DAKTARI Bashiru Ally, Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, leo tarehe 25 Mei 2021, amesimama bungeni kwa mara ya kwanza na kutumia jukwaa...
By Regina MkondeMay 25, 2021BAJETI ya Wizara ya Kilimo, kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022, imeongezeka kwa Sh. 64.3 bilioni (22%), kutoka Sh. 229.83 bilioni (2020/2021),...
By Regina MkondeMay 25, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango, iache kuchukua fedha za miradi ya maendeleo, za halmashauri...
By Mwandishi WetuMay 25, 2021MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Halima Mdee, amehoji kinachokwamisha utekelezaji Mpango wa Uboreshwaji Makazi ya Jiji la Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuMay 25, 2021FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, tarehe 27 Mei 2021 siku ya Alhamisi, anatarajiwa kuzindua ‘Operesheni Haki,‘...
By Regina MkondeMay 25, 2021WAZIRI wa Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu, amekiri uwepo wa tatizo la ukosefu wa ajira za ualimu nchini, akisema kwamba, nafasi zinazotolewa...
By Regina MkondeMay 25, 2021MBUNGE wa Vunjo mkoani Kilimanjaro (CCM), Dk. Charles Kimei, ameiomba Serikali irudishe fedha za kodi zilizokusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...
By Masalu ErastoMay 25, 2021MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi (CCM), Nape Nnauye, ameiomba Serikali irudishe Bodi ya Korosho pamoja na fedha za tozo ya mauzo ya...
By Mwandishi WetuMay 25, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka wabunge kuacha ngonjera katika kipindi cha maswali na majibu, ili kuokoa muda. Anaripoti Jemima...
By Masalu ErastoMay 24, 2021MDHIBITI na Mkaguzi wa Fedha za Serikali Visiwani Zanzibar (CAG), Dk. Othman Abbas Ali, amemefichua ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi katika wizara...
By Masalu ErastoMay 24, 2021MKAGUZI na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Visiwani Zanzibar, amegudua kuwapo kwa madeni hewa yenye thamani ya Sh. 2.9 bilioni,...
By Regina MkondeMay 24, 2021MTANDAO wa Viongozi Wanawake Barani Afrika (AWLN), umemshauri Rais Samia Suluhu Hassan, azitumie fursa za maendeleo zinazotolewa na taasisi pamoja na mashirika...
By Regina MkondeMay 24, 2021UBADHIRIFU ulioibuliwa katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Zanzibar, kwenye mwaka wa fedha wa 2019/2020, umemuibua...
By Regina MkondeMay 23, 2021UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeiomba Serikali ichukue hatua za haraka, kumaliza tatizo la vijana kukosa ajira nchini. Anaripoti...
By Hamisi MgutaMay 23, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anakwamishwa na baadhi ya watendaji wake, hasa waliopewa dhamana ya kusimamia michakato...
By Hamisi MgutaMay 23, 2021KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema aliyekuwa Mbunge wa Konde kupitia chama hicho, Hayati Khatib Haji, ameondoka duniani na...
By Mwandishi WetuMay 23, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, tarehe 22 Mei 2021, amezungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC),...
By Masalu ErastoMay 22, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa mabalozi 23, akiwemo Hoyce Anderson Temu, ambaye ni mwandishi wa habari na mjasiriamali....
By Masalu ErastoMay 22, 2021KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaonya wanachama wa chama hicho, walioanza kupanga safu za...
By Masalu ErastoMay 22, 2021RAIS wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameishauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ijikite katika kutoa elimu kwa Watanzania,...
By Bupe MwakitelekoMay 21, 2021RAIS Mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amewashauri Watanzania wasikubali kutumika katika kutengeneza migogoro. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....
By Regina MkondeMay 21, 2021RAIS wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemtumia ujumbe Rais waTanzania, Samia Suluhu Hassan, kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati...
By Mwandishi WetuMay 21, 2021VITENDO vya baadhi ya wanaume kutelekeza watoto kwa kutogharamia matunzo yao, vimezua mjadala bungeni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mjadala huo...
By Mwandishi WetuMay 21, 2021MEYA wa Manispaa ya Kinondoni (CCM), Songoro Mnyonge pamoja na Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Sipora Liana, wamemaliza mgogoro wao uliobuka hivi karibuni,...
By Mwandishi WetuMay 21, 2021BAADA ya kuibuka mivutano baina ya madiwani na watendaji, katika Manispaa za Ubungo na Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Chama Cha Mapinduzi...
By Regina MkondeMay 20, 2021RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ametumia hotuba yake katika hafla ya utiaji saini mkataba hodhi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi...
By Regina MkondeMay 20, 2021SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuvuna matrilioni ya fedha, katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaotekelezwa kwa ubia...
By Regina MkondeMay 20, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezitaka pande zinazoendelea na majadiliano ya ujenzi wa Bomba la Mufuta Ghafi kutoka Hoima nchini Uganga...
By Mwandishi WetuMay 20, 2021KIKAO cha Baraza la Madiwani la Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, kilichofanyika jana Jumatano, tarehe 19 Mei 2021, kiliingia dosari,...
By Regina MkondeMay 20, 2021MWILI wa mbunge wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji (58), utazikwa leo Alhamisi, tarehe 20 Mei 2021, saa 10:00 jioni, Kisiwani...
By Mwandishi WetuMay 20, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amemuagiza Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, asiishie kuwasimamisha kwa siku kumi tu meneja wa Teknolojia...
By Mwandishi WetuMay 20, 2021KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemuandikia barua, Rais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, kumwelezea changamoto zilizojitokeza katika chaguzi ndogo za Ubunge...
By Regina MkondeMay 20, 2021KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, kifo cha mbunge wake wa Konde, Khatib Said Haji, ni...
By Mwandishi WetuMay 20, 2021MBUNGE wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji, amefariki dunia katika hispitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa akihudhuria mkutano wa...
By Mwandishi WetuMay 20, 2021MADIWANI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mkoani Dar es salaam, Kisare Makore wameingia katika ‘mnyukano’ unaohatarisha...
By Mwandishi WetuMay 19, 2021MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema, kiongozi yoyote ili aweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo lazima awe hodari wa kazi...
By Masalu ErastoMay 19, 2021JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amemshauri Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Sylvester Mwakitalu, aanze majukumu yake mapya kwa kuyapatia ufumbuzi malalamiko...
By Regina MkondeMay 19, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa, kwa kumpeleka John Mongella Arusha na David Kafulila Simiyu....
By Regina MkondeMay 19, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshauri wakuu wa mikoa (RC), wawajibishwe mikoa yao inapofanya vibaya katika usimamizi wa masuala ya...
By Regina MkondeMay 19, 2021BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, limepewa jukumu la kupigania upatikanaji wa katiba mpya na tume...
By Masalu ErastoMay 18, 2021AYSHAROSE Mattenbe, Mbunge viti maalumu (CCM), ameitaka serikali kuona umuhimu wa kuzijenga barabara zinazounganisha jimbo la Singida Kaskazini mkoani humo. Anaripoti Jemima...
By Masalu ErastoMay 18, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan, ameshauri kifungu cha Sheria ya Jeshi la Polisi kinachokataza majeruhi wa ajali kutibiwa hadi wapate Fomu ya Polisi...
By Regina MkondeMay 18, 2021SOPHIA Mwakagenda, Mbunge viti maalumu (asiye na chama), amehoji lini barabara ya Kiloba Ngugilo yenye urefu wa kilometa saba itajengwa ili kurahisisha...
By Masalu ErastoMay 18, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Polisi lifute kesi za kubambikiza, ili kuondoa msongamano wa mahabusu gerezani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeMay 18, 2021SERIKALI ya Tanzania, imesema kinachokwamisha utekelezaji rasmi wa Mradi Unganishi wa Madini ya Chuma na Makaa ya Mawe ya Liganga na Mchuchuma,...
By Mwandishi WetuMay 18, 2021JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amevunja ukimya kuhusu taratibu za uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu...
By Mwandishi WetuMay 17, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Majaji saba wa Mahakama ya Rufaa na 21 ya Mahakama Kuu ya Tanzania, kwenda kutenda...
By Regina MkondeMay 17, 2021LICHA ya kelele kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati nchini Tanzania, kupinga uteuzi wa Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...
By Mwandishi WetuMay 17, 2021LEO Jumatatu, tarehe 17 Mei 2021, Kamati iliyoundwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya tathimini ya ugonjwa wa corona (COVID-19),...
By Masalu ErastoMay 17, 2021WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji nchini Tanzania, Geoffrey Mwambe, amesema wizara yake iko hatua za mwisho kurekebisha Sheria ya Uwekezaji...
By Regina MkondeMay 17, 2021