Thursday , 2 May 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Kwa mara ya kwanza Dk. Bashiru atema nyongo bungeni

  DAKTARI Bashiru Ally, Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, leo tarehe 25 Mei 2021, amesimama bungeni kwa mara ya kwanza na kutumia jukwaa...

Habari za Siasa

Bajeti kilimo 2021/22 yaongezeka, yaja na vipaumbele 7

  BAJETI ya Wizara ya Kilimo, kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022, imeongezeka kwa Sh. 64.3 bilioni (22%), kutoka Sh. 229.83 bilioni (2020/2021),...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai aishukia Wizara ya Fedha

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango, iache kuchukua fedha za miradi ya maendeleo, za halmashauri...

Habari za Siasa

Mdee ahoji kinachokwamisha uboreshaji makazi Dar

  MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Halima Mdee, amehoji kinachokwamisha utekelezaji Mpango wa Uboreshwaji Makazi ya Jiji la Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kuzindua operesheni mpya, kufanyika nchi nzima

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, tarehe 27 Mei 2021 siku ya Alhamisi, anatarajiwa kuzindua ‘Operesheni Haki,‘...

ElimuHabari za Siasa

Ajira ualimu kizungumkuti, 89,958 wajitosa, nafasi ni 6,949

  WAZIRI wa Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu, amekiri uwepo wa tatizo la ukosefu wa ajira za ualimu nchini, akisema kwamba, nafasi zinazotolewa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge ataka walioporwa fedha na TRA warejeshewe

  MBUNGE wa Vunjo mkoani Kilimanjaro (CCM), Dk. Charles Kimei, ameiomba Serikali irudishe fedha za kodi zilizokusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

Habari za Siasa

Nape aibua sakata la korosho, Spika Ndugai aibana Serikali

  MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi (CCM), Nape Nnauye, ameiomba Serikali irudishe Bodi ya Korosho pamoja na fedha za tozo ya mauzo ya...

Habari za Siasa

Spika Ndugai awapa masharti wabunge

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka wabunge kuacha ngonjera katika kipindi cha maswali na majibu, ili kuokoa muda. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Ripoti CAG yabaini ubadhirifu Wizara ya Kilimo Z’bar

  MDHIBITI na Mkaguzi wa Fedha za Serikali Visiwani Zanzibar (CAG), Dk. Othman Abbas Ali, amemefichua ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi katika wizara...

Habari za SiasaTangulizi

Shirika la Meli Zanzibar lakutwa na madeni hewa Sh. 2.9 Bil.

  MKAGUZI na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Visiwani Zanzibar, amegudua kuwapo kwa madeni hewa yenye thamani ya Sh. 2.9 bilioni,...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wanawake Afrika wamuonesha njia Rais Samia

  MTANDAO wa Viongozi Wanawake Barani Afrika (AWLN), umemshauri Rais Samia Suluhu Hassan, azitumie fursa za maendeleo zinazotolewa na taasisi pamoja na mashirika...

Habari za Siasa

Ripoti ya CAG Zanzibar yamuibua Zitto

  UBADHIRIFU ulioibuliwa katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Zanzibar, kwenye mwaka wa fedha wa 2019/2020, umemuibua...

Habari za Siasa

UVCCM yahofia mporomoko ajira za vijana

  UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeiomba Serikali ichukue hatua za haraka, kumaliza tatizo la vijana kukosa ajira nchini. Anaripoti...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Rais Samia anakwamishwa

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anakwamishwa na baadhi ya watendaji wake, hasa waliopewa dhamana ya kusimamia michakato...

Habari za SiasaTangulizi

Ado: Khatib amekufa na kilio cha Masheikh Uamsho

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema aliyekuwa Mbunge wa Konde kupitia chama hicho, Hayati Khatib Haji, ameondoka duniani na...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi TRC

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, tarehe 22 Mei 2021, amezungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC),...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mabalozi 23 akiwemo Hoyce Temu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa mabalozi 23, akiwemo Hoyce Anderson Temu, ambaye ni mwandishi wa habari na mjasiriamali....

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo aonya wanaopanga uongozi CCM 2022

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaonya wanachama wa chama hicho, walioanza kupanga safu za...

Habari za Siasa

Kikwete ampa kibarua Rais Samia

  RAIS wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameishauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ijikite katika kutoa elimu kwa Watanzania,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete: Msikubali kutumika

  RAIS Mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amewashauri Watanzania wasikubali kutumika katika kutengeneza migogoro. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Kifo cha Dk. Magufuli: Rais Ndayishimiye amtumia ujumbe Rais Samia

  RAIS wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemtumia ujumbe Rais waTanzania, Samia Suluhu Hassan, kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati...

Habari za Siasa

Vitendo vya wanaume kutekeleza watoto vyatikisa Bunge, latoa maagizo

  VITENDO vya baadhi ya wanaume kutelekeza watoto kwa kutogharamia matunzo yao, vimezua mjadala bungeni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mjadala huo...

Habari za SiasaTangulizi

Meya Kinondoni, Mkurugenzi wakwepa rungu la CCM

  MEYA wa Manispaa ya Kinondoni (CCM), Songoro Mnyonge pamoja na Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Sipora Liana, wamemaliza mgogoro wao uliobuka hivi karibuni,...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo akunjua makucha migogoro madiwani, wakurugenzi

  BAADA ya kuibuka mivutano baina ya madiwani na watendaji, katika Manispaa za Ubungo na Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

Rais Museveni aacha somo kwa Watanzania

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ametumia hotuba yake katika hafla ya utiaji saini mkataba hodhi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi...

Habari za Siasa

Tanzania kuvuna matrilioni mradi bomba la mafuta

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuvuna matrilioni ya fedha, katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaotekelezwa kwa ubia...

Habari za Siasa

Rais Samia atoa maagizo Tanzania, Uganda

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezitaka pande zinazoendelea na majadiliano ya ujenzi wa Bomba la Mufuta Ghafi kutoka Hoima nchini Uganga...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo Meya, DED Kinondoni kuvutana mkutanoni

  KIKAO cha Baraza la Madiwani la Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, kilichofanyika jana Jumatano, tarehe 19 Mei 2021, kiliingia dosari,...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili wa mbunge Khatibu kuzikwa Pemba leo

  MWILI wa mbunge wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji (58), utazikwa leo Alhamisi, tarehe 20 Mei 2021, saa 10:00 jioni, Kisiwani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Tatizo la Luku: Majaliwa atoa maagizo mengine ‘wakae pembeni’

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amemuagiza Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, asiishie kuwasimamisha kwa siku kumi tu meneja wa Teknolojia...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amwandikia barua Rais Samia, apendekeza mambo matano

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemuandikia barua, Rais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, kumwelezea changamoto zilizojitokeza katika chaguzi ndogo za Ubunge...

Habari za Siasa

Zitto amlilia mbunge aliyefariki dunia

  KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, kifo cha mbunge wake wa Konde, Khatib Said Haji, ni...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge ACT-Wazalendo afariki dunia

  MBUNGE wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji, amefariki dunia katika hispitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa akihudhuria mkutano wa...

Habari za SiasaTangulizi

DC, madiwani Dar nusura wasichape

  MADIWANI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mkoani Dar es salaam, Kisare Makore wameingia katika ‘mnyukano’ unaohatarisha...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataja sifa za kiongozi bora

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema, kiongozi yoyote ili aweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo lazima awe hodari wa kazi...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Mkuu, Spika Ndugai wataka DPP, Takukuru watende haki

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amemshauri Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Sylvester Mwakitalu, aanze majukumu yake mapya kwa kuyapatia ufumbuzi malalamiko...

Habari za Siasa

Rais Samia awapangua Ma RC Kafululi, Mongella

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa, kwa kumpeleka John Mongella Arusha na David Kafulila Simiyu....

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai ataka Ma-RC wabanwe

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshauri wakuu wa mikoa (RC), wawajibishwe mikoa yao inapofanya vibaya katika usimamizi wa masuala ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika awakabidhi Bawacha zigo la katiba mpya, tume huru

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, limepewa jukumu la kupigania upatikanaji wa katiba mpya na tume...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji ubovu barabara za Singida, Serikali yamjibu

  AYSHAROSE Mattenbe, Mbunge viti maalumu (CCM), ameitaka serikali kuona umuhimu wa kuzijenga barabara zinazounganisha jimbo la Singida Kaskazini mkoani humo. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka PF3 iondolewe kunusuru maisha ya watu

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameshauri kifungu cha Sheria ya Jeshi la Polisi  kinachokataza majeruhi wa ajali kutibiwa hadi wapate Fomu ya Polisi...

Habari za Siasa

Mwakagenda ahoji ubovu barabara, Silinde amjibu

  SOPHIA Mwakagenda, Mbunge viti maalumu (asiye na chama), amehoji lini barabara ya Kiloba Ngugilo yenye urefu wa kilometa saba itajengwa ili kurahisisha...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza Jeshi la Polisi lifute kesi za kubambikiza

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Polisi lifute kesi za kubambikiza, ili kuondoa msongamano wa mahabusu gerezani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Serikali yataja kinachokwamisha mradi Mchuchuma na Liganga

  SERIKALI ya Tanzania, imesema kinachokwamisha utekelezaji rasmi wa Mradi Unganishi wa Madini ya Chuma na Makaa ya Mawe ya Liganga na Mchuchuma,...

Habari za Siasa

Jaji Mkuu Tanzania aeleza mchakato kuwapata majaji

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amevunja ukimya kuhusu taratibu za uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu...

Habari za Siasa

Rais Samia awapa ujumbe majaji ‘katendeni haki

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Majaji saba wa Mahakama ya Rufaa na 21 ya Mahakama Kuu ya Tanzania, kwenda kutenda...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaapisha majaji 28, Biswalo…

  LICHA ya kelele kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati nchini Tanzania, kupinga uteuzi wa Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...

AfyaHabari za Siasa

Mambo 19 yoliyopendekezwa kuhusu corona Tanzania

  LEO Jumatatu, tarehe 17 Mei 2021, Kamati iliyoundwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya tathimini ya ugonjwa wa corona (COVID-19),...

Habari za Siasa

Sheria ya uwekezaji Tanzania kufumuliwa

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji nchini Tanzania, Geoffrey Mwambe, amesema wizara yake iko hatua za mwisho kurekebisha Sheria ya Uwekezaji...

error: Content is protected !!