Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbunge ACT-Wazalendo afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Mbunge ACT-Wazalendo afariki dunia

Marehemu Khatib Said Haji
Spread the love

 

MBUNGE wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji, amefariki dunia katika hispitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa akihudhuria mkutano wa Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Ni mbunge wa tatu kufariki dunia katika Bunge hili la 12 lililoanza Novemba 2020.

Wengine waliotangulia ni; Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Martha Umbulla, aliyefariki tarehe 21 Januari 2021, Mumbai, nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu na Atashasta Nditiye wa Muhambwe mkoani Dodoma aliyefariki tarehe 12 Februari 2021, kwa ajili jijini Dodoma.

Taarifa zaidi, endelea kufuatilia mitandao yetu ya kijamii.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!