Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa DPP Mwakitalu atangaza uamuzi mgumu
Habari za SiasaTangulizi

DPP Mwakitalu atangaza uamuzi mgumu

Sylivester Mwakitalu, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP)
Spread the love

 

MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu, ametangaza neema kwa mahabusu, wafungwa na watuhumiwa wengine wanaokabiliwa na mashtaka ya jinai mahakamani. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea).

Katika mahojiano maalum na MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV, ofisini kwake, jijini Dar es Salaam jana, Alhamisi, tarehe 17 Juni 2021, Mwakitalu alisema, jukumu lake, ni kupeleka mahakamni ushahidi wa kuthibitisha makosa yaliyotendwa, siyo kubambikiza watu mashtaka ambayo mwisho wa siku, hayawezi kuthibitika mahakamani.

Amesema, “niwahakikishie Watanzania hii kazi tutaifanya kwa weledi, kwa uaminifu, haki na tutafanya kile ambacho tunapaswa kukifanya kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.”

Nini amezungumza kuhusu, mageuzi makubwa ya kushuka mamlaka mikoani na wilayani, operesheni maalum na mengine mengi, ikiwemo kufuta kesi, soma Gazeti la Raia Mwema la leo Ijumaa, tarehe 18 Juni 2021. Pia, tembelea MwanaHALISI TV kupata mahojiano yote.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!