Wednesday , 29 March 2023
Home Kitengo Maisha Elimu Wanafunzi watakiwa kujiamini
Elimu

Wanafunzi watakiwa kujiamini

Spread the love

MKURUGENZI wa Shule za Feza Tanzania, Ibrahim Yunus amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini kujiamini wanaposhiriki midahalo ya kitaifa na kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Yunus amesema hayo wakati akifungua mashindano ya African Open School Debate yaliyohusisha shule 18 za serikali na binafsi ambayo yanafanyika kwa muda wa siku tatu ndani ya Shule ya Kimataifa Feza

Amesema shule zipatazo 18 zimeshiriki mashindano hayo za serikali na binafsi lengo ni kuwajenga wanafunzi waweze kujiamini kwenye midahalo mikubwa ya kimataifa na ya kitaifa na kuweza kujifunza vitu tofauti ambavyo vinaweza kujenga nchi na kutengeneza ushirikiano bora kwa wanafunzi katika masomo.

Naye Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kondo, Grace Saware amesema midahalo hii inawajenga watoto kwa asilimia kubwa kwa kuwa mada zinazotolewa ni nzuri ambazo zipo kwenye mitaala ya elimu ya hapa Tanzania.

Pia ametoa wito kwa serikalo kutengeneza program za midahalo ya shule za serikali katika wilaya, kata, na mkoa kwani zinawajengea uwezo mkubwa wanafunzi kujiamini na kujieleza hata kwenye mithihan yao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari

Serikali yataka vijana  wajiunge na program atamizi ya biashara CBE

Spread the love  SERIKALI imewahamasisha vijana kujiunga na program atamizi inayotolewa na...

Elimu

Mfuko wa Jimbo Musoma Vijijini wamwaga mamilioni ujenzi maabara za sekondari

Spread the love  MFUKO wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara,...

ElimuHabari

CBE yaanzisha Shahada 10 za Uzamili, CBE yajivunia wahitimu wanaoajirika

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na...

Elimu

Harambee ujenzi sekondari za Musoma Vijijini yashika kasi

Spread the love  HARAMBEE ya ujenzi na ukarabati wa shule za sekondari...

error: Content is protected !!