Wednesday , 1 May 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Othuman: Viongozi wanaapa kulinda katiba yenye tatizo

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othuman Masoud Othuman amesema, Katiba ya sasa ya Tanzania haitoi mwelekeo wa Taifa unakwenda wapi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kamati Kuu CCM kukutana

  KAMATI Kuu ya Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), itakutana kesho Jumanne, tarehe 22 Juni 2021, jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Samia ateta na Rais wa China

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa China, Xi Jinping. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Ma-DC wapya Dar wapewa majukumu matano

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewakabidhi majukumu matano wakuu wa wilaya za mkoa huo, walioteuliwa na Rais Samia...

Habari za Siasa

Mbunge CCM, waziri wavutana bungeni, kisa ‘tuition’

  MBUNGE wa Bukoba Vijijini mkoani Kagera (CCM), Jason Rweikiza, amevutana na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako kuhusu zuio...

Habari za Siasa

Ummy awachongea Ma-DED kwa Rais Samia

  WAZIRI Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, awachukulie hatua Wakurugenzi wa Halmashauri (DED), wanaoshindwa kupeleka asilimia 40 ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amuapisha RC Tabora, RAS Shinyanga

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, awaapisha Balozi Batlida Buriani kuwa Mku wa Mkoa wa Tabora (RC) na Zuwena Omari Jiri kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati Kuu ACT-Wazalendo yamchambua Rais Samia, yatoa maazimio

  KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, jana tarehe 19 Juni 2021, iliuchambua uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Tanzania, chini...

Habari za Siasa

Kasesela, Odunga, Ole Sabaya watemwa U DC

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya (DC) 139 katika mikoa ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Waandishi wa habari walioteuliwa U DC

  WAANDISHI wa habari wanne kutoka vyombo mbalimbali vya habari, ni miongoni mwa Wakuu wa Wilaya (DC) 139, walioteuliwa na Rais wa Tanzania,...

Habari za Siasa

Mrithi wa Maalim Seif ACT-Wazalendo kupatikana Novemba 27

  KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, imeagiza mkutano wa dharura wa chama hicho uitishwe tarehe 27 Novemba 2021, kwa ajili ya kujaza...

Habari za Siasa

Kata tano Segerea zalia ubovu barabara

  KATA tano katika Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam, zinakabiliwa na changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara za mitaa, hali...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Ma DC, wamo waliounga juhudi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya katika Mikoa ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Othuman amzungumzia Maalim Seif, ashiriki kamati kuu ACT-Wazalendo

  MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud Othuman amekishukuru chama chake cha ACT-Wazalendo kwa kumpendekeza kwenye nafasi hiyo huku akiwaahidi...

Habari za Siasa

Wabunge waibana Serikali kodi laini za simu, miamala

  BAADHI ya wabunge kutoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya upinzani, wameishauri Serikali ifungue akaunti maalumu ya benki, kwa ajili...

Habari za SiasaTangulizi

DPP Mwakitalu atangaza uamuzi mgumu

  MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu, ametangaza neema kwa mahabusu, wafungwa na watuhumiwa wengine wanaokabiliwa na mashtaka ya jinai...

Habari za Siasa

Watumishi 1,164 hawana vibali vya kukaimu, Serikali yatoa agizo

  SERIKALI ya Tanzania imesema, watumishi 1,496 wanakaimu nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali zikiwemo halmashauri za wilaya na sekretarieti za mikoa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kelele zatawala Sabaya, wenzake wakifikishwa mahakamani

  LENGAI Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na wenzake watano, wamefikishwa katika Mahakama mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Masheikh Uamsho walipwe fidia

  MWENYEITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameiomba Serikali iwalipe fidia viongozi 18 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge laagiza uchunguzi ‘Super Market’

  BUNGE la Tanzania, limeiagiza Serikali ifanye uchunguzi katika maduka makubwa ‘Super Market’, ili kuondoa biadhaa za kughushi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Agizo...

Habari za Siasa

Samia awaonya UVCCM, awapa kibarua

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Samia Suluhu Hassan, amepiga marufuku vitendo vya makada wa Umoja wa Vijana wa chama hicho...

Habari za Siasa

Sabaya atoa waraka akimlilia Hayati Magufuli

  LENGAI ole Sabaya, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, ameachia “waraka mzito,” ukilenga mustakabali wa maisha yake, baada ya kifo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia azindua ujenzi SGR, ataja faida tano

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa kipande cha tano cha Reli ya Kisasa (SGR), kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Hukumu ya Mdude yahairishwa, kutoka Juni 28

  HUKUMU ya kesi ya Jinai Na. 36/2020, inayomkabili kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali, katika Mahakama ya Hakimu...

Habari za Siasa

Viongozi Halmashauri Sengerema kikaangoni

  VIONGOZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, wako kikaangoni baada ya Serikali kutuma wakaguzi maalum, kukagua hesabu za halmashauri hiyo....

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza benki kushusha riba, gharama jengo BoT zamshtua

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ameiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupunguza viwango vya riba vinavyotozwa na benki mbalimbali zipunguzwe “angalau...

Habari za SiasaTangulizi

Madini ya Tanzanite: Rais Samia ampa maagizo Biteko

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemwagiza Waziri wa Madini, Doto Biteko kukaa na wawekezaji ili kuangalia njia bora ya kuyalinda madini...

AfyaHabari za Siasa

Tanzania kuajiri wataalamu bingwa wa moyo 12 kutoka nje

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu hassan, amesema atalifanyia kazi ombi la Taasisi ya Moyo ya jakaya Kikwete (JKCI), la kuajiri watalaam 12...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya bado anakinga mshahara

  WAKATI mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, akifikishwa mahakamani na kutupwa katika mahabusu ya gereza la Kisongo, mkoani...

Habari za Siasa

Rais wa Botswana aondoka Tanzania, Balozi Mulamula atoa neno

  RAIS wa Botswana, Mokgweetsi Masisi, amehitimisha ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania na kuondoka kurejea nchini mwake. Anaripoti Nasra Bakari,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu awachambua Kikwete, Hayati Magufuli na Samia

  WAZIRI wa Fedha na Mipango wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amewafananisha waliokuwa marais wa Taifa hilo, Jakaya Mrisho Kikwete na Hayati John...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya: Mbowe atangaza J’mosi kuvaa sare za Chadema

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania- Chadema amesema, Jumamosi zote kuanzia kesho, tarehe 12 Juni 2021, atakuwa akivaa sare...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua wakuu wa mikoa, Chalamila atoswa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Ijumaa tarehe 11 Juni 2021, amefanya mabadiliko madogo ya wakuu wa mikoa ya Mara, Mwanza...

Habari za Siasa

Bunge laagiza uchunguzi MOI

  BUNGE la Tanzania, limeiagiza Serikali, ifanye uchunguzi wa mifumo inayoratibu shughuli za kitabibu na hesabu za Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI)....

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Nikiharibu alaumiwe Anna Makinda

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge, amesema akifanya vibaya katika kuungoza mhimili huo, wa kulaumiwa ni Spika Mstaafu, Mama Anna Makinda, aliyekuwa mwalimu...

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti 2021/22 yamuibua Zitto

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema hatua ya Serikali kufanya uhakiki wa madeni ya wastaafu katika mifuko ya hifadhi ya...

Habari za Siasa

Madiwani Tanzania watangaziwa neema

  SERIKALI ya Tanzania, imependekeza kuanzia mwaka wa fedha 2021/22, itaanza kuwalipa madiwani posho za kila mwezi kutoka serikali kuu. Anaripoti Jemima Samwel,...

Habari za Siasa

Tril. 13.3 kugharamia miradi ya maendeleo 2021/22

  TAKRIBANI Sh. 13,326.8 bilioni sawa na Sh. 13.326 trilioni, zinatarajiwa kutumika katika utekelezaji miradi ya maendeleo, kwenye mwaka wa fedha wa 2021/22....

Habari za Siasa

Rais wa Botswana awasili Tanzania

  RAIS wa Botswana, Dk. Mokgweets Masisi amewasilia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere, Dar es Salaam nchini Tanzania. Anaripoti Nasra Bakari,...

Habari za Siasa

Dk. Mwigulu abainisha mkakati kupunguza foleni Dar, barabara mikoani

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amebainisha mikakati mbalimbali ya kupunguza msongamano jijini Dar es Salaam ni ukarabati...

Habari za Siasa

Deni la Taifa laongezeka kwa Tril. 5.4

  DENI la Taifa la Tanzania, limeongezeka kwa Sh. 5.4 trilioni, kutoka Sh. 55.5 Aprili 2020, hadi kufikia Sh. 60.9 trilioni, Aprili 2021....

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai aomba Rais Samia aitishe mkutano wa wanaume

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amemwomba Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kufanya kikao maaluma na wanaume pekee. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti 2021/22 EAC kuwasilishwa Leo

  LEO Alhamisi, tarehe 10 Juni 2021, nchini za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zitawasilisha Bajeti za nchi zao, ikiwemo Tanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Jaffar Haniu amrithi Msigwa Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu). Anaripoti Jemima Samwel, DMC …...

Habari za SiasaKimataifa

Samia kuzungumza na Rais wa Botswana

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 10 Juni 2021, anatarajia kuzungumza na Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi, katika Ikulu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya wenzake wanusa miaka 200 jela

  MASHITAKA sita yanayomkabili Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro, nchini Tanzania, aliyesimamisha kazi, Lengai ole Sabaya, yaweza kumuweka kwenye kifungo cha...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi wawili

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili akiwemo, Profesa Eleuther Alphonce Mwageni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo...

Habari za Siasa

Rais Samia awapa kibarua wanawake

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaomba wanawake wamuunge mkono katika uongozi wake, ili alifikishe Taifa sehemu nzuri. Anaripoti Jemima Samwel, DMC...

Habari za SiasaTangulizi

Wanawake wamkabidhi changamoto sita Rais Samia

  WANAWAKE wa Mkoa wa Dodoma, wamemkabidhi changamoto sita Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, wakimuomba azitatue ili kuleta ustawi wa kundi hilo...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Rais Samia anazungumza na wanawake Dodoma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumanne, tarehe 8 Juni 2021, anazungumza na wanawake wa Mkoa wa Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

error: Content is protected !!