Wednesday , 8 May 2024
Home gabi
1254 Articles146 Comments
Habari Mchanganyiko

Rais Samia ashinda tuzo ya Africa Road Builders – Babacar Ndiaye

RAIS Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa mshindi wa tuzo ya Africa Road Builders–Babacar Ndiaye Trophy kwa mwaka 2022. Tuzo hiyo inatolewa kwa watu...

Kimataifa

Nchi 93 zaing’oa Urusi UN, Tanzania yajiweka kando

JUMLA ya nchi 93 zimepiga kura kuunga mkono pendekezo la kusimamisha uanachama wa Urusi katika Baraza la haki za Binadamu la Umnoja wa...

Biashara

NMB yatoa mabati kwa shule Serengeti, yatangaza neema

KATIKA kuthibitisha uwajibikaji wao kwa jamii, Benki ya NMB nchini Tanzania imetoa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh.8 milioni kwa...

Kimataifa

Urusi hatarini kuondolewa UNHRC

NCHI ya Urusi iko hatarini kuondolewa ujumbe katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), kufuatia hatua yake ya kuivamia...

Kimataifa

Rais Burkina Faso ahukumiwa maisha kwa kumuua Sankara

RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Blaise Compaoré, amehukumiwa leo Jumatano tarehe 6 Aprili, 2022 kifungo cha maisha jela kwa kushiriki katika mauaji...

Biashara

NBC waja na ‘Jaza Kibubu Tusepe’

  BENKI ya NBC imezindua Kampeni ya ‘Jaza Kibubu Tusepe’ itakayojikita kwenye utoaji wa elimu kwenye masuala ya kifedha itakayoambatana na zawadi mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo wakosoa Agenda ya Kilimo 10/30, watoa mapendekezo 4

CHAMA cha ACT Wazalendo kimetoa mapendekezo manne kwa Serikali ili kuimarisha sekta ya kilimo nchini na kuwakomboa wakulima katika wingu la umasikini. Pia...

Habari Mchanganyiko

Simulizi mama lishe alivyopanga kununua kiwanja kwa ujenzi Kituo cha Afya Narung’ombe

WAKATI Serikali ikiendelea kuboresha huduma za elimu na afya maeneo mbalimbali nchini, ujenzi wa kituo cha Afya Narung’ombe wilayani Ruangwa mkoani Lindi umetajwa...

Habari za Siasa

Msajili avigeuzia kibao vyama vya siasa madai ya demokrasia

NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amevitaka vyama vya siasa kuimarisha kwanza demokrasia ya ndani, kabla ya kutoka nje. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Bei petroli yafika 3,105 kwa lita

BEI za nishati ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa nchini imeongezeka kwa asilimia 11 hadi 21 kuanzia leo Jumatano tarehe...

Habari za Siasa

NEC yajitetea madudu uchaguzi 2020

MKURUGENZI wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Wilson Mahera, amesema dosari zinazojitokeza katika chaguzi, zinasababishwa na watumishi wanaoajiriwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Waliosambaza video Profesa Jay akiwa ICU, wapandishwa kizimbani, wasomewa mashtaka 3

HATIMAYE mtuhumiwa Allen Mhina (31) aliyedaiwa kusambaza kipande cha video inayomuonesha Msanii wa Bongofleva, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ akiwa amelazwa katika Hospitali ya...

Kimataifa

Watoto wachanga Ukraine wapewa majina ya makombora

WATOTO wawili waliozaliwa nchini Ukraine katika siku za hivi karibuni wamepewa majina ya makombora ya kutoka ardhini hadi angani yaliyotengenezwa nchini Uingereza. Watoto...

Habari za Siasa

Jaji Warioba akosoa pendekezo mchakato Katiba mpya kuanza 2025

WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, amekosoa mapendekezo ya kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia, kuhusu mchakato wa upatikanaji...

Biashara

Mshindi kampeni ya NMB akabidhiwa pikipiki, yeye atoa neno

MJASIRIAMALI mkazi wa Same mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania, Ally Athuman Mnyone ameibuka na ushindi wa pikipiki ya miguu mitatu maalumu kwajili ya kubebea...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Yacht Club wambwaga mwajiri wao mahakamani

HATIMAYE mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka mitano kati ya wafanyakazi wa Kampuni ya Dar es Salaam Yacht Club na mwajiri wao, Brian...

Habari za Siasa

Bunge Live larejea

VIKAO vya Bunge la Tanzania vitaanza kurushwa mubashara kuanzia kesho Jumanne, tarehe 5 Aprili 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Taarufa hiyo imetolewa leo...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mkenda awafunda vijana wanaotaka siasa

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolph Mkenda, amewataka vijana wasiingie katika siasa kwa ajili ya kutafuta maslahi yao binafsi, bali waingie...

Habari Mchanganyiko

Wawili mbaroni tuhuma za kuiba vyuma daraja la Tanzanite

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kujaribu, kukata baadhi ya vyuma vya ngazi ya...

Habari Mchanganyiko

Maofisa Ughani kumilikishwa pikipiki baada ya miaka miwili

MAOFISA Ughani nchini watamilikishwa pikipiki zinazotolewa na Serikali baada ya kuzitumia kwa miaka miwili katika kutoa huduma kwa wakulima. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hatua...

Habari Mchanganyiko

RAIS Samia Suluhu Hassan ametaja mafanikio kadhaa yaliyopatikana katika sekta ya kilimo baada ya Serikali kuweka mikakati mbalimbali na kusema sekta hiyo sasa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ataka mfuko wa pembejeo kukabili mfumuko wa bei

RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Kilimo ianzishe mfuko wa pembejeo na wa maendeleo ya kilimo, kwa ajili ya kukabiliana na changamoto...

Afya

Rais Samia aokoa ‘jahazi’ lililozama 2017

IMEELEZWA kuwa kukamilika kwa ujenzi wa Kituo cha Afya Kifunda kilichopo Kata ya Lupilo katika Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya, kumeokoa jahazi la...

Makala & Uchambuzi

Manufaa ya Tanzania kuingia mfumo wa anwani za makazi, postikodi

SAFARI ya Tanzania kutekeleza mfumo wa anwani za makazi na postikodi nchi nzima umeshika kasi lengo ni kuibadilisha nchi kuwa ya kidijitali ili...

Habari Mchanganyiko

Bashe amuomba Rais Samia bil. 150 kutoa ruzuku ya mbolea

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, atoe Sh 150 bilioni, kwa ajili ya kutoa ruzuku kwa wakulima kwa ajili...

Biashara

NMB yageukia wakulima, Rais Samia awapongeza

JUMLA ya Sh78. 8 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB nchini Tanzania kwa wakulima kati ya Sh.100 bilioni walizotengewa kwa ajili ya kukopeshwa...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa Sh milioni 50 kwa Hospitali ya CCBRT

KAMPUNI ya AngloGold Ashati kupitia Mgodi wake wa dhahabu Geita (GGML) imetoa kiasi cha Sh milioni 50 kwa Hospitali ya CCBRT ili kusaidia...

Biashara

NMB yashiriki uzinduzi mbio za Mwenge

MBIO za Mwenge wa Uhuru Kitaifa zimezinduliwa Jumamosi ya tarehe 2 Aprili 2022 na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango mkoani...

Habari Mchanganyiko

Watoa huduma msaada wa kisheria waomba ruzuku Serikalini

WADAU wanaotoa msaada wa kisheria kwa wananchi, wameiomba Serikali itenge ruzuku kwa ajili ya kuwezesha shughuli hizo ili ziwe endelevu. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua baraza la mawaziri

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Alhamis tarehe 31 Machi 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza lake la mawaziri. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Makala & UchambuziTangulizi

Miradi kichefuchefu inayoitia doa Serikali Kinondoni

UKIMYA na usiri umeendelea kutawala kuhusu kukwama kwa miradi mitatu ya Halmashauri ya Kinondoni inayogharamiwa kwa vyanzo vya mapato ya ndani na kuitia...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaombwa kuingiza tafiti za Prof. Ngowi kwenye mitaala

SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kuingiza katika mitaala ya elimu ya juu, ripoti za tafiti zilizofanywa na aliyekuwa Profesa Mshiriki wa Chuo Kikuu cha...

Habari Mchanganyiko

Vilio vyakwamisha wasemaji msiba wa Prof. Ngowi

VILIO vya uchungu vimesababisha baadhi ya wasemaji katika ibada ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Profesa Mshiriki wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Prosper Honest...

Habari Mchanganyiko

DC Korogwe anuia kumaliza kero ya maji Mashewa

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basila Mwanukuzi ameahidi kuhakikisha maji yanafika kwenye shule ya Sekondari Mashewa ili kuwapunguzia kero ya maji wanafunzi wawapo...

Habari za SiasaTangulizi

Membe asamehewa, arejeshwa CCM

BAADA ya kusota ‘benchi’ kwa muda wa mwaka mmoja na ushee, Kada aliyejipatia umaarufu kisiasa ndani ya CCM na baadaye ACT Wazalendo, Bernard...

Habari za SiasaTangulizi

Mangula ang’atuka CCM, Kinana arejea

HATIMAYE Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula ameng’atuka kwenye nafasi hiyo aliyoihudumu kwa miaka muda wa miaka 10. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Rais Tunisia avunja Bunge

RAIS wa Tunisia, Kais Saied amevunja Bunge alilokuwa amelisimamisha miezi nane iliyopita kutokana na maandamano makubwa nchini humo. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada...

Habari Mchanganyiko

Kindamba: Tujitokeze kuchanja, karibuni Njombe

MKUU wa Mkoa wa Njombe (RC) nchini Tanzania, Waziri Kindamba amewaomba wananchi kujitokeza kupata chanjo ya virusi vya korona (UVIKO-19) kwani haina tatizo...

Michezo

Ruud Van Nistelrooy aula PSV Eindhoven

MSHAMBULIAJI, wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelroy ameteuliwa kuwa kocha Mkuu wa Klabu ya PSV Eidhoven inayoshiriki Ligi Kuu nchini Uholanzi....

Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Mkumbo aiomba Serikali ipanue Barabara ya Dar-Dodoma

MBUNGE wa Ubungo, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo, ameiomba Serikali ifanye upanuzi wa Barabara ya kutoka Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene azindua kongamano msaada wa kisheria

WAZIRI wa Katiba na Sheria, George Simbachawene amezindua kongamano la msaada wa kisheria la 2022, pamoja na Ripoti ya Wadau wa Upatikanaji wa...

Biashara

NMB yawaibua wakulima Dodoma, watoa ushuhuda

MABADILIKO makubwa yaliyofanywa na Benki ya NMB nchini Tanzania yamewaibua wakulima kufungua milango ya kukimbilia mikopo ya benki hiyo ili kujiimarisha kiuchumi. Anaripoti...

Makala & Uchambuzi

Tangulia Profesa Honest Ngowi, utakumbukwa daima

NILIPATA mshtuko mkubwa kupokea taarifa mbaya ya kifo cha Profesa Honest Ngowi kilichotokana na ajali ya gari kutoka kwa mwanachama mwenzetu wa kundi...

Biashara

NMB yazindua wakala wa simu mkononi, ajira 100,000 zanukia

BENKI ya NMB nchini Tanzania imezindua huduma maalumu ya kuweka na kutoa fedha kirahisi kupitia wakala watakao tumia simu zao za mkononi tu....

Habari Mchanganyiko

Fedha tozo miamala ya simu zatimiza ndoto wananchi Madaba

WANANCHI wa Materereka katika Halmashauri ya Wilaya ya Madaba, mkoani Ruvuma wamesema ujenzi wa kituo cha afya kilichojengwa kwa fedha za tozo za...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi Kituo cha Afya waneemesha mafundi ujenzi Mtama

UJENZI wa Kituo cha Afya Mtama mkoani Lindi umetajwa kuwa kichocheo cha maendeleo kwa wakazi wa eneo hilo hususani mafundi ujenzi ambao wameshukuru...

Habari Mchanganyiko

Katibu Mkuu Madini atembelea GGML, aipongeza kwa kuzingatia sheria

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini, Adolph Ndunguru ameipongeza Kampuni ya (GGML) kwa kuzingatia sheria zinazosimamia sekta ya madini na kutekeleza majukumu yake...

Habari Mchanganyiko

PIC yaipongeza DAWASA utekelezaji wa miradi

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji (PIC) imeridhishwa na usimamizi na utekelezaji wa miradi ya Maji ya Kibamba-Kisarawe na Pugu-Gongo la mboto...

Habari Mchanganyiko

DC Kilosa awasimamisha kazi wenyeviti 3 wa vitongoji

MKUU wa Wilaya ya Kilosa, Alahj Majid Mwanga amewasimamisha kazi wenyeviti wa vitongoji vitatu kwa makosa mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madarakani. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Prof. Kikula atoa maagizo 3 kwa maofisa madini

MWENYEKITI wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amewataka Maofisa Madini Wakazi wa mikoa nchini kuweka utaratibu wa kukutana na wachimbaji wa madini...

error: Content is protected !!