Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sabaya bado anakinga mshahara
Habari za SiasaTangulizi

Sabaya bado anakinga mshahara

Lengai ole Sabaya
Spread the love

 

WAKATI mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, akifikishwa mahakamani na kutupwa katika mahabusu ya gereza la Kisongo, mkoani Arusha, taarifa zinasema, “mtuhumiwa huyo” bado analipwa mshahara na serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa ambazo Raia Mwema imezipata zinasema, hatua ya Sabaya kuendelea kulipwa mshahara, inatokan na utekelezaji wa sheria ya utumishi wa umma, ambayo inatoa haki kwa mtumishi aliyesimamishwa kazi, kulipwa mshahara wake.

Aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Hai na Hayati Rais John Pombe Magufuli, tarehe 18 Julai mwaka 2018 na kusimamishwa kazi, 13 Mei 2021 na Rais Samia Samia Suluhu Hassan, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili.

Undani wa habari hii, kujua Waziri wa utumishi wa umma, Mohamed Mchengerwa, kaeleza nini kuhusu kinachoendelea na jinsi Sabaya alivyoingia kwenye utumishi, Soma Gazeti la Raia Mwema, la leo Jumamosi, tarehe 12 Juni 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Spika Tulia aibana Serikali mafao ya wastaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki

Spread the loveSPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kufanya tathimini...

Habari za Siasa

Serikali yawapa maagizo Ma-RC udhibiti magonjwa yasiyoambukiza

Spread the loveWAKUU wa mikoa nchini wametakiwa kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wananchi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

error: Content is protected !!