Tuesday , 3 October 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Waandishi wa habari walioteuliwa U DC
Habari za Siasa

Waandishi wa habari walioteuliwa U DC

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

WAANDISHI wa habari wanne kutoka vyombo mbalimbali vya habari, ni miongoni mwa Wakuu wa Wilaya (DC) 139, walioteuliwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Uteuzi huo, umefanywa na Rais Samia jana Jumamosi, tarehe 19 Juni 2021.

Waandishi hao wa habari ni; Abdallah Mwaipaya wa Kituo cha Televisheni na Redio (ITV na Redio One), ambaye ameteuliwa kwenda Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro.

Mwingine ni; Fatma Nyangasa wa Azam Media, aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam.

Pia, Gabriel Zakaria wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu na Simon Simalenga wa Clouds, ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songwe.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bilioni 6.1 kumaliza tatizo la maji Katoro-Buseresere – Geita

Spread the loveMakamu mwenyekiti wa Umoja wa wanawake CCM, (UWT), Zainab Shomari...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali kupokea ndege ya 14 ya ATCL, safari kuongezeka

Spread the love  SERIKALI ya Tanzania, kesho tarehe 3 Oktoba 2023, inatarajia...

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

error: Content is protected !!