Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Urusi kusitisha mashambulizi kuruhusu misaada ya kibinadamu
Kimataifa

Urusi kusitisha mashambulizi kuruhusu misaada ya kibinadamu

Spread the love

URUSI imesitisha mashambulizi katika miji mingi zaidi ya nchini Ukraine leo tarehe 7 Machi, 2022 ili kuruhusu raia kuondoka, Anaripoti Mwandishi wetu …(endelea).

Usitishaji huo wa mapigano utafanyika kuanzia saa 10:00 jioni kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi huku njia za uokoaji zikiwekwa katika mji mkuu wa Kyiv, Kharkiv, Mariupol na Sumy.

Miji yote hii kwa sasa iko chini ya operesheni kubwa ya uvamizi wa Urusi, licha ya kwamba maofisa wa Ukraine bado hawajathibitisha hili.

Mwishoni mwa wiki juhudi za kufungua njia ya kuruhusu raia kuondoka Mariupol Kusini Mashariki mwa nchi hiyo zilisambaratika.

Maofisa wa Ukraine wanasema hili ni sababu ya Urusi iliendelea kushambulia mji huo wakati wa saa zilizokubaliwa za kusitisha mapigano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!