BENKI ya NMB imezindua Kampeni ya siku 21 katika Kanda ya Dar es Salaam ya kutoa elimu na kuhamasisha jamii kutumia Huduma za...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2023WANANCHI katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kuongeza vyumba vya madarasa katika shule za msingi ili...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2023MKUU wa Wilaya ya Rungwe Jaffar Haniu ametembelea vyombo vya habari vilivyopo Wilayani Rungwe na kujionea vipindi mbalimbali vinavyorushwa vituo hivyo sambamba na...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2023MCHEKASHAJI maarufu kutoka nchini Kenya Eric Omondi ametiwa mbaroni na jeshi la polisi nchini humo, kwa tuhuma za kuongoza kundi la vijana...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2023SERIKALI ya Tanzania imetangaza kuondoa ukomo wa uhai wa vitambulisho vya taifa vilivyo na tarehe ya kuisha muda wake wa matumizi ili kuondoa...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023MWILI wa aliyewahi kuwa Rais wa Kenya, Mwai Kibaki, huenda ukafukuliwa kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya DNA endapo Mahakama Kuu nchini humo itakubaliana...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, amewataka wazazi watimize wajibu wao wa malezi mazuri kwa wanafunzi wa shule za sekondari, yatakayowawezesha...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amewafutia mashtaka waislamu waliokuwa wanakabiliwa na makosa ya ugaidi ikiwemo Masheikh, katika mahakama mbalimbali nchini....
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023MKURUGENZI wa Shule za Feza Tanzania, Ibrahim Yunus amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini kujiamini wanaposhiriki midahalo ya kitaifa na...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula, ametoa wito kwa benki na taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya...
By Faki SosiFebruary 21, 2023MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imekutana na sekta mbalimbali nchini ili kujipanga na msimu wa masika unaotarajiwa kuqnza mwezi Machi...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023TETEMEKO la ardhi lenye kipimo cha 6.4 limeua watu watatu jana tarehe 20 Februari 2023 na kujeruhi wengine zaidi ya 200 katika baadhi...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023KUNDI la viongozi wa kanisa la kianglikana kutoka sehemu mbalimbali duniani wamemkataa Askofu Mkuu wa Canterbury, Justin Welby, kuwa kiongozi wao baada...
By Mwandishi WetuFebruary 21, 2023MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewasilisha mapendekezo yake 500 katika Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ili...
By Regina MkondeFebruary 21, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya biashara zao utakuwa wa...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2023RAIS wa Marekani Joe Biden amewasili Kyiv – ziara yake ya kwanza nchini Ukraine tangu Urusi ilipovamia karibu mwaka mmoja uliopita. Imeripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2023SERIKALI imeweka mapingamizi ya awali katika kesi ya kikatiba Na. 18/2022, iliyofunguliwa na watanzania waishio nje ya nchi (Diaspora), kwenye Mahakama Kuu, Masjala...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2023SHIRIKA la Huduma za Kisheria (LSF), limeanza kujipanga namna ya utekelezaji wa Nguo Kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2023MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa ufafanuzi juu ya taarifa za uwepo wa kimbunga “Freddy” zinazosambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2023BENKI ya NMB imeendelea kufanya vyema kwenye nyanja mbalimbali baada ya Kaimu Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mahusiano wake, Vicent Mnyanyika kuibuka...
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2023WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amemuagiza Kamishna wa Elimu kufanya uchunguzi wa kina kwa shule nne zilizobainika kufanya...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2023IMEELEZWA kuwa usimamizi mbovu wa miradi ya maendeleo na ujenzi wa majengo ya ofisi za serikali kwa baadhi ya halmshauri nchini unaotokana na...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2023ALIYEKUWA Mchungaji wa KKKT Usharika wa Kijitonyama, Dk. Eliona Kimaro, leo Jumapili amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza tangu asimamishwe kutoa huduma kwa...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2023WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amekitaka Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) kilichopo...
By Mwandishi WetuFebruary 19, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimezindua ahadi yake kwa Watanzania, ya kujenga Taifa la wote kwa maslahi ya wote kufikia 2035 endapo kitapewa ridhaa ya...
By Regina MkondeFebruary 19, 2023SERIKALI inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuboresha kila sekta nchini ambapo imepanga kujenga mabwawa ya kunyweshea mifugo kote nchini. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2023JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema limeunda kamati ndogo ya watu sita, kwa ajili ya kuchambua Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya...
By Regina MkondeFebruary 18, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimewaomba Watanzania wakiunge mkono ili kiweze kutimiza malengo yake ya kuwakomboa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeFebruary 18, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema ndoto yake kuu si kushika dola bali kuwakomboa wananchi kiuchumi na kijamii. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeFebruary 18, 2023Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo wahakikishe wanamfikisha katika...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2023WAZIRI mpya wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerewa amesema kuwa kwa kushirikiana na viongozi wenzake walioteuliwa hivi karibuni atahakikisha wanafanya mabadiliko na...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2023SERIKALI imezindua mwongozo wa uanzishaji na uendeshaji wa dawati la kutokomeza ukatili wa kijinsia katika maeneo ya umma ili kuwasaidia wananchi kwenye...
By Mwandishi WetuFebruary 18, 2023WANANDUGU wawili, Sibtain Murji 43 na Zameen Murji 47 wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2023TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), imetoa taarifa kwa umma kuhusu kutokea kwa tetemeko la ardhi Wilayani Manyoni mpakani mwa...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2023KUTOKANA na kupungua kwa kero zilizokuwa zikiwakumba wananchi wa Jimbo la Songwe mkoani hapa, Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kumuunga...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2023WANANCHI wametakiwa kujiunga na Bima mbalimbali ili kukabiliana na majanga ikiwemo ya moto ikiwa ni kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali inayoongozwa na...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2023KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kinaendelea kumuenzi aliyekuwa Mwenyekiti wake Taifa, Maalim Seif Shariff Hamad, aliyefariki Dunia...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2023WAKALA wa Uhifadhi wa Misitu Tanzania (TFS), imefanikiwa kutoa ajira kwa watu 400 kwenye shamba la miti la Iyondo Mswima wilaya Ileje...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2023KUTOKANA na kuibuka madai ya vitendo vya ukatili na utumikishwaji wa watoto chini ya miaka 18 maeneo ya machimbo migodini, Waziri Mkuu Kassim...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2023SERIKALI za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Angola zimesaini hati mbili za makubaliano (MoU) kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2023BAJETI ya India ya mwaka 2023 iliyosomwa tarehe 1 Februari ambayo imeelezwa kuwa itafungua dirisha la ushirikiano wa nchi mbili kati ya...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2023WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Serikali haitaingilia biashara za vyombo vya habari, ili wamiliki wake waendeshe...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake watano, wamenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Kilwa mkoani...
By Regina MkondeFebruary 16, 2023WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kuridhishwa na kasi ya ukusanyaji mapato uliopo katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe huku...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2023WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2023WATANZANIA wameshauriwa kutopenda kujitumbukiza kwenye masuala ya mikopo kama hawajajipanga kwa kujua wanachotakiwa kukifanya. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Rai hiyo imetolewa...
By Danson KaijageFebruary 16, 2023MKURUGENZI Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa stakabadhi za Ghala (WRRB), Asangya Bangu amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa bodi hiyo kumeonesha kuwepo kwa...
By Danson KaijageFebruary 16, 2023MAKAMU wa Rais, Daktari Phillip Mpango, amewataka mawaziri kuepuka mivutano kati yao na watendaji wizarani, badala yake washirikiane kuwaletea maendeleo wananchi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2023KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sophia Mjema, amesema hakuna chama cha siasa cha upinzani kitakachosumbua chama chake...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2023KAMPENI ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Rais Samia Suluhu Hassan, itafanyika katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kwenye mikoa ya...
By Regina MkondeFebruary 15, 2023