Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani
Kimataifa

Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani

Spread the love

WADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani mwezi Mei mwaka huu. CNN inaripoti …(endelea).

Msemaji wa idara ya Serikali ya Marekani Matthew Miller amethibitisha kudukuliwa idara tisa za Serikali na kuibwa kwa barua pepe (email) 60,000.

Wachambuzi wa duru za siasa ulimwenguni wamekitafsiri kitendo hicho kuwa ni ishara ya shari kwa China.

Duru hizo zinaeleza kuwa hakuna shaka yoyote kuwa udukuzi huo unaungwa mkono na Serikali ya China.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!