Friday , 26 April 2024
Home gabi
1245 Articles146 Comments
Habari Mchanganyiko

Wanafunzi UDSM, UDOM Wang’ara mashindano ya TEHAMA ya Huawei Afrika

WANAFUNZI wa Kitanzania wa TEHAMA kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Chuo Kikuu cha Dodoma waliibuka miongoni mwa wanafunzi bora zaidi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti ya uchunguzi sakata la Mto Mara yapingwa

SERIKALI ya Tanzania imeombwa kufanya upya uchunguzi upya ili kubaini chanzo cha kuchafuka kwa maji ya Mto Mara na kufa kwa samaki mtoni...

Habari Mchanganyiko

THRDC: Mchakato Katiba Mpya usiwe wa kisiasa

WAKATI mjadala wa upatikanaji katiba mpya ukiendelea kushika kasi nchini, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umetaka usiendeshwe kisiasa kwani...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi rasmi kiwanda cha chai Mponde kwa WCF, PSSSF

BAADA ya kushindwa kufanya kazi kwa takribani miaka 10 kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imekabidhi Kiwanda...

Habari MchanganyikoTangulizi

DPP amng’ang’ania Abdul Nondo

MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, Kanda ya Iringa, kesho Jumatano, tarehe 23 Machi 2022, inatarajia kusikiliza rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP)...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa akutana na waziri mkuu wa Qatar

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani ambapo wamekubaliana...

Habari Mchanganyiko

COSTECH yawafungulia milango wabunifu

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imetoa fursa kwa wanafunzi wabunifu kujiunga na Kumbi mama ya bunifu Buni Hub ambayo inaendesha...

Kimataifa

Rais Ukraine kuhutubia Bunge Japan

RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kesho Jumatano tarehe 23 Machi, 2022 anatarajiwa kuhutubia Bunge la Japan kwa njia ya mtandao. Hotuba yake inatarajiwa...

Kimataifa

Waziri Mkuu mstaafu Mali afariki kizuizini

WAZIRI MKUU mstaafu wa Mali, Soumeylou Boubèye Maïga amefariki dunia jana tarehe 21 Machi, 2022 katika hospitali moja iliyopo jijini Bamako. Kwa mujibu...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, EU zakutana kujadili EPA

Serikali ya Tanzania imekutana na Umoja wa Ulaya (EU) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Mkataba wa Ushirikiano wa Kiuchumi (EPA) kati ya Umoja huo...

Kimataifa

Rais Museveni amlilia Spika wa Bunge

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni jana tarehe 20 Machi, 2022 ametangaza kifo cha Spika wa Bunge la 11 la Uganda, Jacob Oulanyah. Anaripoti...

Elimu

Rais Samia awafuta machozi wanafunzi wenye mahitaji maalumu Songea

JUMLA ya wanafunzi 16 wenye mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Subira iliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan...

Habari za Siasa

Mkewe Mbowe aeleza siri kanisa walilofungia ndoa

  MKE wa Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe, Dk. Lilian Mtei amesema Baba mkwe wake Aikael Mbowe ndiye aliyekuwa kiongozi wa ujenzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ataja kiapo chake na Rais Samia

MWENYEKITI wa Chama cha Demokraria na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kusimama katika misingi ya haki na ukweli ndilo agano aliloweka kati yake...

Michezo

Yanga taamu! Yairarua KMC mbele ya JK

VIGOGO – Yanga wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuizabua Klabu ya KMC mabao 2-0 usiku huu...

Makala & Uchambuzi

Ni mwaka mmoja wa uchumi bila vyuma kukaza

MWAKA mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani, unawezakuwa ni mwaka wa uchumi ambao hauhitaji sana takwimu kuelezea ukuaji wake, bali ni kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe aanika madudu ya Sabaya, ashukuru Polisi

MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amedai aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya alikuwa anatumia ofisi yake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata la Ngorongoro bado sana, asasi 20 atoa tamko

MGOGORO wa Ngorongoro umechukua sura mpya baada ya mashirika 20 ya kutetea wafugaji wa asili kutoa tamko wakilaani udhalilishwaji unaofanywa na watu wenye...

Habari Mchanganyiko

Dk. Tulia: Asilimia 60 ya fedha za bajeti zimetolewa

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetoa asilimia 60.5 ya fedha zilizotengwa katika...

Habari Mchanganyiko

Washereheshaji wawakumbuka watoto yatima, wafungwa

MARAFIKI wa Mshehereshaji (MC) Mwangata Fomma wametoa msaada kwa kuwalipia kadi za bima ya afya kwa watoto nane wa Kituo cha kulelea watoto...

Tangulizi

Mbowe apokelewa Hai, ng’ombe sita kuchinjwa

MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amewasili nyumbani kwao wilayani Hai, Kilimanjaro na kupokelewa na mamia ya watu ikiwemo viongozi na wanachama...

Habari Mchanganyiko

Ukatili dhidi ya watoto mtandaoni wapatiwa ufumbuzi

NAIBU Waziri Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis ameitaka jamii kuwaepusha watoto dhidi ya madhara ya matumizi mabaya...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya Bunge yampongeza Rais Samia

KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuendeleza...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa aipa mitihani mitano bodi mpya ya TPA

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameipa maelekezo matano Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), huku akisisitiza...

Habari za Siasa

Hamad Rashid aikosoa Chadema, amtaja Mbowe na Lissu

MWENYEKITI wa Chama cha ADC, Hamad Rashid amewapa neno wanasiasa wanaokataa kushiriki shughuli za kiserikali na vikao vya kisheria, akisema Baba wa Taifa,...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Fastjet wamuangukia Rais Samia, wadai Bil.5

WAFANYAKAZI 105 wa Shirika la Ndege ya Fastjet Tanzania wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuzuia ndege aina ya Embraer 190 (5H-FJH) ya shirika...

Habari za Siasa

Spika Dk. Tulia asema nchi imepiga hatua kidemokrasia

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amesema katika kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, nchi imepiga...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi kushirikiana na TNCPG kudhibiti migogoro

SERIKALI imesema itashirikiana na Kamati ya Kitaifa ya Udhibiti na Kuzuia Mauji ya Kimbari (TNCPG), ili kuhakikisha migogoro na matukio yoyote ambayo yanaweza...

Habari Mchanganyiko

Askofu Bagonza ajitosa mgogoro Konde

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Dk. Benson Bagonza ametaka tofauti zilizopo baina ya Askofu wa Doyosisi...

Habari Mchanganyiko

Maneno ya mjane wa Magufuli kwa Rais Samia

JANETH Magufuli, mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amemheshimu kwa kukubali wito wake...

Habari Mchanganyiko

Walemavu watinga kwa RC Dar, watulizwa

MADEREVA wa bajaji wenye ulemavu, wamefika katika Ofisi ya Mkuu wa Dar es Salaam, Amos Makalla, kufikisha kilio chao kinachodai wanafanyiwa vurugu na...

Habari Mchanganyiko

Watumishi 190,781 wapandishwa vyeo, madaraja

SERIKALI imesema ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu jumla ya watumishi wa umma 190,781 wamepandishwa vyeo baada ya kusubiri kwa muda...

Kimataifa

Putin apiga mkwara mataifa ya magharibi

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin ameyapiga mkwara mzito mataifa ya Magharibi sambamba na Marekani kutokana na kile anachokiita ni malengo ya kutaka kuwagawa...

Habari za Siasa

Mtia nia Urais 2020 ageuka kiunganishi cha wachumba

ALIYEKUWA mtia nia katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais mwaka 2020 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Mayrose Majinge ameanzisha...

Biashara

Benki ya Exim yakabidhi madawati 100 Mbeya

Benki ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 mkoani Mbeya ikiwa ni mwendelezo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mwaka 1 SSH: Wasanii kicheko, watema nyongo

  WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kutimiza mwaka mmoja madarakani tangu alipoapishwa rasmi tarehe 19 Machi, 2021, sekta ya sanaa na burudani...

Biashara

NMB, eGovernment Z’bar zakubaliana makubwa

BENKI ya NMB na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupitia Wakala wa Serikali Mtandao ‘eGovernment Zanzibar’ wamesaini makubaliano ya ushirikiano, yatakayowezesha mifumo...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo yatoa mapendekezo bei ya mbolea

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeomba Serikali itoe ruzuku kwa ajili ya ununuzi wa mbolea ili kushusha bei yake iliyopanda maradufu hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wasanii watakiwa kwenda kuchukua mirahaba yao

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, amewataka wasanii ambao bado hawajachukua fedha za mirabaha yao, wakamilishe taratibu katika Chama cha Hakimili...

Afya

Kada ADA- Tadea ampigia saluti Rais Samia ujenzi Kituo cha afya Namatula

KADA mkongwe kutoka Chama cha ADA – Tadea na mgombea ubunge kwa awamu kadhaa katika jimbo la Nachingwea, Saliana Dovela ameeleza ‘kukoshwa’ na...

Makala & UchambuziTangulizi

Ni mwisho wa enzi kwa Polepole?

  KATIKA uteuzi wa vigogo mbalimbali wa Serikali ambao umefanywa na Rais Samia Suluhu Hassan tarehe 14 Machi, 2022, jina la Humprey Polepole...

Habari Mchanganyiko

Vichanga pacha vyatupwa jalalani, mtupaji asakwa

JESHI la Polisi Mkoani wa Shinyanga nchini Tanzania, linachunguza ili kumkamata mwanamke anayetuhumiwa kujifungua watoto pacha kisha kuwatupa jalalani eneo la Kambarage mjini...

Habari Mchanganyiko

Polisi wafunguka aliyeuawa na askari, ACT-Wazalendo wataka uchunguzi huru

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma, limesema linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kuanzisha vurugu zilizopelekea raia, Juma Ramadhani kupigwa risasi na Polisi...

Habari Mchanganyiko

Muarobani uuzwaji mafuta kwenye vidumu vijijini waja

NAIBU Waziri wa Nishati, Stephen Byabato amesema marekebisho ya kanuni za utengenezaji na uwekaji vituo vya mafuta katika maeneo ya vijijini, yanatarajiwa kukamilika...

Habari Mchanganyiko

THRDC yawanoa watetezi wa haki za binadamu Zanzibar

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewapa mafunzo ya namna kufuatilia na kuripoti matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu,...

Habari za Siasa

Spika Tulia awapa mbinu ya ushindi wanawake uchaguzi CCM

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wanawake wafanye maandalizi ya kugombea nafasi za uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awatega ma-RC matumizi mashine za ukusanyaji mapato

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa mikoa wahakikishe halmashauri zote nchini zinatumia vizuri mashine na mifumo iliyowekwa katika ukusanyaji wa mapato. Anaripoti...

Burudika

‘Tetema’ yamuingizia Rayvanny milioni 230

MKURUGENZI wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WBC), Naseeb Abdul ‘Diamond Platnums’ amesema mkali mwenzie wa Bongo fleva kutoka katika lebo hiyo, Raymond...

Habari Mchanganyiko

Huawei TECH4ALL Afrika yashinda tuzo GSMA

MRADI wa mafunzo ya kidigitali unaofahamika kama TECH4ALL DigiTruck wa unaodhaminiwa na kampuni ya Huawei nchini Kenya umetambuliwa kimataifa kwa kuongeza idadi ya...

BiasharaUjasiriamali

Mikopo ya bajaji Mbeya gumzo kwa vijana, washindana kujiimarisha kiuchumi

VIONGOZI na wanachama wa kikundi cha Vijana Waendesha Bajaji (Viwaba) eneo la Mbalizi, katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya mkoani hapa wameeleza namna...

error: Content is protected !!