Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko TAMISEMI waomba bajeti ya Sh trilioni 8.77
Habari Mchanganyiko

TAMISEMI waomba bajeti ya Sh trilioni 8.77

Spread the love

Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ya Ofisi ya Raia (TAMISEMI), imeliomba Bunge kuwaidhinishia bajeti yake kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, inayogharimu kiasi cha Sh. trilioni 8.77. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea).

Ombi hilo limetolewa leo Alhamisi, tarehe 14 Aprili 2022 na Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa, akiwasilisha makadrio ya mapato na matumizi kwa mwaka huo wa fedha, bungeni jijini Dodoma.

“Naomba Bunge lako tukufu likubali kuidhinisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, ya jumla ya Sh. 8.778, kwa ajili ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Tume ya Utumishi wa Walimu na mikoa inayojumuisha halmashauri 184,” amesema Bashungwa.

Bashungwa amesema, kati ya fedha hizo, Sh. 5.511 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida yanayojumusiha mishahara na Sh. 4.626 trilioni na Sh. 884.861 bilioni ni za matumizi mengineyo, huku Sh. 3.267 trilioni zikiwa za miradi ya maendeleo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyakazi waidai STAMICO mishahara ya bilioni 1

Spread the loveWALIOKUWA wafanyakazi wa mgodi wa Shirika la Madini la Taifa...

AfyaHabari Mchanganyiko

200 wapimwa afya na GGML katika maonesho ya OSHA

Spread the loveZAIDI ya watu 200 jijini Arusha wamejitokeza kupimwa afya na...

Habari Mchanganyiko

Mfanyakazi CRDB atoa sababu za kubambikiwa kesi, hukumu Mei 30

Spread the love  MFANYAKAZI wa Benki ya CRDB, Ibrahim Masahi (40) ameieleza...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ummy atangaza Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba

Spread the loveSERIKALI imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha matibabu ya...

error: Content is protected !!