MBIO za Mwenge wa Uhuru Kitaifa zimezinduliwa Jumamosi ya tarehe 2 Aprili 2022 na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango mkoani Njombe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Mwenge huo utakimbizwa katika mikoa yote 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar na utahitimishwa tarehe 14 Oktoba 2022, mkoani Kagera.
Benki ya NMB ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki uzinduzi huo. Pichani ni matukio mbalimbali wa viongozi wa benki hiyo kinara Tanzania.
Leave a comment