Saturday , 10 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua Ma DC, wamo waliounga juhudi
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Ma DC, wamo waliounga juhudi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya katika Mikoa ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Uteuzi huo, umetangazwa leo Jumamosi, tarehe 19 Juni 2021 kupitia taarifa kwa umma, iliyotolewa na Jaffar Haniu, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu.

Miongoni mwa walioteuliwa ni waliokuwa wabunge na wanachama wa upinzani, ambao waliunga juhudi na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na waandishi wa habari.

Baadhi ya waliokuwa wabunge wa upinzani ambao wameteuliwa kuwa wakuu wa wilaya ni Peter Lijualikali, Joshua Nassari na Dk. Vicent Mashinji ambaye yeye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema.

Waandishi wa habari ni; Fatma Nyangasa pamoja na Simon Simalenga.

Orodha yote ya wakuu wa wilayani hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

MichezoTangulizi

Benki ya NBC yakabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu kwa Yanga

Spread the loveMDHAMINI Mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya...

BiasharaTangulizi

TLS wajitosa sakata la ukodishaji wa bandari

Spread the love  CHAMA cha wanasheria Tanzania (TLS), kimejitosa katika sakata la...

BiasharaTangulizi

Ngoma bado mbichi mkataba wa Bandari

Spread the love  SAKATA la mkataba wa uendeshaji, uendelezaji na uboreshaji wa...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mkataba unaweza kuvunjwa

Spread the loveMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),...

error: Content is protected !!