Rais Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mtu atakayeulizwa dini yake wakati wa sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Dk. Benson Bagonza, amesema juhudi zinahitajika ili kuijenga Tanzania mpya...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeiomba Serikali iweke mfumo utakaohakikisha asilimia 30 ya manunuzi ya bidhaa na huduma inazotumia, zinatoka kwenye biashara za wanawake. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametahadharisha uwepo wa mfumuko mkubwa wa bei nchini unaosababishwa na kupanda kwa bei...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022DURUya tatu ya mazungumzo kutoka kwa wajumbe wa nchi za Ukraine na Urusi, imepiga hatua na kusababisha Urusi kutangaza njia salama kwa raia...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Dk. Benson Bagonza, amesema miaka kumi iliyopita alipingwa na baadhi...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022SAKATA la mtoto wa kiume Ian Macha mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi nane aliyedaiwa kupoteza maisha kutokana na ukatili wa kimwili na kingono, limezidi...
By Gabriel MushiMarch 8, 2022SERIKALI ya Urusi imesema inaweza kusitisha mashambulizi muda wowote endapo tu Ukraine itatimiza masharti yake. Inaripoti BBC…(endelea) Msemaji wa Serikali ya Ikulu...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa Klabu ya Soka ya Ajax ya Uholanzi ili itangaze vivutio...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022LICHA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kusota kwenye kuta za gereza la Ukonga kwa siku 226, ametoka...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022IKIWA imebaki siku moja Dunia kuadhimisha siku ya wanawake duniani kesho Jumanne 8 Machi 2022, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimetoa hamasa...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022TAASISI ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kimataifa ya Rice ya nchini Marekani (Rice 360 Institute for Global...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mazungumzo na wapinzani haiwezi kumaliza changamoto zinazoikabili nchi kwenye demokrasia, kwani huenda...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa Benki ya Kilimo Tanzania (TADB) uhakikishe fedha ya mikopo kwa wakulima wadogo zinatumika ipasavyo...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameishukuru na kuipongeza Benki ya NMB kwa mchango unaoenda kufanikisha uboreshaji elimu kwa makundi maalum. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu amemtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, asiwe na hofu kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025,...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022NI pigo kwa Rais wa Urusi, Vladimir Putin baada ya Naibu Waziri wa Ulinzi kutoka nchini Belarusi kujiuzulu wadhifa wake kwa kile alichodai...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri mifumo ya utawala na utoaji haki jinai nchini iboreshwe, ili kukomesha changamoto ya watu kubambikiwa kesi za kisiasa. Anaripoti...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema wanatarajia kujenga shule za sekondari za ghorofa 20, ili kutekeleza agizo la Rais...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022URUSI imesitisha mashambulizi katika miji mingi zaidi ya nchini Ukraine leo tarehe 7 Machi, 2022 ili kuruhusu raia kuondoka, Anaripoti Mwandishi wetu …(endelea)....
By Gabriel MushiMarch 7, 2022KUNDI la wanaharakati huko Urusi limeripoti kwamba padre ambaye alitoa mahubiri ya kupinga vita nchini Ukraine Jumapili, amekamatwa na anatarajiwa kufunguliwa mashtaka leo...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amezifariji familia ya rubani Adil Sultan Khamis na Ashraf Abdalla...
By Gabriel MushiMarch 7, 2022WANAWAKE katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshauriwa kufanya kazi kwa bidii na mshikamano ili kuhakikisha jiji hilo linasonga mbele katika nyanja zote...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022WAZAZI na walezi wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Makole ambao wapo kidato cha pili na cha nne kwa pamoja wamekubaliana kushirikiana...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022MFUMANIA nyavu wa Yanga Sc. Fiston Mayele anaweza kuweka rekodi ya kuwa mfungaji aliyefunga goli mapema zaidi ikiwa ni sekunde ya 50 tangu...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022WAKALA wa Ufundi na Umeme (TEMESA) wamepewa mwezi mmoja kubadilisha utendaji kazi wao na kuleta matokeo chanya katika kutekeleza majukumu yao. Anaripoti Suleiman...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia, Freeman Mbowe amesema licha ya kuwa ugaidi ni kosa linaloweza kumfungisha mtu maisha lakini alimuomba Mungu...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022KATIKA kuunga mkono Mradi wa Kilimo Himilivu cha Mtama (CSA), unaotekelezwa na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na Shirika la Farm...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022HOSPITALI ya Rufaa ya Amana na Shule tatu za msingi za Buguruni Kisiwani, Kivule na Airwing zilizoko Wilaya ya Ilala jijini Dar es...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kilichomfanya akafutiwa mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili ni “nguvu ya...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022SERIKALI ya Urusi imetengeneza njia salama ya kuwawezesha wanafunzi raia wa Tanzania wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Sumy kilichopo nchini Ukraine kuvuka na...
By Gabriel MushiMarch 6, 2022JUMLA ya Sh milioni 250 zilizopatikana kutokana na tozo za miamala ya simu zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Kituo cha Afya Rukuba kilichopo...
By Gabriel MushiMarch 5, 2022MWILI wa mtoto wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane aliyepoteza maisha ikidaiwa ni kutokana na ukatili wa kimwili...
By Gabriel MushiMarch 4, 2022KAMPENI ya NMB MastaBata inayoelekea ukingoni imebakiwa na zawadi ya Sh.100 milioni baada ya Sh.140 milioni kati ya Sh.240 milioni kunyakuliwa na washindi...
By Gabriel MushiMarch 3, 2022KUMEKUWEPO na kurushiana maneno baina ya Urusi na nchi za Magharibi huku kukiwepo matamshi yanayoashiria kutokea vita vya tatu ya dunia sambamba na...
By Gabriel MushiMarch 3, 2022MKUU wa Wilaya ya Muheza, Halima Bulembo amesema fedha kutoka katika Mpango wa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko 19, zilizotokana...
By Gabriel MushiMarch 3, 2022NAIBU Rais wa Serikali ya Kenya, William Ruto amesema kuwa kuna usaliti na vitisho vingi katika harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika...
By Gabriel MushiMarch 3, 2022WAKATI watu zaidi ya milioni moja wakiripotiwa kuikimbia Ukraine, wengine wameamua kujitokeza na kuandamana barabarani kuzuia uvamizi wa majeshi ya Urusi. Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiMarch 3, 2022WANAMICHEZO wote waliotarajia kushiriki michezo ya Paralimpiki msimu wa baridi, inayotarajiwa kuanza rasmi kesho Beijing nchini China, wamepigwa marufuku. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Taarifa...
By Gabriel MushiMarch 3, 2022KWA mara ya kwanza Urusi imetangaza vifo vya wanajeshi wake 498 na wengine 1,597 kujeruhiwa tangu kuanza kwa vita kati yake na Ukraine....
By Gabriel MushiMarch 3, 2022MWANAUME kutoka Jamhiri ya Kidemokrasia ya Congo ameingia kwenye rekodi ya mfalme Solomoni baada ya kufunga pingu za maisha na mapacha watatu wa...
By Gabriel MushiMarch 3, 2022MWANAMKE mmoja mkazi wa mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi nchini Kenya, amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumng’ata sikio mpenzi na kulinyofoa kabisa....
By Gabriel MushiMarch 3, 2022WANANCHI wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wameeleza kufaidika na miradi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ambayo inajenga...
By Gabriel MushiMarch 2, 2022NI unyama ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya mtoto Ian Macha mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi nane kudaiwa kutendewa ukatili wa kingono,...
By Gabriel MushiMarch 2, 2022KAMPUNI ya uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya kuwa kampuni bora inayoendesha shughuli za uchimbaji wa madini nchini kwa mwaka...
By Gabriel MushiMarch 2, 2022KATIKA kuunga mkono juhudi za wajasiriamali na kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi na kujiongezea kipato, Halmashauri ya Morogoro imetoa mkopo wa Sh milioni 340 kwa ...
By Gabriel MushiFebruary 28, 2022KAMPUNI ya Uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya Usalama ya Dunia ya 2021 kwa mwaka wa tatu mfululizo na kuifanya...
By Gabriel MushiFebruary 28, 2022NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amekutana na kumuaga Balozi wa Vatican nchini, Askofu...
By Gabriel MushiFebruary 23, 2022KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu mkoani Geita (GGML) imetoa msaada wa Sh milioni 90 kudhamini Mkutano wa nne wa Uwekezaji wa...
By Gabriel MushiFebruary 23, 2022KUKAMILIKA kwa mradi wa kupeleka umeme kwenye Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kunatarajiwa kutaliwezesha Shirika la...
By Gabriel MushiFebruary 23, 2022