Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Jaffar Haniu amrithi Msigwa Ikulu
Habari za Siasa

Jaffar Haniu amrithi Msigwa Ikulu

Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu)
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu). Anaripoti Jemima Samwel, DMC … (endelea).

Taarifa ya uteuzi huo wa Haniu, imetolewa leo Jumatano, tarehe 9 Juni 2021 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, anayemaliza muda wake.

Msigwa ambaye tayari ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuruegnzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania, amesema, uteuzi wa Haniu unaanza leo Jumatano.

Gerson Msigwa mkuu wa idara ya habari na maelezo

Kabla ya uteuzi huo, Haniu ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, alikuwa Mtendaji Mkuu wa vyombo vya habari vya Africa Media Group Limited vya Channel Ten na Magic FM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme: Rais Samia ampa miezi sita bosi mpya TANESCO

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia avunja bodi ya REA

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa...

error: Content is protected !!