Wednesday , 8 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Jaffar Haniu amrithi Msigwa Ikulu
Habari za Siasa

Jaffar Haniu amrithi Msigwa Ikulu

Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu)
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu). Anaripoti Jemima Samwel, DMC … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo wa Haniu, imetolewa leo Jumatano, tarehe 9 Juni 2021 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, anayemaliza muda wake.

Msigwa ambaye tayari ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuruegnzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, amesema, uteuzi wa Haniu unaanza leo Jumatano.

Gerson Msigwa mkuu wa idara ya habari na maelezo

Kabla ya uteuzi huo, Haniu ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, alikuwa Mtendaji Mkuu wa vyombo vya habari vya Africa Media Group Limited vya Channel Ten na Magic FM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!