Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mfahamu Kanali aliyemng’oa Rais wa Guinea
KimataifaTangulizi

Mfahamu Kanali aliyemng’oa Rais wa Guinea

Spread the love

 

MAMADY Doumbouya, Kanali kiboko aliyemmaliza utawala wa Rais wa Guinea, Alpha Conde amepata mafunzo ya kivita katika nchini za Israel, Ufaransa. Anaripoti Gabriel Mushi … (endelea).

Tarehe 5 Septemba 2021, , nchi ya Gunea iliandika historia nyingine baada ya kutokea mapinduzi ya kushtukiza ambayo yamefanikiwa kumuondoa madaraka Rais Alpha Conde.

Mapinduzi hayo yaliyofanywa na kikosi maalumu cha wanajeshi maarufu kama (GFS), yamesitisha ndoto za Conde kusalia madarakani kwa awamu ya tatu ungwe ambayo ameitumikia kwa mwaka mmoja pekee baada ya uchaguzi mkuu kufanyika Oktoba 2020.

Conde mwenye umri wa miaka 83, alizuiliwa na wanajeshi wa kikosi hicho cha GFS, kwa saa kadhaa baada ya kuripotiwa kwa ufyatulianaji wa risasi karibu na makazi ya rais yaliyopo katika jiji la Conakry nchini Guinea.

Fuatilia simulizi hii ya Kanali Doumbouya kupitia Video hii ili kuweza kumjua kwa undani zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!