Thursday , 7 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi
Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the love

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi wa fedha za umma, akisema kitendo cha kuwaacha huru kinawaibua wengine. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma… (endelea).

Dewji ametoa wito huo leo tarehe 28 Septemba 2023, katika Baraza la Maulid ya Mtume Muhammad, yaliyofanyiwa jijini Dodoma.

Aidha, Dewji ameipongeza Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuimarisha maendeleo ya nchi.

“Tunawaona mkizunguka nchi nzima kufanya kazi, mkiondoka vibaka wao wanafungua droo wanaiba hela. Naomba muwashughulikie msipowashughulikia wataongezeka kila siku,” amesema Dewji.

1 Comment

  • Nakuuliza.
    Je, wewe siyo kibaka unataka kumyang’anya mjane mzawa kiwanja chake na kutaka kujificha kwenye kichochoro cha Mahakama kwa nguvu za pesa zako?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bashungwa: Katesh kutafanyiwa usafi wa hali ya juu

Spread the loveWAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope...

AfyaHabari za Siasa

RAS Songwe: Tumepigwa… mkurugenzi nakupa siku 21

Spread the loveKATIBU tawala mkoani Songwe, Happines Seneda ametoa siku 21 kwa...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo maporomoko yaliyoua 65 Hanang, chatajwa

Spread the loveSERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa...

error: Content is protected !!