WATOTO wawili waliozaliwa nchini Ukraine katika siku za hivi karibuni wamepewa majina ya makombora ya kutoka ardhini hadi angani yaliyotengenezwa nchini Uingereza.
Watoto hao walikuwa mvulana anayeitwa Yan Javelin na msichana aliyeitwa Javelina.
Majina hayo yasiyo ya kawaida yalisajiliwa katika Jimbo la Vinnytsia.
Mke wa rais wa zamani wa Ukraine, Kateryna Yushchenko alisema ni ishara ya shukrani kwa silaha za Magharibi ambazo zimetumwa Ukraine.
Leave a comment