Saturday , 2 December 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani
Kimataifa

Wadukuzi wa Kichana waiba barua pepe 60,000 za Serikali ya Marekani

Spread the love

WADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani mwezi Mei mwaka huu. CNN inaripoti …(endelea).

Msemaji wa idara ya Serikali ya Marekani Matthew Miller amethibitisha kudukuliwa idara tisa za Serikali na kuibwa kwa barua pepe (email) 60,000.

Wachambuzi wa duru za siasa ulimwenguni wamekitafsiri kitendo hicho kuwa ni ishara ya shari kwa China.

Duru hizo zinaeleza kuwa hakuna shaka yoyote kuwa udukuzi huo unaungwa mkono na Serikali ya China.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Israel yarejesha mashambulizi Gaza ikilaumu Hamas kukiuka makubaliano

Spread the loveJESHI la Israel, limerejesha mashambulizi katika ukanda wa Gaza, baada...

Kimataifa

Papa Francis kumfukuza Kardinali anayepinga mageuzi Kanisa Katoliki

Spread the loveKIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, anadaiwa kupanga kumfumkuza...

Kimataifa

Mateka wa Israel, Gaza kuanza kuachiwa leo

Spread the loveMakubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na vikosi vya...

Kimataifa

Israel, Hamas kusitisha mapigano kwa muda

Spread the loveNCHI ya Israel, pamoja na kikundi cha wanamgambo wa kiislamu,...

error: Content is protected !!