wastaafu wa chama hicho na serikali, wamewataka...

Kitaifa

Marais wanne, wastaafu watinga kushuhudia sherehe za Uhuru

JUMLA ya Marais wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara...

kitaifa

Miaka 60 ya Uhuru, wateja ZIC kupata ‘wese’ la kutosha

Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limezindua kampeni yake kabambe inayoitwa “WESE NDIO MCHONGO” inayotoa fursa kwa wateja wake kote nchini kujaziwa mafuta...

kitaifa

Kuelekea miaka 60 ya uhuru, GGML yaibuka mlipa kodi bora

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGML) imeibuka kuwa moja ya makampuni kinara kwa ulipaji kodi Tanzania kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania...

Kimataifa

Wafungwa 38 wafariki kwa ajali ya moto gerezani, 69 wajeruhiwa

Takriban wafungwa 38 wamefariki dunia na wengine 69 kujeruhiwa katika ajali ya moto ulioteketeza gereza kuu la mji mkuu wa Burundi – Gitega...

Kimataifa

Kijana mbaroni kwa kumkata kichwa dada’ke mjamzito

Polisi katika jimbo la Maharashtra – Magharibi mwa India wamemkamata kijana anayeshukiwa kumkata kichwa dadake mkubwa aliyekuwa mjamzito. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Mgao wa maji, umeme Tanzania: Ni mwendo wa matamko

  MJADALA juu ya mgawo wa umeme na uhaba wa maji, umeiweka Serikali ya Tanzania njia panda, baada ya baadhi ya viongozi wake...

Tangulizi

Spika Ndugai: Waiteni NIDA… kuna hela zimeliwa

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano nwa Tanzania, Job Ndugai ameiagiza Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje kuwaita viongozi wa...

Habari za Siasa

Spika ang’aka kukatika kwa umeme, atoa maagizo

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini kukaa na wizara ya nishati ili kupata ufafanuzi unaoridhisha...

Habari

Mwili wa Mugabe waibua vita mpya, familia yapata pigo

  MWILI wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, aliyefariki dunia tarehe 6 Septemba, 2019 umeamriwa na mahakama nchini humo ufukuliwe na kuzikwa upya...

Habari

Wiki ya uchanjaji yaja, bilioni 83 kujenga kiwanda cha chanjo

  SERIKALI ya Tanzania imesema, wiki ya mwisho wa mwezi Septemba au mwanzo wa Oktoba 2021, itaanzisha wiki ya uchanjaji chanjo ya virusi...

Habari

Bodi ya mazao, NFRA zamwagiwa mabilioni kununua mahindi ya wakulima

  MKURUGENZI wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali imeidhamini Bodi ya Mazao Mchanganyiko kupatiwa mkopo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti uchunguzi soko la Kariakoo kutua kwa Rais Samia

  RIPOTI ya uchunguzi wa ajali ya moto katika Soko la kimataifa la Kariakoo jijini Dar es Salaam, inatarajiwa kuwasilisha kwa Rais wa...

Makala & UchambuziMichezo

Mgomo wa madaktari ulivyomweka kwenye koma miaka 39 Jean Pierre, dunia yamlilia

  TAREHE 6 Septemba 2021, mwaka huu ulimwengu wa soka ulikumbwa na simanzi baada ya mchezaji wa zamani wa Ufaransa, Jean Pierre Adams...

KimataifaTangulizi

Mfahamu Kanali aliyemng’oa Rais wa Guinea

  MAMADY Doumbouya, Kanali kiboko aliyemmaliza utawala wa Rais wa Guinea, Alpha Conde amepata mafunzo ya kivita katika nchini za Israel, Ufaransa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Mutungi, kuwakutanisha IGP Siro na viongozi wa vyama vya siasa

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, ameitisha mkutano wa pamoja kati ya viongozi wakuu wa vyama vya siasa...

AfyaTangulizi

Johnson & Johnson wasitisha majaribio chanjo ya VVU Barani Afrika

  KAMPUNI ya Johnson & Johnson kutoka nchini Marekani imesitisha majaribio ya chanjo ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) Barani Afrika baada ya chanjo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yafungua milango utafiti wa DNA kwa makabila Tanzania

  SERIKALI imesema ipo tayari kushirikiana na watafiti kufanya utafiti wa vinasaba kwa makabila mbalimbali nchini ili kurahisisha upatikanaji wa matibabu ya magonjwa...

Michezo

Taifa Star dimbani leo kumenyana na DRC

  TIMU ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ leo tarehe 2, Septemba inashuka dimbani katika Uwanja wa TP Mazembe mjini Lubumbashi katika Jamhuri...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wamkaanga Askofu Gwajima, Silaa

  SAA chache baada ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kutoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili wabunge wa...

Habari za Siasa

Aibu mtuhumiwa kufia mikononi mwa polisi- Rais Samia

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kuacha kutumia nguvu kubwa katika utekelezaji wa majukumu yake ili kuondoka na aibu...

error: Content is protected !!