Wednesday , 6 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Sabaya bado anakinga mshahara
Habari za SiasaTangulizi

Sabaya bado anakinga mshahara

Lengai ole Sabaya
Spread the love

 

WAKATI mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, akifikishwa mahakamani na kutupwa katika mahabusu ya gereza la Kisongo, mkoani Arusha, taarifa zinasema, “mtuhumiwa huyo” bado analipwa mshahara na serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa ambazo Raia Mwema imezipata zinasema, hatua ya Sabaya kuendelea kulipwa mshahara, inatokan na utekelezaji wa sheria ya utumishi wa umma, ambayo inatoa haki kwa mtumishi aliyesimamishwa kazi, kulipwa mshahara wake.

Aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Hai na Hayati Rais John Pombe Magufuli, tarehe 18 Julai mwaka 2018 na kusimamishwa kazi, 13 Mei 2021 na Rais Samia Samia Suluhu Hassan, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Undani wa habari hii, kujua Waziri wa utumishi wa umma, Mohamed Mchengerwa, kaeleza nini kuhusu kinachoendelea na jinsi Sabaya alivyoingia kwenye utumishi, Soma Gazeti la Raia Mwema, la leo Jumamosi, tarehe 12 Juni 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bashungwa: Katesh kutafanyiwa usafi wa hali ya juu

Spread the loveWAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope...

AfyaHabari za Siasa

RAS Songwe: Tumepigwa… mkurugenzi nakupa siku 21

Spread the loveKATIBU tawala mkoani Songwe, Happines Seneda ametoa siku 21 kwa...

BiasharaTangulizi

Bei ya Dizeli, Petroli yashuka

Spread the loveBEI ya mafuta kwa mwezi Disemba, imeshuka kutokana na kupungua...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!