MBUNGE wa Lupembe, Edwin Swale (CCM), ameishauri Serikali ifanye mabadiliko ya sheria yatakayowezesha asilimia 10 za mapato ya halmashauri zinazotolewa kwa ajili ya...
By Gabriel MushiApril 19, 2022JAJI wa Mahakama moja katika jimbo la Florida nchini Marekani ameiondoa sheria ya uvaaji barakoa katika vyombo vyote vya usafiri nchini humo. Jaji...
By Gabriel MushiApril 19, 2022TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imeunga mkono ubunifu wa gari la umeme la Mwandishi wa habari na mchoraji vibonzo maarufu...
By Gabriel MushiApril 18, 2022UTATA umeibuka juu ya kifo cha Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano, jijini Dar es Salaam, Padri Francis...
By Gabriel MushiApril 18, 2022STAA wa Bongofleva ambaye pia ni Mmiliki wa rekodi lebo ya Next level Music, Raymond Mwaikyusa ‘Rayvanny’ ameendelea kuibua minong’ono kuhusu kujiondoa kwake...
By Gabriel MushiApril 18, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni maalum kwa wakulima wa zao la Ufuta katika mkoa wa Lindi inayofahamika kama ‘Jaza Kibubu...
By Gabriel MushiApril 15, 2022KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, imesema mwenendo wa makusanyo ya maduhuli ya mamlaka za Mikoa na Serikali...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MJENGA misuli wa Marekani Cedric McMillan amefariki akiwa na umri wa miaka 44, baada ya miaka kadhaa ya matatizo ya kiafya yaliyosababishwa na...
By Gabriel MushiApril 14, 2022WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wenyeviti wa vijiji na vitongoji kutekeleza majukumu yao kwa uwazi, ikiwemo kuitisha mikutano ya wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiApril 14, 2022AFRIKA Kusini imemshutumu Balozi wa Ukraine nchini humo, Liubov Abravitova kwa kutumia njia zisizo za kidiplomasia kuomba mazungumzo na Rais Cyril Ramaphosa. Hayo...
By Gabriel MushiApril 14, 2022RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho siku ya wafanyakazi dunian (Mei mosi) yatakayofanyika...
By Gabriel MushiApril 14, 2022WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), imetengewa bajeti ya kiasi cha Sh. 802.29 bilioni, katika mwaka wa fedha wa 2022/23, ikiwa...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA), inatarajia kutoa tuzo kwa waandishi wa habari bora wa taarifa za hali ya hewa pamoja na...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MAKADIRIO ya Bajeti ya Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, kwa mwaka wa fedha 2022/23, yanatarajia kutoa neema kwa wabunge, kutokana na kuongezwa kwa...
By Gabriel MushiApril 14, 2022Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ya Ofisi ya Raia (TAMISEMI), imeliomba Bunge kuwaidhinishia bajeti yake kwa mwaka wa...
By Gabriel MushiApril 14, 2022BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA CCC), limeshauri wadau wa usafirsihaji kuziba mianya ya upotevu wa mapato ili...
By Gabriel MushiApril 14, 2022MVUTANO umeibuka katika kikao cha wadau cha kujadili bei mpya za nauli kilichoitishwa na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), baada ya Baraza...
By Gabriel MushiApril 13, 2022UMOJA wa Usafirishaji Abiria Mkoa wa Dar es Salaam, umependekeza bei ya nauli ipande kwa Sh. 400, ili kukabiliana na ongezeko la gharama...
By Gabriel MushiApril 13, 2022MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imeanza kupokea maoni ya wadau juu ya nauli za mabasi, ili kutafuta nafuu ya changamoto ya upandaji...
By Gabriel MushiApril 13, 2022OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imethibitisha kuwa Mradi wa Maji wa Mang’ana uliotekelezwa kwa ajili ya kusambaza maji...
By Gabriel MushiApril 13, 2022OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini mkandarasi aliyepewa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya...
By Gabriel MushiApril 13, 2022MBUNGE wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai ameituhumu Serikali “inawawekea vikwazo vya kimaendeleo” wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha kwa kuhamisha fedha za...
By Gabriel MushiApril 13, 2022OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini kiasi cha Sh bilioni 22.64 kilichohamishwa kutoka makao makuu ya Mamlaka ya...
By Gabriel MushiApril 13, 2022WIZARA ya Kilimo na Benki ya NMB za nchini Tanzania, wameingia makubaliano ya kukuza sekta ya kilimo nchini humo ambapo benki hiyo imetenga...
By Gabriel MushiApril 13, 2022ZAIDI ya wananchi 10,000 kutoka katika Kata ya Sangambi, wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wanatarajiwa kupata unafuu wa matibabu baada ya Kituo cha...
By Gabriel MushiApril 13, 2022WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Viwanja vya Ndege Tanzania, kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Gabriel MushiApril 12, 2022WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Profesa Makame Mbarawa amezindua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Makutupora- Tabora kitakachogharimu Sh...
By Gabriel MushiApril 12, 2022KIASI cha Sh 18.5 bilioni zilizokusanywa na Kampuni ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KADCO) kama malipo ya tozo za kutumia...
By Gabriel MushiApril 12, 2022KAMPUNI ya Airtel Tanzania inayomilikiwa kwa ubia kati ya Serikali na sekta binafsi imetoa gawio la Sh 143 bilioni kwa Serikali kama faida...
By Gabriel MushiApril 12, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema wiki ya mwisho ya mwezi Aprili, treni inayotumia umeme itatoka Dar es...
By Gabriel MushiApril 12, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeanzisha mfumo wa ufuatiliaji bei za bidhaa, ambao utawawezesha wananchi kutoa taarifa pindi watakapoona mabadiliko ya bei ya bidhaa sokoni,...
By Gabriel MushiApril 11, 2022LICHA ya kuwepo kwa mfumuko wa bei za bidhaa duniani Serikali ya Tanzania imesema bei za bidhaa nchini mwake zipo chini ikilinganishwa na...
By Gabriel MushiApril 11, 2022WAZIRI wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji amesema asilimia 57 ya ngano inayoagizwa kutokanje inatoka Urusi na Ukrenia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Gabriel MushiApril 11, 2022BENKI ya NMB nchini Tanzania, imefanya mapinduzi makubwa ya kibenki kwa kuzindua huduma kubwa tatu kupitia kampeni yake ya ‘Teleza Kidigitali.’ Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiApril 11, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itapunguza kodi ya sukari itakayoingizwa nchini kwa hadi asilimia 10 ili kupata unafuu...
By Gabriel MushiApril 11, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali iunde tume huru itakayojumuisha wafanyabiashara wadogo ‘wamachinga’ kuchunguza vyanzo vya masoko kuungua moto. Pia kimesema tume hiyo...
By Gabriel MushiApril 11, 2022WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji amewataka wamiliki wa viwanda vya saruji na sukari kupunguza urasimu katika utoaji wa bidhaa hizo....
By Gabriel MushiApril 11, 2022MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter (CCM) ameshauri Serikali kufikiria kuwa na satelaiti yake kwaajili ya tafiti zake za masuala mbalimbali ya maendeleo....
By Gabriel MushiApril 11, 2022Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo (CCM) ameeleza hasara iliyopatikana kwa uamuzi wa Serikali kuhamishia soko la madini ya Tanzanite kutoka Arusha mjini...
By Gabriel MushiApril 11, 2022RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameshindwa kutokea kwenye kesi yake iliyounguruma leo katika Mahakama ya Pietermaritzburg katika jimbo la KwaZulu-nchini...
By Gabriel MushiApril 11, 2022KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimeonya juu ya uibukaji mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Albino’ na kuitaka...
By Gabriel MushiApril 11, 2022KATIKA kuunga mkono kauli ya ‘Kazi iendelee’ iliyoasisiwa na Rais Samia Suluhu Hassan, wanawake kutoka mkoani Ruvuna wamejitosa katika kazi za ufundi ujenzi...
By Gabriel MushiApril 11, 2022MBUNGE wa Mpanda Vijijini, Selemani Kakoso (CCM) amesema mradi wa wa ujnenzi wa Bandari ya Karema katika Ziwa Tanganyika hautakuwa na maana kama...
By Gabriel MushiApril 11, 2022MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Dk. Jasson Rweikiza ameishauri Serikali kuanzisha utaratibu wa kilimo cha makambi ili kuongeza uzalishaji mali na ajira kwa vijana....
By Gabriel MushiApril 11, 2022RIPOTI ya Haki za Binadamu Tanzania ya 2021, iliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), imebaini uwepo wa matukio ya...
By Gabriel MushiApril 11, 2022WADAU wa Asasi za Kiraia (AZAKI), wameandaa mpango mkakati wa utekelezaji mapendekezo 187 ya Umoja wa Mataifa (UN), ambayo Serikali ya Tanzania, imekubali...
By Gabriel MushiApril 11, 2022RAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kiongozi wa mrengo wa kulia Marine Le Pen wanatarajiwa kuingia katika duru ya pili ya uchaguzi mkuu...
By Gabriel MushiApril 11, 2022BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeandaa hafla ya futari kwa ajili ya wateja wake visiwani Zanzibar, huku Spika wa Baraza la Wawakilishi,...
By Gabriel MushiApril 10, 2022KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisco, amemteua Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino, Tawi la Arusha, Padre Wolfgang Pisa, kuwa Askofu...
By Gabriel MushiApril 9, 2022