Wednesday , 6 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia avunja bodi ya REA
Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the love

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 25 Septemba 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Zuhura Yunus, Rais Samia amemteua Balozi Kingu, baada ya kuivunja Bodi ya REA.

“Rais Samia amevunja Bodi ya REA na amemteua Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi REA,” imesema taarifa ya Yunus.

Katika hatua nyingine, Rais Samia amemteua Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), John Ulanga, kuwa balozi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bashungwa: Katesh kutafanyiwa usafi wa hali ya juu

Spread the loveWAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope...

AfyaHabari za Siasa

RAS Songwe: Tumepigwa… mkurugenzi nakupa siku 21

Spread the loveKATIBU tawala mkoani Songwe, Happines Seneda ametoa siku 21 kwa...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo maporomoko yaliyoua 65 Hanang, chatajwa

Spread the loveSERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa...

error: Content is protected !!