Sunday , 19 May 2024
Home gabi
1264 Articles148 Comments
Habari MchanganyikoTangulizi

Jamaa aoa pacha watatu wanaofanana “Nawapenda wote

MWANAUME kutoka Jamhiri ya Kidemokrasia ya Congo ameingia kwenye rekodi ya mfalme Solomoni baada ya kufunga pingu za maisha na mapacha watatu wa...

Habari Mchanganyiko

Mwanamke anyofoa sikio la mpenzi wake kisa nauli bodaboda

MWANAMKE mmoja mkazi wa mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi nchini Kenya, amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumng’ata sikio mpenzi na kulinyofoa kabisa....

ElimuHabari Mchanganyiko

Ujenzi wa VETA wagusa maisha ya vibarua Mkinga

WANANCHI wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wameeleza kufaidika na miradi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ambayo inajenga...

Habari MchanganyikoKitaifa

UNYAMA; mtoto adaiwa kulawitiwa, afariki, wazazi waiangukia Serikali

NI unyama ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya mtoto Ian Macha mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi nane kudaiwa kutendewa ukatili wa kingono,...

Biashara

GGML yabeba tuzo kampuni bora katika sekta ya madini 2021

KAMPUNI ya uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya kuwa kampuni bora inayoendesha shughuli za uchimbaji wa madini nchini kwa mwaka...

Biashara

Wajasiriamali 825 wanaufaika na mkopo Morogoro

KATIKA kuunga mkono juhudi za wajasiriamali na kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi na kujiongezea kipato, Halmashauri ya Morogoro imetoa mkopo wa Sh  milioni  340 kwa  ...

Biashara

GGML yashinda tuzo ya usalama duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo

KAMPUNI ya Uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya Usalama ya Dunia ya 2021 kwa mwaka wa tatu mfululizo na kuifanya...

Tangulizi

Balozi Mbarouk amuaga balozi wa Vatican

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amekutana na kumuaga Balozi wa Vatican nchini, Askofu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

GGML wamwaga Sh milioni 90 mkutano wa madini

KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu mkoani Geita (GGML) imetoa msaada wa Sh milioni 90 kudhamini Mkutano wa nne wa Uwekezaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

TANESCO kuvuna bilioni 5 mapato ya mwezi kutoka GGML

KUKAMILIKA kwa mradi wa kupeleka umeme kwenye Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kunatarajiwa kutaliwezesha Shirika la...

Afya

Oasis yataja muarobaini tatizo la usugu wa dawa

WANANCHI wametakiwa kutumia vipimo maalumu vinavyoonesha ugonjwa na aina ya matibabu yake sahihi, ili kuepukana na tatizo la usugu wa dawa. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Sh milioni 59 kukarabati madarasa sita Chamwino

JUMLA ya Sh milioni 59 zinatarajiwa kutumika kukarabati madarasa sita katika Shule ya Msingi Chamwino (A) iliyopo katika Kata ya Chamwino jijini Dodoma....

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Kagasheki ampa heko Rais Samia, amtaja Magufuli

KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan...

Habari MchanganyikoKimataifa

Malkia Elizabeth, mwanaye, mkwewe wapata Corona

LICHA ya kupata chanjo tatu za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona, janga hilo limebisha hodi katika familia ya Malkia Elizabeth wa Uingereza...

Habari za Siasa

Mamia ACT Wazalendo warejea CUF

MAMIA ya Wanachama kutoka Chama cha ACT Wazalendo wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo aliyekuwa Mgombea nafasi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tumekwamua miradi iliyokwama

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika ziara na mikutano aliyoifanya Barani Ulaya imeifanikisha Tanzania kukwamua miradi iliyokuwa imekwama. Amesema miradi hiyo ilikwama katikati...

Habari Mchanganyiko

Askofu Dodoma acharuka waumini kuimba, kukata mauno

KANISA la Maombi na Maombezi kwa Mataifa yote (RUTACH) limepiga marufuku waumini wake kuacha mara moja kukata mauno pindi wanapokuwa wakiimba kwaya au...

Burudika

Diamond Platnumz kuachia EP Machi

STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram amewatangazia mashabiki wake kwamba ataachia EP yake...

Habari Mchanganyiko

Maajabu! Kijana agongewa misumari madai ya kuiba redio

WAKAZI wa kijiji cha Chamasili katika kaunti ya Sabatia huko Vihiga nchini Kenya wamekumbwa na mshtuko baada ya kijana mmoja mwenyen umri wa...

Kimataifa

NATO yaonya Urusi kushambulia Ukraine

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Jens Stoltenberg amesema Urusi imepanga kufanya mashambulizi dhidi ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aongeza siku 7 kwa kamati kuchunguza mauaji Mtwara, Kilindi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameridhia kuongeza muda wa siku saba kwa kamati maalum iliyopewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika Mtwara na Kilindi mkoani...

Afya

Maboresho Hospitali ya Rufaa Tanga yawafuta machozi wananchi

IMEELEZWA kuwa Serikali imejibu kilio cha muda mrefu cha watumiaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga, kwa kuwezesha upatikanaji wa huduma...

Burudika

Ujio wa Asa na ngoma mpya ‘Ocean’

MWANAMUZIKI mahiri kutoka nchini Nigeria, Bukola Elemide maarufu kama ‘Asa’ ameachia ngoma yake mpya iitwayo Ocean aliyofanya na prodyuza maarufu, Prime, ikiwa ni...

KitaifaUtalii

Dk. Ndumbaro awavisha vyeo viongozi TANAPA, NCAA

Dk. Ndumbaro awavisha vyeo viongozi TANAPA, NCAA Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Damas Ndumbaro leo tarehe 18 Februari, 2022 ameongoza zoezi la...

Habari Mchanganyiko

Waziri ataja chanzo mabucha ya nyamapori kusuasua

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro amesema chanzo cha maduka ya nyamapori kuzorota nchini, ni wafanyabiashara waliopewa leseni za biashara hiyo...

Habari MchanganyikoUtalii

‘Royal tour’ yapaisha mapato ya utalii 2021

WAKATI filamu ya kihistoria ya “THE ROYAL TOUR” ambayo Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki akiwa Mwongozaji Mkuu wa watalii ikitarajiwa kuzinduliwa rasmi Aprili...

Habari Mchanganyiko

Mkangwa: Wanahabari jiungeni vyama vya wafanyakazi

KAMISHNA wa Kazi, Suzana Mkangwa ametoa rai kwa waandishi wa habari nchini kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi, ili kuhakikisha wanakuwa na nguvu ya...

Burudika

Fursa yanukia kwa Waandaaji wa filamu Afrika Mashariki

WAANDAAJI wa filamu wa Afrika Mashariki hususani waandishi wa miswada (script writters) wanatarajiwa kunufaika na mpango maalum ulioandaliwa na Taasisi ya Realness kwa...

Burudika

JANE MISSO: Ninarejea kwa kishindo, Harmonize ni mpango wa Mungu

MUIMBAJI wa nyimbo za injili nchini Tanzania, Jane Misso amewaomba mashabiki zake kukaa mkao wa kula kwani sasa amenuia kurejea kwa kishindo baada...

Habari Mchanganyiko

Mbunge ataka ukaguzi maalumu fedha za mikopo ya halmashauri

MBUNGE wa Kibamba (CCM), Issa Mtemvu, ameitaka Serikali ifanye ukaguzi maalumu wa asilimia 10 ya fedha za mapato ya halmashauri nchini, zinazotolewa kwa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatenga bilioni 2 kununua magari ya zimamoto

SERIKALI kupitia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini imetenga bajeti ya maendeleo ya mwaka wa fedha 2021/2022 ya kiasi cha Sh bilioni mbili...

Afya

Mashine ya kisasa kupima UVIKO-19 yazinduliwa Zanzibar

SERIKALI ya Zanzibar, imezindua rasmi matumizi ya teknolojia mpya inayotambua maambukizi ya virusi vya korona (UVIKO-19) kupitia vipimo vya smaku umeme yaani electromagnetic....

Kimataifa

Rais wa zamani mbaroni kwa tuhuma za biashara ya ‘unga’

Rais wa zamani wa Honduras, Juan Orlando Hernandez amekamatwa na polisi nyumbani kwake kufuatia ombi la Marekani la kutaka kiongozi huyo apelekwa nchini...

Habari za Siasa

Kesi ya kupinga Rais, Spika, Jaji Mkuu kutoshtakiwa yatupwa

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeitupilia mbali kesi ya kupinga marekebisho ya Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Msingi...

Biashara

Benki ya Exim yakabidhi zawadi ya gari kwa mshindi wa kampeni ya ‘Weka Mkwanja tukutoe’

BENKI ya Exim imekabidhi gari aina ya Toyota Vanguard kwa taasisi ya Work of Mary (Focolare Movement Tanzania) ya mkoani Iringa iliyoibuka mshindi...

Habari za Siasa

Mahakama yatoa maamuzi madai ya kina Mbowe kunyimwa chakula miezi mitano

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imetoa maamuzi juu ya madai yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari za Siasa

Mpelelezi adai Mbowe alitoa fedha nyingine kufadhili ugaidi

MPELELEZI Msaidizi, wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Inspekta Tumaini Swila, amedai kuna fedha ambazo mwanasiasa...

Habari Mchanganyiko

Fidia Kimara- Kibamba yatinga kwa mwanasheria mkuu

SERIKALI ya Tanzania imesema Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itakapotafsiri sheria ya barabara ya mwaka 1932 pamoja na Kanuni zake za mwaka...

Habari za Siasa

Tanzania yafungua ubalozi mdogo Congo

SERIKALI ya Tanzania imefungua ubalozi mdogo (Konseli Kuu) katika Jiji la Lubumbashi, Jimbo la Haut Katanga, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Ofisi za...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatangaza kiama wafanyabiashara wanaopandisha bei bidhaa

SERIKALI imebaini kuwa baadhi ya wafanyabiashara wamepandisha gharama za bidhaa mbalimbali mara tatu ya bei halisi. Pia imebaini kuwa kuna baadhi ya wafanyabiashara...

Habari za Siasa

Msigwa: Hakuna aliyeupinga, kufuta ujenzi bandari Bagamoyo

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema hakuna aliyewahi kuupinga wala kuufuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo chini ya mradi wa Ukanda Maalumu...

BurudikaKitaifa

Harmonize ajiandaa kuitikisa Dar

Msanii wa Bongo fleva, Rajab Abdul maarufu kama ‘Harmonize’ ametangaza ujio wa tamasha lake katika jiji la Dar es salaam liitwalo (Afro East...

Burudikakitaifa

Mondi abisha hodi tuzo za Grammy

MSANII wa Bongofleva, Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameweka rekodi nyingine ya kuwa msaanii wa kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki kutumbuiza...

Habari Mchanganyiko

Kigoma yaripoti matukio saba ya mauaji

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma, linawashikilia watu sita wakituhumiwa kuhusika na matukio saba ya mauaji yaliyotokea katika nyakati tofauti mkoani humo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Amuua mama yake akimdai Sh. 300,000

HELMAN John, anadaiwa kumuuwa kwa kumpiga na mpini wa jembe mama yake, Celina William, akimdai fedha kiasi cha Sh. 300,000. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

AfyaKimataifa

Mwanajeshi apandishwa cheo kwa kumsaidia mwanamke kujifungua

MWANAJESHI wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mwanajeshi...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro ardhi Ngorongoro: Wasomi waiangukia Serikali, wataka meza ya majadiliano 

BAADHI ya wasomi kutoka Wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iitishe meza ya majadiliano kati ya wananchi...

Habari za SiasaKitaifa

Babu Duni, Hamad wapitishwa kumrithi Maalim Seif – ACT Wazalendo

Halmshauri Kuu ya Chama imepokea na kuthibitisha mapendekezo ya Kamati Kuu ya Chama juu wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa, Makamu Mwenyekiti...

Makala & Uchambuzi

DK. SALIM AHMED SALIM; Mtanzania aliyemkaba koo George Bush

TAREHE 23 Januari, 2022 Waziri Mkuu Mstaafu Dk. Salim Ahmed Salim alitimiza miaka 80, leo nakuletea makala inayofafanua namna alivyombana pumzi aliyekuwa Rais...

error: Content is protected !!