Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Maisha Burudika Diamond Platnumz kuachia EP Machi
Burudika

Diamond Platnumz kuachia EP Machi

Spread the love

STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram amewatangazia mashabiki wake kwamba ataachia EP yake ya kwanza kabisa katika muziki. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)

Diamond ni msanii ambaye amepata umaarufu zaidi Barani Afrika kutokana na bidii katika kazi zake lakini ngoma zake nyingi kukubalika.

Vibao vyake vimekuwa vikipokea zaidi ya mamilioni huku familia yake ikizidi kuchanua kwa kupata umaarufu mkubwa nchini Tanznaia.

Safari ya muziki ya msanii huyo inafahamika na kutambulika na wengi, kwani alianza na mwanzo wa chini huku akiinuka siku baada ya siku.

Aidha, msanii huyo aliwauliza mashabiki wake kutoa majina ya EP yake.

“YES! March 4th 2022 My first EP in Music Life… Guess the tittle?Tareh 04, 03 2022 EP ya kwanza katika maisha ya Muziki wangu… Unazani Tuuitaje?,” aliandika Diamond.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BurudikaMichezo

Kizz Daniel aunguruma na EP mpya ‘Thankz alot’

Spread the loveMKALI wa muziki nchini Nigeria, Kizz Daniel ametoa EP yake...

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni...

Burudika

Piga makofi kwa Mr. Eazi …achomoka na ‘The Evil Genius’

Spread the loveMAKOFI kwa Mr Eazi! Staa wa Afropop, Mr Eazi ameachia...

Burudika

Kishindo cha Afro B katika “Wo wo wo” akiwa na Rich the Kid&Rimzee

Spread the loveSTAA ambaye alitambulishwa na ngoma maarufu, Afrowave ‘Drogba’, Afro B,...

error: Content is protected !!