Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa LIVE: Rais Samia anazungumza na wanawake Dodoma
Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Rais Samia anazungumza na wanawake Dodoma

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumanne, tarehe 8 Juni 2021, anazungumza na wanawake wa Mkoa wa Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Mkutano huo baina ya Rais Samia na wanawake, unafanyikia ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amesema, zaidi ya wanawake 10,000 wako ndani ya ukumbi huko na zaidi ya idadi hiyo, wako nje ya ukumbi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Afya ya akili yatajwa chanzo kuvunjika ndoa

Spread the loveCHANGAMOTO ya afya ya akili, imetajwa kuwa chanzo cha migogoro...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

error: Content is protected !!